Ukisikia wanajisifia hao watu wa kasikazin sasainstanbul
Kuna watu naona wanajifanya hawaoni comment yako, ukisoma majibu yao ni kama mtu anaona haibu hahaaaa.
Mbona naona kagera ni ya pili hapo???Kivipi? Kwan Kuna matokeo yoyote kagera imeipita kilimanjaro?
Form four kilimanjaro ya kwanza
Form two kilimanjaro ya tatu
La nne Kilimanjaro ya 3
Kote huko kagera haipo hata top three
Sent using Jamii Forums mobile app
Haliji,walivyoziweka ni tofauti na mpangilia wa kuangalia matokeo ya form four
Mbona naona kagera ni ya pili hapo???
Kubali wew kagera na elimu ni kila kituView attachment 1318325
Sent using Jamii Forums mobile app
Franco luambo makiadi Mtetezi wa wana Kilimanjaro.Kivipi? Kwan Kuna matokeo yoyote kagera imeipita kilimanjaro?
Form four kilimanjaro ya kwanza
Form two kilimanjaro ya tatu
La nne Kilimanjaro ya 3
Kote huko kagera haipo hata top three
Sent using Jamii Forums mobile app