Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wao hawawezi kunizuia kutimiza lengo,Inabidi wew focus na unachokifanya ili utimize lengo
Mkuu summarise kidogo..nimeshindwa kusoma hii essay1.Nani katutuma?
-Suala hili LA mabinti wa Kitanzania kujiuza mitandao ni limekua likiongelewa sana, hata ukiangalia baadhi ya threads za humu JF utaona such discussions, lakini hakuna mtu ambae amewahi kufanya utafiti akaja na data ambazo zinaonyesha uwepo na ukubwa wa tatizo, hivyo mara nyingi huwa ni hear-say tu. So, tuliona hilo na kuonya umuhimu wa kufanya utafiti huu ili angalau kuelewa ukubwa wa hili suala LA mabinti wa (vyuo vikuu) wa Kitanzania kujiuza mitandaoni.
2.Tunalipwa kiasi gani cha fedha?
-Hilo swali sitalijibu, kwani ni personal sana na sitaweza kutoa taarifa zinazohusiana na kipato changu humu ndani (for obvious reasons).
3.Tunafaidikaje?
-Naomba hili swali nikujibu kwa Ku quote post # 135 ya Mr possibility
"Wengi mnaongea msichokijua,lengo ka mtoa mada(mtafiti) ni
Kutanya tafiti juu ya suala ka umakaya nchini hasa kwenye mitandao ya kijamii
Kuwapa wazazi tahadhari juu ya mienendo ya watoto wao hata wale wanaodhaniwa kuwa wameelimika na wapo vyuoni(wanafunzi),wake za watu nk
Nb
Suala la yeye kulipwa au la halimuhusu yeyote humu
Je anapata faida au hapati wewe na mimi hayatuhusu
Pasipo utafiti hauna haki ya kudai,kuongea kuhusu takwimu au ....nk
Hiyo ni kazi pia kama kazi nyinginezo
Nahitimisha"
Spark
Hahahahah msemeeeeUnaona saaa mambo zako .tunakuvumilia tu
Mkuu vipi ulipata link au nikusababishieTunapataje links za hayo magroup King
Katoto kana trend 😂😂😂😂😂Mkuu vipi ulipata link au nikusababishie
Ahahahaaaaa too much is harmfulMkuu vipi ulipata link au nikusababishie
Sana afu yupo sexy sana yani na ile tattoo ya paja alafu anaonekana msafi 😆😆Katoto kana trend 😂😂😂😂😂
Tunasafisha macho tu 😀😀Ahahahaaaaa too much is harmful
Naomba linkSana afu yupo sexy sana yani na ile tattoo ya paja alafu anaonekana msafi 😆😆
I must say this mkuu, You are among the brightest Member of this forum.Wakuu salama?
Kuanzia mwezi Septemba mwaka huu, niliongoza utafiti usio rasmi juu ya madai ya mabinti wa Kitanzania kujiuza kwenye mitandao ya kijamii ya Badoo, Tinder na Hitwe.
Maswali ya utafiti (Research questions):
1. Je, ni kweli kuwa mabinti wa Kitanzania walio katika mitandao ya Badoo, Tinder na Hitwe wanajiuza kimwili?
2. Je, mabinti wa Kitanzania wanaojiuza kimwili (kama wapo kulingana na majibu ya swali la kwanza hapo juu) katika mitandao ya badoo, tinder na hitwe ni wahitimu wa vyuo vikuu?
Malengo ya utafiti (objectives)
1. Kufahamu kama mabinti wa Kitanzania walio katika mitandao ya Badoo, Tinder na hitwe wanafanya biashara ya kuuza miili yao kwa matumizi ya ngono.
2. Kufahamu kama mabinti wa Kitanzania wanaojiuza katika mitandao ya badoo, Tinder na Hitwe (kama wapo) ni wahitimu wa vyuo vikuu?
Njia iliyotumika (Methodology)
Jumla ya Profiles 120 zenye majina na picha za mabinti kutoka mitandao ya badoo (40), tinder (40) na hitwe (40) walitumiwa meseji na mmoja wa wachunguzi wetu ambae alitengeneza 'profile' za kiume kwenye mitandao hiyo
Meseji ya kwanza ilikua ni "Hi mrembo!". Baada ya meseji hii kujibiwa na mhusika, maongezi yalikua yakiendelea kwa mchunguzi wetu kumwambia kuwa, " I wanna have some fun with you, how much will it cost me?"
"Profiles" zilikua zinachaguliwa "randomly" ambapo wachunguzi wetu walikua wanaongozwa na formula ambayo imesetiwa kabla ya kuanza zoezi kuchagua profiles za kuzitumia meseji in a random fashion.
Hitimisho la maongezi haya ni kwa mchunguzi wetu kufikia makubaliano na mhusika, na binti kutoa namba ya simu kwa mawasiliano zaidi ya namna ya kukutana. Kwa utafiti huu, binti kukubaliana BEI, muda na sehemu ya kukutana na mchunguzi wetu PAMOJA NA binti kutoa namba ya simu (ni lazima vitu hivi VYOTE vitimie), kulihesabika kama 'confirmatory test' ya binti kujiuza.
Kwa upande wa lengo la pili la utafiti huu kubaini kama wasichana wa Kitanzania wanaojiuza kwenye mitandao ya kijamii (kama wapo) ni wahitimu wa vyuo vikuu, kigezo kilichotumika ni ufahamu wa lugha ya kingereza kwa binti husika kwa kadri ya "chats" za mhusika na mchunguzi wetu (hii ina limitations zake, lakini ndio ilionekana kuwa ni njia ya haraka zaidi kubaini hilo kwa vigezo vya tafiti hii kwani inategemewa kuwa mhitimu wa chuo kikuu wa Kitanzania angalau aweze kumudu kingereza cha kuandika kwani ndio lugha ya kufundishia nchini kuanzia sekondari hadi chuo kikuu)
Matokeo (Results)
Kati ya meseji 120 zilizotumwa na wachunguzi wetu, meseji 109 zilipata majibu, na meseji 11 hazikujibiwa kabisa hadi mwisho wa utafiti. Meseji zilizojibiwa kwa kadri ya mitandao wa kijamii ni kama ifuatavyo; badoo (35), tinder (37) na hitwe (37).
Kati ya meseji 109 zilizojibiwa, iligundulika kuwa wasichana wa Kitanzania 92 (ambayo ni sawa na asilimia 84.4), WANAJIUZA kwani walikubaliana na mchunguzi wetu sehemu, simu na muda wa kukutana, pamoja na kutoa namba ya simu kwa mchunguzi wetu kwa mawasiliano zaidi.
Kati ya hao waliokubali, wasichana 74 (asilimia 80.4 ya waliokubali), walikua tayari kufika eneo la miadi kwa gharama zao, kwa ahadi ya kurejeshewa gharama hiyo na mchunguzi wetu.
Pia, kati ya wasichana 92 ambao walikidhi vigezo vya KUJIUZA kwa kadri ya utafiti huu, iligundulika kuwa 62, ambayo ni sawa na asilimia 67.4 hawamudu lugha ya kingereza (waliomba wachunguzi wetu wabadili lugha na kutumia kiswahili wakati wa chats)-Hivyo basi kuwa na uwezekano mkubwa kuwa hawakufika chuo kikuu.
Majadiliano (discussion)
Hii nakuachia wewe mwana JF
Hitimisho:
Asilimia 84 ya wasichana wa Kitanzania walio kwenye mitandao ya kijamii ya Badoo, Tinder na Hitwe wanajiuza kimwili, na kati ya hao asilimia 67 hawajafika elimu ya chuo kikuu (Pamoja na 'profiles' zao kuonyesha kuwa ni wahitimu au wanafunzi wa vyuo vikuu mbalimbali nchini).
Mengineyo
Utafiti huu pia uligundua vitu vingine ambavyo havikwepo kwenye malengo ya awali ya utafiti kama vile:
1. Kati ya wasichana 92 ambao walikidhi vigezo vya kujiuza kwa kadri ya utafiti huu, 81 (asilimia 88) walikubali kuwa wanatoa huduma ya ngono kinyume cha maumbile walipoulizwa na wachunguzi wetu iwapo wanatoa huduma hiyo.
2. Bei ya wastani kwa wasichana wanaojiuza kwa kadri ya makubaliano na wachunguzi wetu ilikua kati ya shilingi 20,000-100,000 kwa usiku mmoja. (Wengine walikua wanatoa bei kwa bao na sio kwa usiku).
3. Kuna uwezekano mkubwa kuwa kuna wanaojiuza ambao eidha bado wako chini ya uangalizi wa wazazi/walezi au labda hata wake za watu? Kwa sababu kulikua na idadi ya kutosha ya mabinti ambao walisema kuwa wao hawawezi kutoa huduma ya kulala usiku mzima, lakini wanaweza kutoa game mida ya kuanza asubuhi hadi jioni (Hili ni eneo lingine la utafiti kubaini hawa wanaojiuza mitandao ni ni kina nani hasa?)
Je, wapo pia watoto wetu tunoishi nao majumbani wanafanya hii biashara? pengine na wake za watu? Wazazi na walezi tuwe makini sana kujua nyendo za watoto wetu tunaoishi nao.
Mapungufu ya utafiti huu (limitations)
1. Kuna uwezekano wa kuwepo 'profiles' ambazo zina majina na picha za mabinti, ila ni za wanaume, hasa kwa wale ambao walikataa makubaliano ya kufika eneo la ahadi kukutana na mchunguzi wetu bila kutumiwa nauli-Utafiti huu haukuweza kueliminate hili kwa asilimia 100.
2. Kuna uwezekano pia ya baadhi ya mabinti ambao wanajua kingereza lakini hawakufika chuo kikuu (au kinyume chake pia), hivyo kwa lengo namba mbili la kubaini level ya elimu kwa kigezo cha kingereza inawezekana kutoa matokeo ambayo si uhalisia. Ila utafiti huu uwezo wake umeishia hapa.
Naomba kuwasilisha.
Shukrani sana mkuuHongera sana mkuu hakika umefanya kitu kikubwa sana na ulichobaini ndio ukweli kabisa
Wanachosha sababu ukiangalia umri wao na wanayoyazungumzia nikiwa kama mama yananiumiza,
nikifikiria pia nikiwa chuo sikuwa na nayo mawazo pamoja na kusoma kwa tabu Ila niliridhika,
wanayoyafanya wanaweka ugumu kwao watakapofikia umri wa kuchuja.
Ndio hivi.Jamani, hivi hakuna kabisa vitu vya kufanyia research on?
Ni kweli kabisa mkuu, utafiti huu umetupa uzoefu muhimu sanaKatika kufanya tafiti hii ya Kwanza kumewapa uzoefu wa kubuni na kuwezesha tafiti nyingi za muhimu Kama mtaendelea kufanya
Yote kwa yote tusiwahukumu kwa hilo linalofanyika kwani mwisho wa siku walengwa ni sisi wanaume unless tukatae huduma hiyo
Ahsante sana mkuu. I am really humbled.I must say this mkuu, You are among the brightest Member of this forum.
RESPECT!!!
Very true mkuu. Too sad.Bahati mbaya dunia inakwenda kasi sana! Sasa hivi jinsia zote ni wauzaji na wanunuzi kwa wakati mmoja !