Mwanangu ana iii 24. Civ C Hist C Geog D Kisw C Eng C bios C maths F. Vipi advance ataenda au hata collage? ?
Naombeni mwongozo wajuvi
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Si kutazama matokeo tu, inabidi urudi shule tenaWakubwa shikamooni,tunaolingana habari za mida hii ,Jana matokeo ya wadogo zetu yalitangazwa rasmi ,kiukweri Toka Jana nilijaribu kipitia matokeo ya shule nyingi ila ST.FRANCIS GIRLS imenifrahisha mno kauli yang ,ukisikiwa watu Wana mungu Ni hii shule.heb pitia na wewe utoe wazo View attachment 1317849
Hapo hata sio Mungu watu wanachukua cream tupu we ulitakaje we peleka mwanao kama mbulula uone kama watampokeaWakubwa shikamooni,tunaolingana habari za mida hii ,Jana matokeo ya wadogo zetu yalitangazwa rasmi ,kiukweri Toka Jana nilijaribu kipitia matokeo ya shule nyingi ila ST.FRANCIS GIRLS imenifrahisha mno kauli yang ,ukisikiwa watu Wana mungu Ni hii shule.heb pitia na wewe utoe wazo View attachment 1317849
Watu wanasema ajira hakuna! Ajira hakuna kama ufaulu wako ni wa kuungaunga! Ukiwa na ufaulu wa juu unapata kazi hata kabla ya graduation ceremony
Wa kwangu mkuu, hiyo range ndio Mungu amependa iwe hivyoWatoto wako Au!?? Hiyo range Veepee!!??
HongeraWa kwangu mkuu, hiyo range ndio Mungu amependa iwe hivyo
Jiongezee wew search jina la shuleHabari zenu jamani,nimeyakuta matokeo ya kidato cha pili lakini hayapo katika mpangilio mzuri,mwenye matokeo ya kidato cha pili shule ya Ilala Islamic aniwekee hapa
Sawa wa tatu ni mhaya kutoka sengerema,ila ukija kimikoa kagera haijafanya vyema SanaKwamba wa tatu kitaifa humuoni amaa?
Halafu angalia form two huko na form wasichana kibao ni wahaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kivipi? Kwan Kuna matokeo yoyote kagera imeipita kilimanjaro?instanbul
Kuna watu naona wanajifanya hawaoni comment yako, ukisoma majibu yao ni kama mtu anaona haibu hahaaaa.
sio kila mwaka. sio vizuri kutia chumvi sana.Kilimanjaro Ni kawaida kabisa kila mwaka inaongozaga kidato Cha nne
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo ni Muleba halafu Bukoba kish kwa mbaaaali ni moshi et? Nieleweshe MkuuBila Shaka unaiona bukoba na muleba ( uhayani) kwenye top ten.View attachment 1317709
Sent using Jamii Forums mobile app