Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Roho inakuuma ukiona umati ambao watu wanakuja kwa gharama zao pasipo shuruti mambo yanabadilika someni alama za nyakatiPicha zimepgwa kiujanja ujanja ili ionekane ni nyomi
Kwani akipokewa na watu wachache au wengi, wewe unaathirika kwa namna gani?Picha zimepgwa kiujanja ujanja ili ionekane ni nyomi
nikajua wewe ni johnthebaptistPicha zimepgwa kiujanja ujanja ili ionekane ni nyomi
Tulia mangi, kunywa kwanza kiwingu upunguze hang overOneni hili topolo linajiabisha kiasi hiki. Sasa ndo kitu gani hiki limeandika. Nyie mmemwelewa huyu Sadalla?
hao ni walinzi wnafiki kweli,walikuwa wapi kumlinda mwenyekiti asipige mweleka baada ya kulewa konyagi kule Dodoma?===
View attachment 2156574===
Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Freeman Mbowe akisaini kitabu katika ofisi yake aliyokuwa akiitumia kuwahudumia wananchi wa Jimbo la Hai akiwa mbunge wa jimbo hilo
View attachment 2156566===
"Mwenyekiti Mhe Freeman Mbowe akiteta jambo na mwenyekiti wa wilaya ya Moshi Mjini Raymond Mboya muda mfupi baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro. Mwenyekiti leo Machi 19, 2022 anaelekea nyumbani kwake wilaya ya Hai, tangu kufutiwa mashtaka ya Ugaidi."
===
===
===
View attachment 2156503
View attachment 2156504
Hahahaaaa...... Mimi nafanya siasa kubwa kubwa bwashee siyo hizo za kulinganisha picha!nikajua wewe ni johnthebaptist
Hao soyo wamasai ni wachagaHapo ni wapi ?, naona wamasai wengi sana
ahahaha bwashee ayaa sawaHahahaaaa...... Mimi nafanya siasa kubwa kubwa bwashee siyo hizo za kulinganisha picha!
Picha zimekaa kimchongo.😁😁
unateseka ukiwa wapi gamba?Picha zimepgwa kiujanja ujanja ili ionekane ni nyomi
Mwanamke una gubu si mchezo. Mtoto wa kike hapashwi kuwa hivyo.Picha zimepgwa kiujanja ujanja ili ionekane ni nyomi