mzee wa kismati
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 2,292
- 798
hawa wanaseminary watakua wanapata mitihani kabla ya siku ya kufanya mtihani husika.
kalia hapo xaxa wenzko wanapatj phd
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawa wanaseminary watakua wanapata mitihani kabla ya siku ya kufanya mtihani husika.
Wivu wa kike!Huu ni mkakati wa Kanisa Catholic na utaendelea kwa
mda mwingi ujao hapa nchini; it is very unfortunate.
Ushahidi wa uchakachuaji ni pale hao walioongozwa
kupata hizo grades 1 ni pale wanapo maliza masomo
yao na kupewa hivyo vyeo vya juu ni kwamba
hawawezi kuleta contribution ye yote for the
development of the nation. Angalia maofisi yote
ambamo watu kama hawa wamepachikwa utajionea
mwenyewe.
Matokeo ya mtihani wa kidato cha nne wa mwaka 2013 yaweza kutumika kama uthibitisho mwingine wa nguvu ya kanisa katoriki nchini Tanzania. Hizi ndizo shule 10 bora:- 1. St.Francis Girls (Mbeya), 2. Marian Boys (Pwani), 3. Feza Girls (Dar-es-salaam), 4. Precious Blood (Arusha), 5. Canossa (Dar-es-salaam), 6. Marian Girls (Pwani), 7. Anwarite Girls (Kilimanjaro), 8. Abbey (Mtwara), 9. Rosmini (Tanga) na 10. DonBosco Seminary (Iringa). Shule nyingi zinamilikiwa na kanisa katoriki. Hapa naona uimara zaidi wa kanisa katoriki.
Hawa ndio wanafunzi wanafunzi 10 bora.
1. Robina S Nicholaus (Marian Girls - Pwani), 2. Magreth Kakoko (St. Francis Girls - Mbeya), 3. Joyceline Leonard Marealle (Canossa - Dar-es-salaam), 4. Sarafina W. Mariki (Marian Girls - Pwani), 5. Abby T Sembuche (Marian Girls - Pwani), 6. Sunday Mrutu (Anne Marie - Dar-es-salaam)), 7. Nelson Rugola Anthony (Kaizirege - Kagera), 8. Emmanuel Mihuba Gregory (Kaizirege - Kagera), 9. Janeth Urassa (Marian Girls - Pwani) na 10. Angel Ngulumbi (St. Francis Girls - Mbeya). Wanafunzi wengi ni wakristo. Hapa naona naona wakristo wakiendelea kutawala kielimu.
Kwa maana nyingine, kwenye hao kumi bora pia, hakuna jina la Mohamedi wala Juma.
[FONT="]Matokeo ya mtihani wa kidato cha nne wa mwaka 2013 yaweza kutumika kama uthibitisho mwingine wa nguvu ya kanisa katoriki nchini Tanzania. [/FONT] [FONT="]Hizi ndizo shule 10 bora:- 1. St.Francis Girls (Mbeya), 2. Marian Boys (Pwani), 3. Feza Girls (Dar-es-salaam), 4. Precious Blood (Arusha), 5. Canossa (Dar-es-salaam), 6. Marian Girls (Pwani), 7. Anwarite Girls (Kilimanjaro), 8. Abbey (Mtwara), 9. Rosmini (Tanga) na 10. DonBosco Seminary (Iringa). Shule nyingi zinamilikiwa na kanisa katoriki. Hapa naona uimara zaidi wa kanisa katoriki. Hawa ndio wanafunzi wanafunzi 10 bora. [/FONT] [FONT="] 1. Robina S Nicholaus (Marian Girls - Pwani), 2. Magreth Kakoko (St. Francis Girls - Mbeya), 3. Joyceline Leonard Marealle (Canossa - Dar-es-salaam), 4. Sarafina W. Mariki (Marian Girls - Pwani), 5. Abby T Sembuche (Marian Girls - Pwani), 6. Sunday Mrutu (Anne Marie - Dar-es-salaam)), 7. Nelson Rugola Anthony (Kaizirege - Kagera), 8. Emmanuel Mihuba usipende KUAMSHA CHUKI ZILIZOLALA KISA UNAVUTA SANA BANGE KABLA HUJAFANYA MAMBO YAKO,SIO LAZIMA KULETA MAWAZO YAKO MNAYOSHAURIANA NA WAVUTA BANGE WENZIO HUKO KIJIWENI,.BANGE ZAKO PELEKA HUKO,
Hujaandika kwa kina hayo mahusiano ya nguvu za kanisa katoliki na hayo matokeoa . Tafakari upya pia wakati unafanya analysis upya utuambie hao wanaosoma hizo shule ni watanzania ama waisilamu /wakristo ili uwe umetimiza ulichotaka kuandika . Hiki ulichokiandika papa kina onyesha una matatizo ya kufanya mahusiano ya mambo.Matokeo ya mtihani wa kidato cha nne wa mwaka 2013 yaweza kutumika kama uthibitisho mwingine wa nguvu ya kanisa katoriki nchini Tanzania. Hizi ndizo shule 10 bora:- 1. St.Francis Girls (Mbeya), 2. Marian Boys (Pwani), 3. Feza Girls (Dar-es-salaam), 4. Precious Blood (Arusha), 5. Canossa (Dar-es-salaam), 6. Marian Girls (Pwani), 7. Anwarite Girls (Kilimanjaro), 8. Abbey (Mtwara), 9. Rosmini (Tanga) na 10. DonBosco Seminary (Iringa). Shule nyingi zinamilikiwa na kanisa katoriki. Hapa naona uimara zaidi wa kanisa katoriki.
Hawa ndio wanafunzi wanafunzi 10 bora.
1. Robina S Nicholaus (Marian Girls - Pwani), 2. Magreth Kakoko (St. Francis Girls - Mbeya), 3. Joyceline Leonard Marealle (Canossa - Dar-es-salaam), 4. Sarafina W. Mariki (Marian Girls - Pwani), 5. Abby T Sembuche (Marian Girls - Pwani), 6. Sunday Mrutu (Anne Marie - Dar-es-salaam)), 7. Nelson Rugola Anthony (Kaizirege - Kagera), 8. Emmanuel Mihuba Gregory (Kaizirege - Kagera), 9. Janeth Urassa (Marian Girls - Pwani) na 10. Angel Ngulumbi (St. Francis Girls - Mbeya). Wanafunzi wengi ni wakristo. Hapa naona naona wakristo wakiendelea kutawala kielimu.
sasa huyo mungu wa kikatolic anapowavuvia akili za kushinda nectar si awape na za kufanikiwa.
Mungu wa kushinda necta only is a useless one.
Kwa maana nyingine, kwenye hao kumi bora pia, hakuna jina la Mohamedi wala Juma.
Hivi mbona mnaweka tu ilimu dunia weken na ilimu ahera muone tunavyotema Ayah
Aaah Aaah...
Serikali ina mikakati ya kufungua plant ya kufua umeme kule Mtwara nakuomba ukateme ayah na huko
hawa wanaseminary watakua wanapata mitihani kabla ya siku ya kufanya mtihani husika.
mkuu unategemea mtoto wa mwenzako asome alafu akuletee maendeleo wewe? labda ungeuliza hivi! mbona wanasoma alafu maisha yao mamabovu/hawana ajira/hawana kazi? labda nikuulize, mtoto wa mwenzako akisoma akawa bank officer ataletaje maendeleo kwenye familia yako? au ndugu yangu unaamini kuwa kila aliyesoma anakwenda kwenye siasa? nenda kwenye familia ambazo zimewekeza kwenye elimu alafu jaribu kupima kiwango cha maisha yao utajua nina maanisha nini
Huu ni mkakati wa Kanisa Catholic na utaendelea kwa
mda mwingi ujao hapa nchini; it is very unfortunate.
Ushahidi wa uchakachuaji ni pale hao walioongozwa
kupata hizo grades 1 ni pale wanapo maliza masomo
yao na kupewa hivyo vyeo vya juu ni kwamba
hawawezi kuleta contribution ye yote for the
development of the nation. Angalia maofisi yote
ambamo watu kama hawa wamepachikwa utajionea
mwenyewe.
yes...
kati ya hizo shule 10 za katoliki ni 9... very nice my church am so proud to be a CATHOLIC