Matokeo ya Kidato cha Nne, cha pili na darasa la nne mwaka 2019 yatangazwa

Matokeo ya Kidato cha Nne, cha pili na darasa la nne mwaka 2019 yatangazwa

Halmashauri kumi bora Kagera wametoa mbili, shule bora kitaifa ni Kemebos ya Bukoba...acha kabisa sijui ni sato na matoke

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukija kwenye form two kilimanjaro na halmashauri zake inatishaaaa
tapatalk_1578594368248.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wahaya ni hatari jamani tuache roho mbaya
Kilimanjaro ndio babá lao kabisaaa wamenishinda tabia
Yaani kila mwaka form four kilimanjaro inakuwaga ya kwanza kitaifa
Kwa mwaka huu shule mbili ktk kumi bora zimetoka kilimanjaro
Pia matokeo ya form two kilimanjaro imetishaaa Ni miongoni mwa mikoa mitatu inayotisha ktk form two Kama kielekezo chetu hapo chini kinavyoonyesha
Pia mwanafunz Bora wa kike Ni Joan rite mutu ya kilimanjaro
tapatalk_1578594368248.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kidato cha pili: Mkoa wa Arusha tumetisha. Halmashauri 3 za Meru, Monduli na Arusha Jiji zimeingia kumi bora. Mkoa utaachaje kuwa wa kwanza kitaifa?
 
The apple doesn't fall far from its tree.
What he has done explains a lot about his parents abilities, or aptitudes.
Yaap and I hope one day he will make me proud of him when he become a better man than me he make me happy today really happy we dance Yope together 😂😂😂
 
Kilimanjaro mbona ni kawaida kila mwaka inaongoza matokeo ya form four?
Unasema kagera ? Matokeo yanaonyesha shule ktk shule kumi Bora kagera Ni moja ya kemboys,wakati kilimanjaro zipo mbili(anuarite na maua) pia mwanafunz bora wa kike ni mchaga anaitwa Joan rite wa st Françis upo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba wa tatu kitaifa humuoni amaa?

Halafu angalia form two huko na form wasichana kibao ni wahaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilimanjaro ndio babá lao kabisa
Yaani kila mwaka inaongozaga form four kitaifa,pia mwaka huu ktk kumi Bora imetoa shule mbili

Sent using Jamii Forums mobile app
Bukoba huioni ama?


Wasichana kumi Bora angalia wahaya ni wangap? Yaan Kati ya kumi Bora wanne wahaya


Pia matokeo ya std four kuna muleba pamoja na shule zake zaidi ya 200 lakin IPO ten best plus bukoba
tapatalk_1578575223461.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilimanjaro mbona ni kawaida kila mwaka inaongoza matokeo ya form four?
Unasema kagera ? Matokeo yanaonyesha shule ktk shule kumi Bora kagera Ni moja ya kemboys,wakati kilimanjaro zipo mbili(anuarite na maua) pia mwanafunz bora wa kike ni mchaga anaitwa Joan rite wa st Françis upo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Bila Shaka unaiona bukoba na muleba ( uhayani) kwenye top ten.
tapatalk_1578585714492.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom