Fintan20
JF-Expert Member
- Dec 17, 2023
- 213
- 556
Wanajamvi habari zenu?
Nimeona kuona mtu anaalamika kuhusu Fountain Gate academy kwamba watoto wanasoma muda mrefu bila kupumzika.
Hayo sisi hatuyataki tunataka tukutane na tuonyeshane kwenye matokeo.
Chonde chonde wazazi na walezi ninawasihi tupambane kadri tuwezavyo tupeleke watoto private hata kwa kucheza vikoba, kujimake na shuguli zingine halali.
Nimeona picha kutoka kwa mdau moja ya matokeo watoto wote hakuna Div one, two au three wote ni four na zero.
TAzameni wanaolalamika watoto wanaosoma mda mrefu
nisiongee sana
Nimeona kuona mtu anaalamika kuhusu Fountain Gate academy kwamba watoto wanasoma muda mrefu bila kupumzika.
Hayo sisi hatuyataki tunataka tukutane na tuonyeshane kwenye matokeo.
Chonde chonde wazazi na walezi ninawasihi tupambane kadri tuwezavyo tupeleke watoto private hata kwa kucheza vikoba, kujimake na shuguli zingine halali.
Nimeona picha kutoka kwa mdau moja ya matokeo watoto wote hakuna Div one, two au three wote ni four na zero.
TAzameni wanaolalamika watoto wanaosoma mda mrefu
nisiongee sana