Watasema ni picha za 2015 za uchaguzi🤣🤣Kapiga ww za kiujinga ujinga utupostie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watasema ni picha za 2015 za uchaguzi🤣🤣Kapiga ww za kiujinga ujinga utupostie
Usijali mkuu sisi wasaidizi wake tupo tunaweza kubutua pia!Kumbe unachokumbuka kwake ni namna alikua anakubutua vizuri? Ahsante kwa kunifahamisha
Picha zimefojiwa kama Kielelezo namba D28Unateseka ukiwa wapi Mkuu
Wasaidizi kila siku za uso🤣Usijali mkuu sisi wasaidizi wake tupo tunaweza kubutua pia!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Ni kweli kama walivyomwangalia Jana ChongoloHata Osama akitokea sehemu watu wataenda kumwangalia
Weka ushahidi acha mipasho manka!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣Magaidi ni watu wa ajabu sana.Gaidi lina nguvu sana, limeamua kuharibu kabisa siku 365 za Mama.!
Waulize machadema wenzio ambao hata wakishindwa kusimamiha wanamlaumu jiwe,Inaonekana alikua anaupenda huo mcheza. Kuna siku aliwauliza kama mnataka kupanuliwa.
Wewe ulipanuliwa wapi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umetoa maoni kiujanjaujanja "KUONESHA UPUMBAVU WAKO " 😁🤣🙄🙄Picha zimepgwa kiujanja ujanja ili ionekane ni nyomi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ebana eee!Manka ni dada yako wa mwisho.Acha kubisha kwa kutumia kiuno weye fukara.Mbowe yupo kwake anakula loshoroo.Weye waite wasugunsu(sukuma gang)wakupe makopa,michembe,masangu au matobholwa uzuie kufa.
Za uso kivipi?Wasaidizi kila siku za uso[emoji1787]
Kuondoa dhana kwamba hiki chama kina harufu kubwa ya ukabila, mapokezi hayo yangeandaliwa nje ya mko wa Kilimanjaro ingependeza. Ni ushauri tu.===
View attachment 2156574
Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Freeman Mbowe akisaini kitabu katika ofisi yake aliyokuwa akiitumia kuwahudumia wananchi wa Jimbo la Hai akiwa mbunge wa jimbo hilo.===Code:Chanzo: https://twitter.com/ChademaTz/status/1505127335019917312
View attachment 2156566===
"Mwenyekiti Mhe Freeman Mbowe akiteta jambo na mwenyekiti wa wilaya ya Moshi Mjini Raymond Mboya muda mfupi baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro. Mwenyekiti leo Machi 19, 2022 anaelekea nyumbani kwake wilaya ya Hai, tangu kufutiwa mashtaka ya Ugaidi."
===
===
View attachment 2156663
===
View attachment 2156503
View attachment 2156504
Ndio Maana nimehama kwenu,,chuki chuki tuuu,,Mama kuongea na Mbowe;;;Watu wamenuna..Tanzania Ina watu wa ovyo Sana mmetawaliwa na roho mbaya roho za chuki kuombeana mabaya na ndio maana hamuendelei nyerere alikosea Sana kuwanyima elimu
Nawaza kwani Kama wewe ni ccm
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ebana eee!
Hili povu vipi tena manka?
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Alivyoenda kuwapa "neno la uzima" BAWACHA ilikuwa ni Hai?Kuondoa dhana kwamba hiki chama kina harufu kubwa ya ukabila, mapokezi hayo yangeandaliwa nje ya mko wa Kilimanjaro ingependeza. Ni ushauri tu.
Umemaliza mkuu kila kitu ushalipiwa wewe jihudumie tu!Picha zimepgwa kiujanja ujanja ili ionekane ni nyomi
Sawa manka wa machameHivi weye ni muha?Unataka ubishe na kujibu watu wote wa JF!?Tulia sasa ule hata kipolo chako cha makande.Usisingizie umefunga kwaresma.