Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Matokeo nimeshayaona and thank God mwanangu ana division 1 ya point 9, na tunamshukuru Mungu shule imefanya vizuri sana kwani ni ya 7 Kitaifa..........Aah! Kwahiyo unataka kuniaminisha kuwa we ni mzazi?
Basi sawa ni vizuri kama ni mzazi hautakiwi kuwa na presha we subiri matokeo yatatangazwa tu,
presha mwachie mwanao kwanza siku hizi hakuna kufeli wengi wanafuzu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilboru mzeeJamani T. O AMETOKA SHULE GANI? Mana dogo nae alikuwa anawania kuwa TO kutoka makurunza sec school kata ya makurunza.
Chagua kusuka au kunyoa
Hizi utaziona matokeo ya wakubwa waliopevuka advanced level...achana na hao wafanya biashara wanapeana majibuKibaha yetu ipo wapi? Tabora boys? Mzumbe? kwishinehii.
Siteseki mjomba , nafikiria tu umati wa ada namna ile halafu top 10 hakuna ! halafu mbona kama ghafla hivi ?
Hizi utaziona matokeo ya wakubwa waliopevuka advanced level...achana na hao wafanya biashara wanapeana majibu
Sent using Jamii Forums mobile app
kibaha o level hawapo vizuri..ila kwa advance wapo njemaKibaha yetu ipo wapi? Tabora boys? Mzumbe? kwishinehii.
Aiseee !!
yametoka