Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Binafsi nazitakia Kila laheri timu zetu mapacha wa KARIAKOO waweze kufuzu robo fainaliMara ya mwisho simba kukutana na timu alizopangwa nazwo kwenye kundi lake.
Asec 3 -0 Simba
Waydad 1 - 0 Simba
Simba 1 - 3 Galax
Yanga sc mara ya mwisho kukutana na timu alizopangwa nazo.
Ahly 1 -0 yanga
Medeama 3 - 1 Yanga
Belouizdad vs yanga hawajawahi kukutana.
Nataman sana watanzania tuwe na akili timamu, mleta mada ni mpumbavu, kachukua matokeo ya mwisho akasahau kuwa mech hzo zote zilikuwa home and away ndan ya kipind kifupJumla ya matokeo ya mwisho yalikua hivi.
[emoji116]
1st leg. Simba 3-0 Asec.
2nd leg. Asec 3-0 Simba.
aggrigate 3-3.
1st leg. Simba 1-0 Wydad.
2nd leg. Wydad 1-0 Simba.
aggrigate 1-1.
1st leg,Jwaneng galaxy 0-2 Simba.
2nd leg.Simba 1-3 Jwaneng galaxy.
aggrigate 3-3.
Mpumbavu ni wewe, unaelewa maana kukutana mara ya mwisho?Nataman sana watanzania tuwe na akili timamu, mleta mada ni mpumbavu, kachukua matokeo ya mwisho akasahau kuwa mech hzo zote zilikuwa home and away ndan ya kipind kifup
No doubt ULIKIMBIA SHULEMara ya mwisho Simba kukutana na timu alizopangwa nazwo kwenye kundi lake;
Asec 3 -0 Simba
Waydad 1 - 0 Simba
Simba 1 - 3 Galax
Mara ya mwisho Yanga kukutana na timu alizopangwa nazo;
Ahly 1 -0 Yanga
Medeama 3 - 1 Yanga
Belouizdad vs Yanga hawajawahi kukutana
Sawa mimi nimekimbia umande,je' wewe usiokimbia shule umeona ulivyo changanya alphabet kubwa na ndogo.No doubt ULIKIMBIA SHULE