MATOKEO ya Kidato cha Nne a mjadala wa kuboresha Kufaulu

MATOKEO ya Kidato cha Nne a mjadala wa kuboresha Kufaulu

Jamani majina huumba,mwite mwanao Osama uone mziki wake
 
Kwa kuanzisha hii topic,,itafanya wizara husika ziwe zinapendelea shule zenye majina ya viongozi.

No wonder mitahani ijayo ikaonyesha shule zenye majina ya wake au waume ambao ni viongozi,,yakaongoza top 20.
 
Kwetu waislamu madarasa mwiko.....sisi kwetu madrasa tu na tunataka madrasa iwemo kwenye katiba ya tz km elimu ya muhimu.....tunataka serikali ya kikwete iweke kwenye katiba mpya mahakama ya kadhi na oic km kikwete na chama chake cha mafisadi walivyotuwekea kwenye ilani yao mahakama ya kadhi........pamoja na sisi kufeli sana bado sisi waislamu ndiyo wajanja na ndiyo tunaongoza nchi mtake msitake.......

na ndo maana nchi yaenda mrama kwa sababu uongozi ulichukuliwa kwa hila na si kwa ridhaa ya wananchi. Na ndo maana saa jamii yote inapambana kuondoa genge hili madarakani.
 
Sioni sababu ya kukata tamaa nahizi shule zetu za kata Tanzania au shule nyingine zozote hata hizo uziitazo Islamic School.

Wahindi walipoanzisha Univerisities zao miaka ya 1950 na 1960 Dunia nzima walikuwa wakicheka na kubeza.
Leo nchi nyingi duniani zinapeleka wanafunzi wake iIndia kusoma katka vyuo vile vile vilivyo dharauriwa miaka iliyopita.
Pia wahindi wanaexport Maengineer na Madaktari Dunia ya kwanza, waliocheka wanashindwa kuendelea kucheka kwa sababu wakicheka wanajicheka wao wenyewe.

Jambo kubwa na la Muhimu ni kuorodhesha matatizo sugu ya shule zetu za kata kuyaweka wazi na kuyavalia njuga kitaifa na kimataifa ili kutafuta suruhisho. Kukebehi, kukashifu kubeza shule ambazo tayari zimekwisha anza na kuthubutu kutoa walau few division IV ni kujididmiza kijamii na kifikra. Kudhani shule ikiwa ni ya Waislamu basi nia na madhumuni yake ni kufelisha wanafunzi wake huo ni uchuro nisio weza kuufumbia macho. Mtu au watu wenye maono kuliko maono yako yote utakayo ona katoka maisha yako ndiyo waliyoanzisha shule hizo unazo zikebei. Lengo la kuanzisha shule hizo lilikuwa ni kuwakomboa Watanzania na litaendelea kuwa hivyo hivyo hadi mwisho wa wakati

Kibohehe Sec School shule ya Bakwata iimesomwa na wanafunzi wengi Wakristo kwa Waislamu na wengi wamefika level ya University bila kelele wala mikwaruzo. Suala la Islamic School kuwa ni recipe of failure ni suala lisilo jenga na binafsi silikubali.
Shule zote Tanzania zina Matatizo yanayofanana. Kukosa walimu wenye sifa moyo na Ali. Kikubwa zaidi ni kukosa walimu wenye sifa.

Tunatakiwa kujiuliza kama wananchi wazalendo tutasaidiaje Elimu Tanzania bila kujali nani anasoma pale??
Tanzania haitajengwa na Wakristo au Waislamu pekee yao. Tanzania itajengwa na Watanzania si kwa uzalendo tu bali kwa kutambua kwamba Tanzania ndiyo nyumbani kwao, na ukweli kwamba kama WaTanzania hakuna mahali pengine popote duniani kama Tanzania.


Kushuka kwa elimu Tanzania ni Tatizo la kitaifa halina itikadi japo limesababishwa na utendaji duni wa serikaliya CCM.
Limesababishwa na Viongozi wa CCM kutamani sna ughaibuni kuliko Tanzania aliye mama yao wa kunyonya ziwa.
Kushuka kwa elimu Tanzania kumesababishwa na Uduni wa fikra za viongozi wa CCM kudhani kwamba kuiba Fedha iliyo fungu la Elimu na kuiweka mifukoni mwao bila aibu kutawapandisha chati wao wake zao na vimada uchi wao.
CCM wanajali Shopping Ulaya kuliko Elimu ya vijana wao, wanajali kujivinjari nchi za dunia ya kwanza kwa mbwembwe kuliko ustawi wa Taifa la kesho Tanzania.
Viongozi wa CCM wanadhani kuleta watoto wao kusoma hapa Ughaibuni ni sifa na heshima ya kitaifa japo watoto wao wengi huishia kuvuta bangi na wazungu, kuendeleza umalaya kama baba namama zao na hata kuishia jela kwa kushop lift.

Tuige mfano wa wenzetu wahindi walioanzisha vyuo vikuu kwenye mabanda ya Mabati na kuzvibadili taratibu hadi kufikia kiwango cha kimataifa.
Ni sisi wenyewe Watanzania ndiyo wenye uwezo wa kubadili mweleko na mwamko wa elimu Tanzania.
Viongozi wa CCM wameshindwa sisi wananchi ni lazima tuweze

Ni aibu hapa JF na mahali popote duniani hata kwenye sayari ya Mass kudhani shule ikiwa ni ya Kiislamu basi iko after kuferisha wanafunzi wake.

Kuishi kwangu kote mitaani na waislamu wengi sijawahi kuwa na ugomvi na Muislamu yeyote unao husu dini imani au kitabu cha dini.
Ugomvi wa maneno kuhusu imani yangu dhidi ya imani ya kiislamu nimeupata mtandaoni. Kuna mitandao kibao ambayo kazi yake kubwa ni kutoa kashfa zisizo kubaliwa hata na imani zao dhidi ya imani nyingine.

Wote tujiulize, tutasaidiaje kuinua kiwango cha Elimu Tanzania katika kipindi hiki ambacho tunajipanga kuiondoa CCM mdarakani na baada ya kuiondoa madarakani?? Tuna mikakati gani??
Habari yako bwana MADELE WA MADULU nikupongeze umeanza vizuri kwa kueleza kuhusu suala la elemu kushuka kwamba ni jukumu letu wote lakini kilichonishangaza ni huko mbele uliposema kwamba ni ccm ndiyo imetufikisha hapo naona jambo hilo siyo sahihi ni kweli ni ilani ya chama chamapinduzi lakini watekelazaji wa sela hizo ni pomoja na wewe kwa maana ya kwamba hata chadema na hao ndiyo watendaji wakubwa maana chadema ni chama chama cha wachaga na wakrisito na ndiyo maana wadai walishinda.
 
Ooooh kidogo unipe heart attack..., nilidhani wameongeza zaidi kwenye zile 12m wanazozipata....., Ila bado uzi wangu upo palepale hizo pesa inabidi zipunguzwe nangojea sakata la Dowans lipungue ili nije nimpelekee mbunge wangu pendekezo nawashauri wote tufanye hivyo kuna petition nilianzisha mwaka jana kuwabana hawa waheshimiwa hizo pesa zipunguzwe
https://www.jamiiforums.com/uchaguz...decrease-wabunges-salaries-a-must-read-4.html
 
Ni hapo ninapomkumbuka Nyerere! Katika katiba ambayo hakuwashirikisha wananchi, aliweka kifungu, kwamba ELIMU NI HAKI YA KILA RAIA, na ni jukumu la serikali kuhakikisha kila mtu anayo haki hii. Ndipo ikawa elimu ni bure kabisa! Tena enzi hizo za Nyerere shule zilizokuwa zinang'ara ni za Serikali (public schools), na hizi unaziita mtkatifu, zilikuwa hazifui dafu kabisa. Kulikuwepo na tofauti kidogo sana kati ya shule. Mishahara shule za serikali na binafsi haikutofautiana. Shule za seminari zilizokuwepo wakati ule ni za wakatoliki (madhehebu mengine yalijaigiza baada ya kugundua seminari zinapasisha sana, sasa hivi ni vigumu kujua seminari zinalenga nini!- hii ni nje ya mada lakini ). Seminari hazikuwa na walimu waliobobea enzi zile kama shule za serikali, mara nyingi ni mapadri tu na wakati mwingi seminari walitegemea sana wanafunzi wa kidato cha sita kufundisha wawapo likizo. Lakini seminari ziliweza kushindana na shule za serikali kwa sababu mmoja tu, NIDHAMU. Mapadri waliwasimamia wanafunzi kujisomea usiku.

Ipo haja kuhakikisha tuna shule za viwango yaani TBS(ya kishule) iweke viwango. Bila hivyo hakuna kusajili shule. Na hata ada za shule ziwe sawasawa. Ili kutekeleza hili ni LAZIMA ELIMU IWE BURE! Na inawezekana.
 
mfumo wetu ni mbaya sana; sioni sababu ya kwanini matokeo ya mitihani hii ya kiwango cha chini yanawekwa kwenye mtandao tu. Hivi hakuna uwezekano wa matokeo kupatiwa mtoto moja kwa moja badala ya kuyaweka hadharani? aliyeshinda anajua kashinda yeye na familia yake na aliyefanya vibaya yeye na familia yake wanajua. I DON'T LIKE THIS SYSTEM. Hatujali kabisa hisia za hawa watoto. Wengine wanafikiria hii ni aibu ya "watoto wa Kiislamu"; hii ni aibu yetu kama Watanzania.

Ni wazo zuri! Lakini hata hilo litazua 'speculations' tu kwa vile baadhi ya Watanzania hawataki kujadili kitu wanachokifahamu bali kitu wanachofikiria wanaweza kusema kitu. Matokeo yake ndiyo kupata wachawi wa kila aina na uchawi una'reflect' kiwango cha elimu na uelewa wa watu wa kiwango chao.
 
@kakajambazi,noooh noooh napinga hawataweza zibeba hzo shule za viongozi,ktk hz shule za kata yani wanafunzi wanakera hao ,yani jitu liko form iv au iii halijui kudefine jamani,ni mfumo mbovu wa elimu,walimu wasiowajari wanafunzi kuwa mbinu za kufanya mtihani,kujiamini na kuwaweka watoto ktk mentality ya kwamba yes i can let me pull up my socks and dance the rythm of academinician ,
 
Naungana na wewe kwa asilimia 100,unajua kuna baadhi ya watu wanataka kuipeleka jamii kusiko faa hata kidogo!si vizuri kutafuta chuki cha msingi ni kutafuta ufumbuzi na kuangalia nini kifanyike ktk kulikomboa taifa letu!
 
Wakati mwingine pia ni busara kupost!

....... Waislaam wametengwa ..... hawana maana ! ...... wajinga ! ....... hata mmoja akipasi ni bahati mbaya ! ....... muombeni Mwenyezi Mungu awape na kazi ya kugawa rizki ! nyie mle keki sie mikate ya chachu ! sie tusome za kata nyie za ST ACADEMY ! hivyo tu. :coffee:
 
Hivi ni shule zipi za kiislamu zinazofundisha kujitolea mhanga?.........msaada tafadhari

................ bado hazijaanza, tunasubiri mjilimbikizie mali nyingi kwa fursa za kifisadi na choyo mnazoziendekeza, kisha hapo ndio tutapata sababu ya kurecruite watu wa kujitoa mhanga ! mabomu mtindi mmoja ! .......!! hatuna cha kupoteza wakati huo, hapaliki keki wala hapenyweki chai !
 
s1921 luqman islamic seminary


div-i = 0 div-ii = 0 div-iii = 1 div-iv = 38 fld = 3

..... mbona FEZA BOYS au GIRLS hamuiweki ? pale mgalatia anapokewa kisiasa tu ! tundika uone vichwa vya Madrassa !:coffee:
 
analysis yako ni nzuri, lakini hebu tuwe objective zaidi: ukiangalia katika orodha ya shule 10 bora za mwaka huu nyingi ni truly za dini ya kikristo tena roman. Nakubalina nawewe kuwa inawezekana kinacho wafaulisha ni mazingira, mbinu na vifaa vya ufundishaji, je huoni sasa kama ni muhimu wamiliki na waendeshaji wengine kuwa na jambo la kujifunza kutoka hapa?.

........... hebu linganisha shule za kata na za Roman ! tofauti ni nini ? wao walimu wanapata wapi? tatizo ni walimu au shule au wanafunzi ?
 
Ulichotaka kutuambia kwamba ni mpendeleaji kumbe du! kazi tunayo mimi nilidhani unataka kutuelezea ubaya wa CCM kwa matokeo haya kumbe mwenzetu una Agenda nyingine sikuelewi ati! kwa hiyo mawaziri wengine wao hawakujenga nzuri kwao eeh au wao zimefanya vizuri na huku walikuwa watu safi hawakupendelea za kwao ni watu safi hahahahahaha mawazo yako yamenichekesha kweli mepesi!

Elimika kwamba CCM wana sera mbaya wadogo zetu wamefeli nchi nzima,wao wamejenga shule nyingi kwa sifa zisizo na quality yoyote na wala hakuna waalimu,Tuungane pamoja tuikate CCM achana na mambo ya Mwandosya usitupotoshe focus yetu yakuleta mabadiliko ya kweli na hatutaki umbeya hapa

Nashukuru kwa kuniita mbeya na kwamba nina mawazo mepesi.Kifupi nadhani hujanielewa ulichokifanya ni kuni-attack.Tujifunze kutofautiana bila kushambuliana,tujadili masuala kwa uwazi zaidi.Hakuna anayebisha kuwa sera za CCM ndizo zilizotufikisha hapa.Na suluhisho ni kubadilisha mfumo mzima wa elimu kitaifa kuliko kila waziri au kiongozi kupendelea kwao,mfano shule ya msingi kule nyumbani kwa Kikwete ilikarabatiwa na wachina.Tunahitaji mkakati wa kitaifa rather than wa majimbo.Nashukuru kwa mchango wako,kwani ni muhimu watu kama wewe kuwepo.
 
................ bado hazijaanza, tunasubiri mjilimbikizie mali nyingi kwa fursa za kifisadi na choyo mnazoziendekeza, kisha hapo ndio tutapata sababu ya kurecruite watu wa kujitoa mhanga ! mabomu mtindi mmoja ! .......!! hatuna cha kupoteza wakati huo, hapaliki keki wala hapenyweki chai !

Kufail kidato cha nne kuna impact ya kwenda A level na hii inakuwa reflected hata idadi ya wanafunzi Islaam kuingia kwenye vyuo vikuu. Matokeo yake kuna kuwa na waislam wachache tena wenye shahada za pass ambao hawawezi kujenga hoja wanakimbilia ooooh hatupewi nafasi! Utampaje nafasi mtu mwenye Pass uache mwenye first class ama upper second. Hebu amkeni nyie mitaala yenu mpunguze Juzuu watoto wa Islaam kwenye shule wafaulu
 
shule ningi za st. zina waalimu wazuri, na malezi mazuri. huwezi ku compare na za kiislam hata kwa malezi ya watoto. kufauli ni malezi kwanza, then resources both physical and human.
 
Nilikuwa natazama interview TBC leo machana.
Idadi ya wanafunzi waliofanya mtihani ni 350,0000 na waliofaulu na kupata sifa za kujiunga na form five ni 40,000 tu. Hivyo kwa mahesabu yangu ni kama 10% hivi ndo wamefaulu na siyo 50% kama media zinavyo eleza.

Where is Shukuru kawambwa now days?
 
Back
Top Bottom