Matokeo ya utafiti kuhusu madai ya wanawake wa Kitanzania kujiuza katika mitandao ya kijamii

Mkuu summarise kidogo..nimeshindwa kusoma hii essay
 
I must say this mkuu, You are among the brightest Member of this forum.
RESPECT!!!
 
Wanachosha sababu ukiangalia umri wao na wanayoyazungumzia nikiwa kama mama yananiumiza,
nikifikiria pia nikiwa chuo sikuwa na nayo mawazo pamoja na kusoma kwa tabu Ila niliridhika,

wanayoyafanya wanaweka ugumu kwao watakapofikia umri wa kuchuja.

Pole Chief! Hao sasa ndio wa kuwaweka karibu na wewe bega kwa bega, be their big sis/auntie!

Try and leave a mark of greatness in each “thing” that you touch! After all you are a woman, you got power to transform anything! (Scary an obligation to raise a community!)

Sisterhood is great too! Who knows!? You might end up saving a girl or two in turn their whole generations will be saved!

Change begins with you and me! (Woman 2 Woman)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…