Matokeo ya Kidato cha Nne, cha pili na darasa la nne mwaka 2019 yatangazwa

instanbul
Kuna watu naona wanajifanya hawaoni comment yako, ukisoma majibu yao ni kama mtu anaona haibu hahaaaa.
Ukisikia wanajisifia hao watu wa kasikazin sasa

Shule kama nyaishozi shule ya kata kabisa lakin inafanya vzr.

Nature itabaki kuwa nature Tu wahaya wengi Wana akili za kuzaliwa hata kama mtu hutaki lakin huo ndo ukweli na wala hatutumii nguvu nyingi kama hao wakaskazin

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…