Matukio katika Picha: Mapokezi ya Freeman Mbowe Kilimanjaro Machi 19, 2022

Matukio katika Picha: Mapokezi ya Freeman Mbowe Kilimanjaro Machi 19, 2022

Wachagga wametawala nchi hii tangu enzi ya Nyerere mpaka sasa, yule mshamba aliwajaribu akaipata fresh ya shamba!
Mshamba wako inaonekana alikuwa anakukosha sana! Maana hujawahi kuacha kumtaja!

Hao wataishia kutawala hapo machame tu, pale juu wasahau

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Unaweza kuendelea kulinda ligasi ya mwendakuzimu bila shobo. Kinyume na hapo nakupakata dakika sifuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nakuona manka umepanic hatari!

Mwendakuzimu wako bado utamkumbuka sana maana alikuwa anakubutua vizuri sana.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Ngosha huyu jamaa kapewa kibali ya haya mapokezi kwanza? Kamanda Siro tafadhali fanya kazi yako. Yule gaidi ambao polisi walikuwa na ushahidi wa kutosha yuko mtaani na anaendelea kuwafundisha wananchi ugaidi.
Mshamba wako inaonekana alikuwa anakukosha sana! Maana hujawahi kuacha kumtaja!

Hao wataishia kutawala hapo machame tu, pale juu wasahau

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Ngosha huyu jamaa kapewa kibali ya haya mapokezi kwanza? Kamanda Siro tafadhali fanya kazi yako. Yule gaidi ambao polisi walikuwa na ushahidi wa kutosha yuko mtaani na anaendelea kuwafundisha wananchi ugaidi.
Huyo kashasalimu amri kwa hangaya!

Ni mbwa asie na meno

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Safi sana nawaona Adam kasekwa,Mohamed lingw'enya
 
Back
Top Bottom