Matukio katika Picha: Mapokezi ya Freeman Mbowe Kilimanjaro Machi 19, 2022

Matukio katika Picha: Mapokezi ya Freeman Mbowe Kilimanjaro Machi 19, 2022

===
View attachment 2156574
Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Freeman Mbowe akisaini kitabu katika ofisi yake aliyokuwa akiitumia kuwahudumia wananchi wa Jimbo la Hai akiwa mbunge wa jimbo hilo.
Code:
Chanzo:
https://twitter.com/ChademaTz/status/1505127335019917312
===
View attachment 2156566
"Mwenyekiti Mhe Freeman Mbowe akiteta jambo na mwenyekiti wa wilaya ya Moshi Mjini Raymond Mboya muda mfupi baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro. Mwenyekiti leo Machi 19, 2022 anaelekea nyumbani kwake wilaya ya Hai, tangu kufutiwa mashtaka ya Ugaidi."
===
===
===
View attachment 2156663

===
View attachment 2156503

View attachment 2156504
endelea kutuletea matukio live
 
Mbowe anakubalika. Nadhani umefika muda sasa ikimpendeza rais wetu Samia amteue Mbowe kuwa mwenyekiti wa bodi ya parole kwasababu kwa muda aliokaa gerezani ameshajua hali ilivyo huko. Tafadhali mwenyekiti wa CCM naomba umteue Ndugu Mbowe kuwa mwenyekiti wa bodi ya parole.
Mkuu hicho cheo cha parole si tulikubaliana apewe mzee wa kilalacha ?.
 
Tanzania Ina watu wa ovyo Sana mmetawaliwa na roho mbaya roho za chuki kuombeana mabaya na ndio maana hamuendelei nyerere alikosea Sana kuwanyima elimu

Nawaza kwani Kama wewe ni ccm
Inabidi tumuombee sabaya aachiwe ,tuwe na tabia ya kuombeana mema jamani,nakuunga mkono na sabaya aachiwe huru Kama Mbowe
 
Hata ukiita majina yepi,bado weye ni kiumbe ambacho hakitumii akili vizuri kuelewa mazingira yako.Umekaa kujinunisha tu kama mdangaji wa uswahilini kaachwa na hawara yake.Tuliza kiuno kijana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona kama wewe ndio umenuna manka?

Hili povu lote vipi aisee?

Kwani mwamba hajawanunulia mbege hapo machame?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
1647698034427.jpeg


 
Lumumba wako busy kutunga propaganda wanaweza kusema hizo picha zakutengeneza, au hao waliojitokeza sio watu ni majani ya miti.

Calculation mbovu za CCM zimeipandisha sana Chadema sio Hai tu, bali Tanzania yote kwa ujumla wake.
Very wrong calculations....
 
Ila katika viumbe punguani ni weye na kiji-kundi cha wenzio wajingawajinga fulani hivi pro-CCM.Nikiuliza wanaJF humu waorodheshe wawashwa viuno wa marehemu huwezi kukosekana.Ni ng'ombe usiye na mkia wa mbele wala nyuma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona kama wewe ndio umenuna manka?

Hili povu lote vipi aisee?

Kwani mwamba hajawanunulia mbege hapo machame?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom