Matokeo ya utafiti kuhusu madai ya wanawake wa Kitanzania kujiuza katika mitandao ya kijamii

Haaaaa Boss
 
Mmmhhh
 
Telegram mwisho aisee kama unavyoona mnada wa nguo na huko ni hivyo hivyo
 
Inasikitisha mno. Tunatokaje kwenye hilo shimo?
 
Telegram mwisho aisee kama unavyoona mnada wa nguo na huko ni hivyo hivyo
Hivi imekuaje Telegram wabongo tumeigeuza imekua hivi? Maana bora hata hizi zingine ni dating sites.
Telegram? Daahhh!!
 
Tafiti kama ni tafiti ambazo hazina afya kitaifa,. Swala la uchangudoarism ni issue common world wide, na uchangudoarism kwa kitumia socio network ni style ya sasa wanayotumia wanaofanya iyo biashara.
Haya ni maoni yangu wala usijengw chuki
 
Mzee huko noma sana..nilikua kwenye magroup kama 5 nikaleft mwenyewe maana nikaanza kua mzembe Mbunye zinapigiwa mnada mpaka kinyeo.
Hivi imekuaje Telegram wabongo tumeigeuza imekuaje hivi? Maana bora hata hizi zingine ni daring sites. Telegram? Daahhh!!
 
Tafiti kama ni tafiti ambazo hazina afya kitaifa,. Swala la uchangudoarism ni issue common world wide, na uchangudoarism kwa kitumia socio network ni style ya sasa wanayotumia wanaofanya iyo biashara.
Haya ni maoni yangu wala usijengw chuki
Ahsante kwa maoni yako mkuu, sahau suala LA mimi kujenga chuki kwa sababu ya maoni yako.
Ni kweli kabisa uchangudoarism ni common mno, in fact hii biashara imekwepo tangu enzi na enzi; na ni kweli kuwa style sasa imekua kutumia social network. Ila bado pia hiyo haiondoi umuhimu wa kufanya tafiti kuweza kuelewa patterns na trends za hii biashara nchini kwetu, kina nani wanafanya? Inafanyikaje? To what extent inafanyika? Hakuna ubaya wa kufanya tafiti juu ya maswali haya kuhusu hii biashara na kuja na data ambazo zinaweza kusaidia kwa namna moja au nyingine kuweza kuokoa mabinti zetu kutojiingiza huku pale inapowezekana kufanya hivyo. Au pia inaweza kuwa hatua ya kwanza katika kuja na mikakati kuwasaidia mabinti walioko huko na wanataka kutoka.
You can never underestimate the importance of research in any social issue.
 
Telegram ni site yenye security na privancy na kutosha TCRA wenyew hawawez kupata data za mteja ovyo ovyo ndo maan inatumika Sana na Malaya walioanzisha kw east Africa ni Kenya na wabong wakaona Kumbe inafaa

Pia group la telegram Lina accommodate wt weng hata laki hko kwahy wanapata wteja wa kutosha
Pia namb ndani group mnaweza msifahamiane kwahy Malay watatum picha zako afu mteja anamchek biashara inaisha hii ndo imefanya telegram ktumi sana na Malaya kwa Tz
Likn wengin wengin kwaajila ya movie tu
Hivi imekuaje Telegram wabongo tumeigeuza imekua hivi? Maana bora hata hizi zingine ni daring sites. Telegram? Daahhh!!
 
Ahsante sana mkuu for these useful insights!
 
Inasikitisha mno. Tunatokaje kwenye hilo shimo?
Kiukweli kule telegram mie naona wakifanya Kama Twitter ilivyofanywa mie naona Ni sawa au telegram wenyewe wachukue majukumu Kama alivyofanya Google au YouTube yan kuondoa content zote zinazuhusu utupu na ngono vinginevyo mpaka December ijayo hata simu za kitochi Yan simu ndogo kabisa itakuwa inatumia 4G internet Sasa hapo kwa watoto wetu nahuko mashuleni na mitaani hakuna atakaepona.

Telegram nimeijua wiki mbili zilizopita Ila nimeikimbia Leo siku ya tatu hata sitaki kuijua tena
 

Haya Doktari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…