Matukio katika Picha: Mapokezi ya Freeman Mbowe Kilimanjaro Machi 19, 2022

Mwl.RCT

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2013
Posts
14,624
Reaction score
20,666
===
Your browser is not able to display this video.

Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Freeman Mbowe akisaini kitabu katika ofisi yake aliyokuwa akiitumia kuwahudumia wananchi wa Jimbo la Hai akiwa mbunge wa jimbo hilo.
Code:
Chanzo:
https://twitter.com/ChademaTz/status/1505127335019917312
===
Your browser is not able to display this video.

"Kukamatwa kwangu kulikuwa kilele cha Uonevu" - Freeman Mbowe
===





===

"Mwenyekiti Mhe Freeman Mbowe akiteta jambo na mwenyekiti wa wilaya ya Moshi Mjini Raymond Mboya muda mfupi baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro. Mwenyekiti leo Machi 19, 2022 anaelekea nyumbani kwake wilaya ya Hai, tangu kufutiwa mashtaka ya Ugaidi."
===
Your browser is not able to display this video.

"nimetoka gerezani kwa sababu imethibitika sala za binadamu kwa Mungu zina nguvu kuliko majeshi ya Polisi." - Mh. Freeman Mbowe​
===
Your browser is not able to display this video.
===
Your browser is not able to display this video.
===


===



===
Day2: LIVE: MHE FREEMAN MBOWE AKIWA KWENYE IBADA YA SHUKRANI KATIKA KANISA LA KKKT NSHARA
Post #242: Matukio katika Picha: Mapokezi ya Freeman Mbowe Kilimanjaro Machi 19, 2022
===
 
Lumumba wako busy kutunga propaganda wanaweza kusema hizo picha zakutengeneza, au hao waliojitokeza sio watu ni majani ya miti.

Calculation mbovu za CCM zimeipandisha sana Chadema sio Hai tu, bali Tanzania yote kwa ujumla wake.
 
Hapo ni wapi ?, naona wamasai wengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…