kwaiyo unataka kuniambia mshahara wa pccb baada ya makato yote mtu anaweza kuondoka na laki 6 au 7 (mwenye degree)Amini kwamba. Ninachokuambia ni kweli kabisa, naona kila siku. Sio nabahatisha, najua. Labda uwe kitengo cha ulinzi wa viongozi, nako ni posho ndio hukubeba na sio mshahara. Au labda uwe kwenye operesheni maalumu kama ile ya kibiti niliona kidogo kwa siku wanapata pesa kama 50k-100k kwa siku. Hapa mtandaoni mnadanganyana mno. Mishahara ya hao jamaa ni ufanano na idara zingine za ulinzi.
Kuna mtu katoa rushwa kupambana na rushwa?Utoa Rushwa Ili Kupata Kazi Ya Kupambana Na Watoa Rushwa.
Yes, kama ni mshahara ule ghafi ukiweka makato, PSSF, NHIF, PAYE mshahara utaobakia mkononi utacheza hapo hapo. Sijui nani anadanganya kuwa hawa watu wanalipwa vizuri. Nina watu wapo huko PCCB ni njaa kali tu. Mkifika kazini ndio mtaaona.kwaiyo unataka kuniambia mshahara wa pccb baada ya makato yote mtu anaweza kuondoka na laki 6 au 7 (mwenye degree)
Duh kwaiyo, ukiwa kwenye hii taasisi na zikatokea kazi sehemu nyingine (zile za transfer, si unaweza kuwa transfer au ni ngumu)Yes, kama ni mshahara ule ghafi ukiweka makato, PSSF, NHIF, PAYE mshahara utaobakia mkononi utacheza hapo hapo. Sijui nani anadanganya kuwa hawa watu wanalipwa vizuri. Nina watu wapo huko PCCB ni njaa kali tu. Mkifika kazini ndio mtaaona.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kwa TISS ni kawaida kutokea hilo sijui kwa TAKUKURU. Hao jamaa wanapenyeza watu wao kwenye kila idara hivyo nafasi za kazi zikitokea na wao huweka maafisa wao.Duh kwaiyo, ukiwa kwenye hii taasisi na zikatokea kazi sehemu nyingine (zile za transfer, si unaweza kuwa transfer au ni ngumu)
TISS amemzidi takukuru padogo sana sana mkuu
Kwa TISS ni kawaida kutokea hilo sijui kwa TAKUKURU. Hao jamaa wanapenyeza watu wao kwenye kila idara hivyo nafasi za kazi zikitokea na wao huweka maafisa wao.
Opinion Kulingana Na Mleta Mada.Kuna mtu katoa rushwa kupambana na rushwa?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] ilibidi nicheke kwanza. Sijui Mil 2.2 anaichukuliajeKwa hiyo TISS wao wanalipwa M2.1 [emoji12][emoji12][emoji12][emoji23][emoji1787][emoji1787] wewe dogo fala sana.
Yaan natamani nikwambie ila basi tu, hao TISS mishahara yao ni midogo mno. Tofauti ya TISS na POLISI ni ndogo sana yaan ni ndogo saaaaaaaana.
Huo mshahara uliotaja wewe ni mkubwa sana. Hiyo 2.2 igawanye mara mbili ndio mshahara wao mzee.
Umemaliza, mm huwa nashanga sana. Binafsi, kwetu kuna watu kama wa3 wako huko, wanalia njaa tu, tarehe kama hizi hata pesa ya kula ni changamoto.Hao TISS watu wanawasifia tu ila wana maisha ya kawaida sana, nje ya safari ni weupe sana kwa mwezi wanapata kama 1.1M inclusive everything.
Kuna kipindi nilidate na watu wa huko kusema ukweli nilimsaidia vitu vingi maana ikifika katikati ya mwezi hana kitu yaani mweupe pyee kama karatasi
Same applies to PCCB officer baada ya makato yote anapokea kama laki saba hivi.
SIO KWELI.afsa mchunguzi ni sh 2,200,000/=
msaidi anachukua sh 1,700,000/=
ukweli ni upiSIO KWELI.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] hiyo pesa kwa kazi gani wanazofanya??ukweli ni upi
Inauma sana kijana I can see the pain waliotumia muda na fedha zao kwenda kwenye interview ivi vitu vimeshamili baada ya mwendazake kuondoka.Naanza kwa kusema, poleni mliokosa na hongereni mlioona majina.
Ila tukisema tuangalie uhalisia, naweza sema TAKUKURU haijawatendea haki waliofanya usaili ule. To be fair, why wasingetoa majina na marks kila mmoja alizopata, huku wakiainisha cut-off points?
Tuachane na lile swala la baadhi ya majina kujirudia zaidi ya mara moja, hivi, how can we measure the transparency of the process?
Wametumia muda mwingi kuandaa haya majina, ila bado wamechemka pakubwa, maana mpangilio sio mzuri na unamakosa kibao.
Jumanne ya tarehe 04/01/2022 kuna dogo aliniombaga ushauri juu ya hizi application. Kilichokuwa kinamsumbua ni kwamba kuna mzee alimwambia mpaka kufikia ile siku (jumanne), nafasi zilizokuwa zimebaki wazi for everyone zilikuwa 10 out of 200 ( upande wa afisa uchunguzi).
So aliambiwa na yule Mzee atoe around 4 million ili aweze kupatiwa nafasi, na alikuwa guaranteed kupata as long as jina lake lilikuwepo kwenye list ya walioitwa kufanya mtihani hata kama hatoenda Dom kwenye pepa ya mchujo. Me nilichomshauri ni kwamba asitoe hiyo hela, aende tu kufanya mtihani wa mchujo.
Ila am sure now atakuwa anajilaumu kuniskiliza, maana ile hela uwezo wa kulipa alikuwa nao. Even kwa upande wangu baada ya kuona namna results zilivyorudi, napata hisia kuna possibility yule Mzee alikuwa anajua anachokiongea, something is smelling fishy here.
Anyway, kuna 3 questions ninazo:
1. Nasikia kwenye paper waliandika number, why takukuru wametumia nguvu kubwa kuconvert numbers into majina, wakati ilikuwa simple kurudisha results kwa number?
2. Cut-off point ilikuwa ngapi na ufaulu ulikuwaje?
3. Why hawaja-display attained marks za participants wote?
Mchunguzi msaidizi anachukua laki 8 na 16,kabla ya makato.ipo hivyo mkuu ukitaka mengine siwezi kupublish hapa ,mpka posho mkoa ,wilaya tunazijua braza usiione tumekaa kimya,na kuna posho ya kila tar 5,acha niishie hapoukweli ni upi
watu hawazungumzii msaidizi wanazungumzia mchunguzi kamili mwenye degree, anakula mpaka 2.2M kwa mwezi kabla makatoMchunguzi msaidizi anachukua laki 8 na 16,kabla ya makato.ipo hivyo mkuu ukitaka mengine siwezi kupublish hapa ,mpka posho mkoa ,wilaya tunazijua braza usiione tumekaa kimya,na kuna posho ya kila tar 5,acha niishie hapo
CARDLESS tumia busara,sio suala la wote kuitwa,inachotakiwa ni HAKI,si sawa watoto wa maskini watumie gharama kusafiri kutoka makwao mpaka Dodoma,gharama za malazi na chakula halafu nafasi wapewe watoto wa wakubwa ambao hata kuhudhuria Usaili hawakuhudhuria,hii si sawa. Chombo kama TAKUKURU kikiwa KICHAFU wakati kipo Kisheria kupambana na mambo MACHAFU ni aib
Nina rafiki yangu ana diploma yupo TPB ( sasa TCB) analipwa zaidi ya hiyo laki 6. Kwakua hajanitajia mshahara exact labda nikikutajia kiwango anachoweza kukopa utapata picha.Yes, kama ni mshahara ule ghafi ukiweka makato, PSSF, NHIF, PAYE mshahara utaobakia mkononi utacheza hapo hapo. Sijui nani anadanganya kuwa hawa watu wanalipwa vizuri. Nina watu wapo huko PCCB ni njaa kali tu. Mkifika kazini ndio mtaaona.