maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
Aika Ruwa... Umemrudisha baba nyumbani. Maadui wameshindwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumeacha maduka yetu tumeenda kumpokea kiongozi wetu tunayemfahamu pekeeMchagga hawezi kuacha duka lake au kiliano aende kumpokea Mbowe.
Kwanza huku watu wanaabudu went pesa tu.
Na miji imejaa wazee.
Hizi Mbwembwe anazofanya Mbowe siyo utamaduni kabisa
Inamankusweke basiHapana
Na anapaswa kukaa kwa kutulia na kubana na kuyasitiri mapaja yake vema wakati kaka zake wanajadili hoja.Mwanamke una gubu si mchezo. Mtoto wa kike hapashwi kuwa hivyo.
Mwambie Mkuu akitulizeNa anapaswa kukaa kwa kutulia na kubana na kuyasitiri mapaja yake vema wakati kaka zake wanajadili hoja.
Picha zimepgwa kiujanja ujanja ili ionekane ni nyomi
Naukuona Manka umepanicAcha shobo mtoto wa kike. Utaliwa
shimbonyi shafoo sukuma gang .
Kwi Kwi KwiZimeeditiwa Mbowe walishamchoka [emoji1787]
Naona mmejikusanya na empire yenu!shimbonyi shafoo sukuma gang .
Wanasema inauma sana!😂😂😂😂Mbona wajane wa jiwe wanalia humu shida nini kwani?
Aibu kweli yaaniNaona mmejikusanya na empire yenu!
Mtaishia kutawala hapo machame tu
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Utajitesa bure Chadema itaendelea kusimama, wachaga na makabila wataendelea kusimama na Tanzania itasimama. Kama kosa ni kukataa kudhulumiwa acha wanachadema waonekane wakabila. Chadema IPO nchi nzima
sawa sukuma gang . usiogope Mwamba akitoka Machame atakuja kuhani msiba hapo chato. Stay tuned mambo ni fire .Naona mmejikusanya na empire yenu!
Mtaishia kutawala hapo machame tu
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Tena hizo chuki zao watakufa huku vitu vigumu vimeingia kwenye mifumo yao ya kutolea taka.Tanzania Ina watu wa ovyo Sana mmetawaliwa na roho mbaya roho za chuki kuombeana mabaya na ndio maana hamuendelei nyerere alikosea Sana kuwanyima elimu
Nawaza kwani Kama wewe ni ccm