luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Kila mwaka mkoa wa kilimanjaro unakuwaga wa kwanza dar blessed regionHalmashauri kumi bora Kagera wametoa mbili, shule bora kitaifa ni Kemebos ya Bukoba...acha kabisa sijui ni sato na matoke
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukija kwenye form two kilimanjaro na halmashauri zake inatishaaaaHalmashauri kumi bora Kagera wametoa mbili, shule bora kitaifa ni Kemebos ya Bukoba...acha kabisa sijui ni sato na matoke
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaongelea mikoa
Kilimanjaro ndio babá lao kabisaWaambie hao watu wanajifanya hawaoni.
Hebu tazamen top ten zote
Kuna mpaka shule ya kata Nyaishozi hukoView attachment 1317419View attachment 1317420View attachment 1317421
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilimanjaro ndio babá lao kabisaaa wamenishinda tabiaWahaya ni hatari jamani tuache roho mbaya
[/QUOTE]Kilimanjaro Ni kawaida kabisa kila mwaka inaongozaga kidato Cha nneK2; Arusha ya Kwanza, Kilimanjaro ya 3; K4; Kili ya Kwanza, Arusha ya 2;
Lake zone vp?
Safi sana.mkuu nimetupa fimbo nimeenda kumnunulia zawad kapiga KO ya maana 😂😂😂
The apple doesn't fall far from its tree.mkuu dogo kapafom fresh thanks alot mkuu
Yaap and I hope one day he will make me proud of him when he become a better man than me he make me happy today really happy we dance Yope together 😂😂😂The apple doesn't fall far from its tree.
What he has done explains a lot about his parents abilities, or aptitudes.
h😂😂😂the boy just made my day 🙏🙏Safi sana.
Mpe kongole kutoka JF, tuwakilishe vema ktk kumpa zawadi member mtarajiwa wa JF miaka michache ijayo.
Kwamba wa tatu kitaifa humuoni amaa?Kilimanjaro mbona ni kawaida kila mwaka inaongoza matokeo ya form four?
Unasema kagera ? Matokeo yanaonyesha shule ktk shule kumi Bora kagera Ni moja ya kemboys,wakati kilimanjaro zipo mbili(anuarite na maua) pia mwanafunz bora wa kike ni mchaga anaitwa Joan rite wa st Françis upo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Bukoba huioni ama?Kilimanjaro ndio babá lao kabisa
Yaani kila mwaka inaongozaga form four kitaifa,pia mwaka huu ktk kumi Bora imetoa shule mbili
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila Shaka unaiona bukoba na muleba ( uhayani) kwenye top ten.Kilimanjaro mbona ni kawaida kila mwaka inaongoza matokeo ya form four?
Unasema kagera ? Matokeo yanaonyesha shule ktk shule kumi Bora kagera Ni moja ya kemboys,wakati kilimanjaro zipo mbili(anuarite na maua) pia mwanafunz bora wa kike ni mchaga anaitwa Joan rite wa st Françis upo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanangu ana iii 24. Civ C Hist C Geog D Kisw C Eng C bios C maths F. Vipi advance ataenda au hata collage? ?
Naombeni mwongozo wajuvi
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app