Wanafanya mambo mengi sana yakiwemo maamuzi magumu yenye kugusa maslahi ya mataifa makubwa.[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064] Mh..mmh..mmh....!!!Wao kuhudumiwa na serikali hakufanyi zawadi wanazopewa zisiwe na maana. Wanafanya mambo mengi sana yakiwemo maamuzi magumu yenye kugusa maslahi ya mataifa makubwa.
Kumbuka kuwa hizi zawadi zote mbili zilikuwa zitolewe na Hayati JPM. Katiba ni muhimu siku zote japo sidhani kama italeta chochote kipya kwa maana ya kuwaenzi marais waliotangulia.
JPM alitoa mpaka tausi kwa marais majirani zetu. Uungwana ni jambo jema sana.
Mzee Kikwete alikuwa akipewa special assignments na Hayati JPM mara nyingi tu. Pia Mama ataendelea kumtumia katika awamu yake tatizo la sasa ni uviko19, vinginevyo Mzee wa Chalinze angekuwa anaendelea kufunga mikanda ndani ya ndege akitabasamu kwa wale wahudumu wenye sura laini laini.Wanafanya mambo mengi sana yakiwemo maamuzi magumu yenye kugusa maslahi ya mataifa makubwa.[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064] Mh..mmh..mmh....!!!
Hawa hawako madarakani Philipo hawa ni wastaafu tena wa kitambo ndugu yangu...!!!!
Mkuu angalia zawadi aliyopewa Nyerere na hizi zinazotolewa kwa sasa. Je huko mbeleni akitokea Dictator itakuaje? Rais anaemaliza muda wake anaweza kuhakikisha anaepokea Kijiti ni Swaiba wake. Sasa Si anaweza kugawa Mbuga ya Serengeti au Mgodi Tanzanite Mirerani kama zawadi ya kumuenzi Mtangulizi wake??Wao kuhudumiwa na serikali hakufanyi zawadi wanazopewa zisiwe na maana. Wanafanya mambo mengi sana yakiwemo maamuzi magumu yenye kugusa maslahi ya mataifa makubwa.
Kumbuka kuwa hizi zawadi zote mbili zilikuwa zitolewe na Hayati JPM. Katiba ni muhimu siku zote japo sidhani kama italeta chochote kipya kwa maana ya kuwaenzi marais waliotangulia.
JPM alitoa mpaka tausi kwa marais majirani zetu. Uungwana ni jambo jema sana.
Mkuu umekwenda mbali sana na sidhani kama tunaweza kufika huko.Mkuu angalia zawadi aliyopewa Nyerere na hizi zinazotolewa kwa sasa. Je huko mbeleni akitokea Dictator itakuaje? Rais anaemaliza muda wake anaweza kuhakikisha anaepokea Kijiti ni Swaiba wake. Sasa Si anaweza kugawa Mbuga ya Serengeti au Mgodi Tanzanite Mirerani kama zawadi ya kumuenzi Mtangulizi wake??
Sijakataa wala sikubishii ... Wapo wastaafu wengi tu hutumika hata baada ya kustaafu lakini hawatumiki bure na wala hawafanyi hisani.. Hulipwa sawia na kazi husikaMzee Kikwete alikuwa akipewa special assignments na Hayati JPM mara nyingi tu. Pia Mama ataendelea kumtumia katika awamu yake tatizo la sasa ni uviko19, vinginevyo Mzee wa Chalinze angekuwa anaendelea kufunga mikanda ndani ya ndege akitabasamu kwa wale wahudumu wenye sura laini laini.
Mwinyi amekuwa mtu mzima sana, miaka 96 ni mingi sana, vinginevyo hata yeye angekuwa anapewa majukumu fulani ya kumsaidia Rais Samia.
Rais anabakia na heshima yake ile ile hata baada ya kustaafu hivyo muda wowote anaweza kutumiwa kwa faida ya taifa lake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu angalia zawadi aliyopewa Nyerere na hizi zinazotolewa kwa sasa. Je huko mbeleni akitokea Dictator itakuaje? Rais anaemaliza muda wake anaweza kuhakikisha anaepokea Kijiti ni Swaiba wake. Sasa Si anaweza kugawa Mbuga ya Serengeti au Mgodi Tanzanite Mirerani kama zawadi ya kumuenzi Mtangulizi wake??
Turudi nyuma tuseme ukweli watu weusi tuna akili chafu sanaKuna vitu umeviruka kwa makusudi ama kwa bahati mbaya! Aya ya kwanza ya mada yangu inaweza kukupa mwanga wa kile nilichokusudia kukiandika halafu aya ya mwisho ni mtazamo binafsi katika ujumla wake
BTW hawa ni wastaafu ambao wakati wa kustaafu hupewa kila kitu zikiwemo nyumba na magari na huishi kwa kutunzwa na serikali mpaka kifo!
Kubwa kuliko yote hawa ni watumishi wa umma kama watumishi wengine.... Zawadi kubwa kubwa za kuja kupeana baadae hazina budi kuhojiwa na kutupa tafakuri hata kama tutapewa majina mabaya
Ni mwendo wa kupeana tuu...na shida iko kwenye katiba..ndio maana hawataki kabisa kusikia kuhusu katiba mpyaKama nna kumbukumbu nzuri mr mshana pia jpm alisha watunuku nyumba kule masaki sasa sijajua hiz ni nyingine au zile zile??
Asee ni shida sana ata kama angekua anaendeshwa ataenda nalo wapi??Mwinyi anauwezo wa kuendesha Gari?
Bora angempa zawadi ya kununua kopi 100 za kitabu chake kuliko kununua gari lisilo na matumizi
Yawe Yawe.
Aliye nacho huongezewa hii ni kanuni ya kiasili ya maisha hivyo hakuna haja ya kulalama huku maisha yakikupita mbio..Viongozi wanaitendea haki asili.. Wananchi wawe wapole tuu... Its a game of fierce fight.. Survival of the fittest...!
Mwinyi alishapokea jumba LakeNaomba nisipingane na asili ambayo inalandana hata mitazamo ya kiimani kwamba ALIYE NACHO HUONGEZEWA! Kuna uwezekano mkubwa mabepari walijifunzia huku.
Matukio haya mawili ni ya ma rais wetu wastaafu ambao kupitia kwao weekend iliyopita walisababisha mijadala mipana mitandaoni
1.TUKIO LA KWANZA
Aliyekuwa rais wa pili wa Tanzania baada ya uhuru wa Tanganyika mzee Ali Hassan Mwinyi alizindua kitabu cha maisha yake..! Hili si tukio la dharura ni tukio lililoandaliwa kwa muda mrefu na kwa kuzingatia protokali mgeni rasmi si mwingine bali ni rais aliyeko madarakani
Mipango ya Mungu si ya mwanadamu hivyo inawezekana kabisa aliyekuwa kaandaliwa kuwa mgeni rasmi kwenye tukio hili kubwa ni aliyekuwa rais wa awamu ya tano hayati Pombe John Magufuli na inawezekana kabisa na zawadi ya mgeni rasmi kwenda kwa mhusika ilikuwa imeshaandaliwa!
Kudra za Mwenyezi Mungu zikamuangukia aliyekuwa makamu wa rais kuwa rais kamili wa Tanzania baada ya kifo cha maradhi cha mtangulizi wake..Na huyu ndio kawa mgeni rasmi kwenye hafla ya uzinduzi wa kitabu cha mzee Mwinyi
Kilicholeta mjadala ni ukarimu wa zawadi aliyotunukiwa na rais Samia Hassan Suluhu..zawadi ya gari la kifahari la bei ghali aina ya Mercedes Benz linalofikia kiasi cha Tsh milion 250 kabla ya usafiri na usajili na kodi
Lawama zimeenda kwa mama kwa matumizi mabaya ya pesa za wananchi.. Lakini pengine si kosa lake inawezekana kabisa ni kitu kilichokuwa kimeshapangwa kitambo
Wengine wamesema sababu iliyotolewa haikidhi ama angetafutiwa walau gari la bei ndogo zaidi... Ama la angepewa zawadi nyingine... Waswahel wanasema usimuingilie aliyepewa kapewa! Mzee mwinyi hana shida ya chochote ana kila kitu cha kimaisha katika level ya kibinadamu... Zawadi aliyopewa ni bakshish tu... Aliye nacho huongezewa! Tafakuri yangu kwenye hili tukio ni kile kitendo cha mzee Mwinyi kugoma kupokea zawadi ile! (Tetesi)!!! Pengine kaona ni kufuru sasa tena ukizingatia huu ni mwezi wa toba kwa imani yake!
2.TUKIO LA PILI
Mzee Jakaya Kikwete rais mstaafu wa awamu ya nne kukabidhiwa nyumba aliyojengewa na serikali...Hii ni kwa marais wote wastaafu wamefanyiwa hivyo...! Kwa picha tu za nje si nyumba ya kitoto bali ni jumba kubwa la kifahari
Hili nalo si tukio la dharura ni tukio lililokuwa limepangwa kitambo na kwa muktadha uleule mgeni rasmi angekuwa JPM kama angekuwa hai!
Tafakuri yangu kwenye hili..! Hivi ni kweli kabisa JK anashida na nyumba? Tena lijumba kubwa kama lile? Lakini tukirejea kwenye ile kanuni ya asili ya aliyenacho huongezewa basi kauli inakata na mjadala unaisha
JK pia ana kitabu cha maisha yake.. Sina kumbukumbu kama alishakizindua na katika hafla ile alipewa zawadi gani na mgeni rasmi!
Mzee Mwinyi kwa tetesi ni kwamba kaikataa zawadi nzuri ya gari la kifahari .. Sina hakika kama atakapokabidhiwa jumba lake la kifahari nalo atalikataa... Nasema sina hakika.
Viongozi wakuu wa nchi ni viongozi ambao hulelewa na serikali zao mpaka kifo... Na kwa viongozi wetu wa Afrika huingia madarakani wakiwa watupu na kutoka wakiwa na ukwasi wa kutisha wao na ndugu zao na familia zao...Lakini bado katika kulelewa huko na ukwasi huo bado huongezewa bakshish ya hiki na kile
Yaani ni kama vile wananyang'anya kile kidogo ambacho kingewasaidia wanyonge fukara na maskini wa Taifa hili...!!! Na hawajali ama macho yao yamejaa upofu kuyaona haya... Ni kilevi cha madaraka na kupata hupofusha mpaka weledi wetu..!!!
Kanuni ya asili aliyojitungia mwanadamu pengine inasema ALIYE NACHO HUONGEZEWA![emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827] wanaitendea haki hii kauli..!!! Lakini bila TAFAKURIMwinyi alishapokea jumba Lake
Jumba la Mwinyi ni nzuri mara 100 ya kikwete
Mwinyi alikabidhiwa nyumba na JPM
Ya kikwete ilikuwa haijaisha na JPM aliwawakia wajenzi kuwa iishe mapema
Amekataaa? Mbna sijaona mie.Aiseee!
Kwahiyo mzee amekataa gari??
Ila watz[emoji23][emoji23][emoji119]