Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kajinyonge basi!Picha zimepgwa kiujanja ujanja ili ionekane ni nyomi
Wewe Kula kulala wewe Kuna Muda uwe unatumia akili hata kidogoPicha zimepgwa kiujanja ujanja ili ionekane ni nyomi
😁😁😁😁😁😁😁Shidayako pole kwa gubu
Kweli kabsaa yaani hata watu hamsini hawafiki.Chadema na Mbowe wao kwishney!!!Picha zimepgwa kiujanja ujanja ili ionekane ni nyomi
Inamankusweke kwani unaumia?Picha zimepgwa kiujanja ujanja ili ionekane ni nyomi
View attachment 2156571
===
View attachment 2156574===
Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.#freemanmbowetz muda huu akisaini kitabu katika ofisi yake aliyokuwa akiitumia kuwahudumia wananchi wa Jimbo la Hai akiwa mbunge wa jimbo hilo
View attachment 2156566
"Mwenyekiti Mhe Freeman Mbowe akiteta jambo na mwenyekiti wa wilaya ya Moshi Mjini Raymond Mboya muda mfupi baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro. Mwenyekiti leo Machi 19, 2022 anaelekea nyumbani kwake wilaya ya Hai, tangu kufutiwa mashtaka ya Ugaidi."===
===
View attachment 2156503
View attachment 2156504
Kwi Kwi KwiPicha zimepgwa kiujanja ujanja ili ionekane ni nyomi
Huyu ni nabii anayeheshimika nyumbani.View attachment 2156571
===
View attachment 2156574===
Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe.Freeman Mbowe akisaini kitabu katika ofisi yake aliyokuwa akiitumia kuwahudumia wananchi wa Jimbo la Hai akiwa mbunge wa jimbo hilo
View attachment 2156566===
"Mwenyekiti Mhe Freeman Mbowe akiteta jambo na mwenyekiti wa wilaya ya Moshi Mjini Raymond Mboya muda mfupi baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro. Mwenyekiti leo Machi 19, 2022 anaelekea nyumbani kwake wilaya ya Hai, tangu kufutiwa mashtaka ya Ugaidi."
===
View attachment 2156503
View attachment 2156504
HapanaInamankusweke kwani unaumia?
Lindi ndio nyumbani kwake? Mbona akili zenu ziko matakoniAngekwenda Kupokelewa Lindi aone😃
Unateseka ukiwa wapi MkuuPicha zimepgwa kiujanja ujanja ili ionekane ni nyomi
Picha zimekaa kimchongo.😁😁Picha zimepgwa kiujanja ujanja ili ionekane ni nyomi
Pepo mchafu tokaaaaaaPicha zimepgwa kiujanja ujanja ili ionekane ni nyomi
Tupia za kwako ulizopiga kiutaalamu tuone na tulinganishePicha zimepgwa kiujanja ujanja ili ionekane ni nyomi