Matokeo ya mchujo TAKUKURU: Let's be honest with each other

Matokeo ya mchujo TAKUKURU: Let's be honest with each other

Hakuna kitu kama hicho, anakudanganya tu wale jamaa mambo yao siri siri tu.

Ila nakusanua IO anakula zaidi ya 1.7M na posho kwa mwezi ni 450k

At the end wanaondoka kama 2.1M.
Ndio hvyo
haah hapana mzee..maana huyu jamaa alishawahi kuwa IO.....Labda kama wamebadilisha hivi karibuni
 
Acha kuandika usichokijua, na pia usidharau vijana wenzako ukajiona wewe bora sana eti kwa sababu umeitwa oral, wenzako hawajaitwa. Kwa taarifa yako hiyo kuitwa ni formality tu, mnasindikiza watu. Baada ya oral mafuta yatajitenga na maji. Kapige hiyo oral, kisha majina yakiachiwa rudi hapa kuleta mrejesho. Namfahamu mtoto wa waziri mkuu mstaafu Mizengo Pinda, anaitwa Chrispin Mizengo Pinda, alienda kwenye aptitude na sasa kaitwa oral, na kazi bila shaka atapata pia. Huyo katokea familia duni? Ningekupa mifano mingine mingi ya madogo nnaowafahamu. Kanywe tu mtori Dodoma, but usitegemee utakuta nyama chini. Over

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni ngumu kumshinda mtoto wa pinda..baba yake anapiga simu moja tu anapita
 
haah hapana mzee..maana huyu jamaa alishawahi kuwa IO.....Labda kama wamebadilisha hivi karibuni
Kakojoe ulale, akili za kuambiwa changanya na za kwako!!

Hivi leo mtu anapambana na rushwa alaf kwa degree alipwe 610k? Inaingia akilini?
Huyo alitaka kukuongopea ili tu uone hakuna maslahi kule..
 
Unapata kazi ya kupambana na rushwa kwa kutoa rushwa.

Hii nchi ishaoza inatoa wadudu tu.

Mkuu Mr.Junior naomba useme kwamba ulichoandika ni "Hadithi tu" KWAVILE kama ni kweli BASI sisi kama TAIFA tutakuwa tumefika pabaya sana. Kama hii taarifa ni ya ukweli BASI sisi sote na viongozi wetu wa KIIMANI tunahitaji kutubia huu uovu. MUNGU tusaidie
 
Kakojoe ulale, akili za kuambiwa changanya na za kwako!!

Hivi leo mtu anapambana na rushwa alaf kwa degree alipwe 610k? Inaingia akilini?
Huyo alitaka kukuongopea ili tu uone hakuna maslahi kule..
dah sawa mkuu...sasa sijui anafaidika vipi kunidanganya ...na ni ndugu yangu kabisa
 
Shikamoo Mkurugenzi Mkuu Salum Hamduni

Mimi ni kijana niliyekuwa miongoni mwa vijana tuliofanya Usaili tarehe 8 January, 2022 na majibu yametoka juzi. Ulitokea mkanganyiko ambapo jina langu lilitoka kwenye list ya WACHUNGUZI WACHUNGUZI (waombaji wenye Degree) wakati mimi niliomba nafasi ya WACHUNGUZI WASAIDIZI (maana nina Diploma).

Kutokana na mkanganyiko huo,niliambiwa na Wasimamizi nifanye Mtihani wa Wachunguzi Wasaidizi lakini nikitumia namba ya Mtihani niliyopewa kwenye list ya WACHUNGUZI.

Na kwa kuwa sikuwa peke yangu niliochanganywa nafasi, tuliambiwa na Wasimamizi kwamba Mitihani yetu itawekwa Pending kusubiri maelekezo mengine.

Licha ya kuamini kwamba nilifanya vizuri Mtihani ule, jina langu halijatoka pamoja na majina ya wengine wote tuliokumbwa na kadhia ya kuchanganywa nafasi tulizoomba, hivyo tunaamini mkanganyiko uliojitokeza ndio uliosababisha majina yetu yasitoke.

Kwa HESHIMA NA TAADHIMA, tunakuomba Mkurugenzi Mkuu ufuatilie suala hilo.

Ubarikiwe sana
Wewe uliyataka mwenyewe! Jina lishatoka ila ukajifanya kiherehere kwenda kutaka uwekwe unapopataka wewe... Ungekausha tu mchakato uendelee ungekuja kujua mbele kwa mbele
 
Back
Top Bottom