Matokeo ya shule za serikali ni aibu, tupambane tupeleke watoto shule za serikali

Matokeo ya shule za serikali ni aibu, tupambane tupeleke watoto shule za serikali

Fintan20

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2023
Posts
213
Reaction score
556
Wanajamvi habari zenu?

Nimeona kuona mtu anaalamika kuhusu Fountain Gate academy kwamba watoto wanasoma muda mrefu bila kupumzika.

Hayo sisi hatuyataki tunataka tukutane na tuonyeshane kwenye matokeo.

Chonde chonde wazazi na walezi ninawasihi tupambane kadri tuwezavyo tupeleke watoto private hata kwa kucheza vikoba, kujimake na shuguli zingine halali.

Nimeona picha kutoka kwa mdau moja ya matokeo watoto wote hakuna Div one, two au three wote ni four na zero.

TAzameni wanaolalamika watoto wanaosoma mda mrefu
nisiongee sana

Screenshot_20240111-094413_1.jpg
 
Kama mwanao ni bongo lala(zero IQ) ata umpeleke mbinguni bado ata feli tu.
Feli atakayofeli siyo kama atakayokutana nayo mtoto aliyesoma shule za serikali.

Bro,ulishawahi kusogelea shule za serikali tena sikwambii za vijijini hizi za mijini ukaona hali ilivyo?tukubali tukatae hakuna mzazi anayependa mwanae asome shule darasa lina A na B na kote kuna watoto zaidi ya 200,ni uwezo tu unagomba.
 
Kama mwanao ni bongo lala(zero IQ) ata umpeleke mbinguni bado ata feli tu.
peleka mtoto akae karibu na maua yanayonukia vzuri.

Kataa shule nzima wanafunzi 300 zaidi wote wanapata four na masifuri.

The chance is katika private watoto 150 kwenye one 70 zitakazopatikana zita mdrag mtoto kutoka worst zaidi.

Huo ni ukweli serikali hii kazi yake kupika taarifa
 
Feli atakayofeli siyo kama atakayokutana nayo mtoto aliyesoma shule za serikali.

Bro,ulishawahi kusogelea shule za serikali tena sikwambii za vijijini hizi za mijini ukaona hali ilivyo?tukubali tukatae hakuna mzazi anayependa mwanae asome shule darasa lina A na B na kote kuna watoto zaidi ya 200,ni uwezo tu unagomba.
Unasemea wapi huko private olympio au diamond maana na zenyewe ni za kulipia ila darasa wanafunzi mia 300
 
Wanajamvi habari zenu?

Nimeona kuona mtu anaalamika kuhusu Fountain Gate academy kwamba watoto wanasoma muda mrefu bila kupumzika.

Hayo sisi hatuyataki tunataka tukutane na tuonyeshane kwenye matokeo.
Chonde chonde wazazi na walezi ninawasihi tupambane kadri tuwezavyo tupeleke watoto private hata kwa kucheza vikoba, kujimake na shuguli zingine halali.

Nimeona picha kutoka kwa mdau moja ya matokeo watoto wote hakuna Div one, two au three wote ni four na zero.

TAzameni wanaolalamika watoto wanaosoma mda mrefu
nisiongee sana

Serikali hii imefanikiwa kwenye nini? Tanesco, ttcl, atcl, mwendokasi?

Au Uda, kamata, kaudo, kauma, MV Bukoba?

Ukisikia ewura, latra, tcar, tra na wale wengine tambua ni wale wale pori jipya tu.
 
peleka mtoto akae karibu na maua yanayonukia vzuri.

Kataa shule nzima wanafunzi 300 zaidi wote wanapata four na masifuri.

The chance is katika private watoto 150 kwenye one 70 zitakazopatikana zita mdrag mtoto kutoka worst zaidi.

Huo ni ukweli serikali hii kazi yake kupika taarifa

Kwenye kuchanganya kwako kingereza-kiswahili katika mawasiliano hilo si tatizo la Serikali.
 
Feli atakayofeli siyo kama atakayokutana nayo mtoto aliyesoma shule za serikali.

Bro,ulishawahi kusogelea shule za serikali tena sikwambii za vijijini hizi za mijini ukaona hali ilivyo?tukubali tukatae hakuna mzazi anayependa mwanae asome shule darasa lina A na B na kote kuna watoto zaidi ya 200,ni uwezo tu unagomba.
Sijasoma shule za tz jokes 😆😆
 
Hayo mambo mwambie LIKUD atembelee hiyo website ajionee Kwa macho maana kusikia Kwa Kenge mpaka atoke damu masikioni
 
Back
Top Bottom