Matukio mawili yaliyoniacha na tafakuri kubwa

Kweli jpm alikua raisi wa wanyonge, sasa hivi tunaona maraisi wakipeana mema ya nchi huku maskin hata mia ya kula hawana, magufuli upumzike kwa amani, ulikua dictator ila uliwakumbuka maskini
Mother Theresa yeye anagawa takrima za nchi kwa wastaafu km njugu, jamani mie naumia mno [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Hi nchi isiyo na katiba hai inahuzunisha
 
Mwendokasi REA ni pesa ya walipa kodi si pesa ya wastaafu
Kila mtumishi wa umma akistaafu apewe zawadi kwani nao walichangia kuinua uchumi halafu tuone.......

Ni kufuru ndio
Ilikuwa ni kazi sio huduma
Walilipwa mshahara na marupurupu na bado wanalipwa na kutunzwa
Hizi ni bhakshishi ni bahasha za kaki
Si sahihi si sawa si uungwana si haki kwa mlipa kodi
 
Hi nchi isiyo na katiba hai inahuzunisha
Katiba tunayo ila ndio hii hapa...hawaishi kuinajisi..[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
hizo habari kwamba amegoma sijui umezitoa wapi!!!

kama amegoma basi itakuwa kwa minajiri kwamba hakudhani litamfaa kwa sababu zilizomfanya akapewa.lakini haiwezikuwa ni kwa minajiri ya mwezi wa toba kama ambavyo unafikiri.

nyumba nzuri aliishaichukua.tena yenye thamani kubwa maradufu ya gari hilo,bado kila baada ya miaka 5 gari hizo hubadirishwa,angezikataa hata zilizopita.
 
Wajibu wa mtumishi wa umma unageuzwa kuwa hisani kwa mwananchi mkamuliwa kodi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Zingatia kusoma kwa makini[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Tafakuri yangu kwenye hili tukio ni kile kitendo cha mzee Mwinyi kugoma kupokea zawadi ile! (Tetesi)!!!
 
Zingatia kusoma kwa makini[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Tafakuri yangu kwenye hili tukio ni kile kitendo cha mzee Mwinyi kugoma kupokea zawadi ile! (Tetesi)!!!
ndicho nimejikita nacho hicho.
 
Mi naona sawa btu. Mbona Magufuli alikuwa anagawa mabulungutu ya fedha kwenye ziara zake zote. Kwenye miaka 6 amegawa sh ngapi? Na mbona watu hawakuuliza. Pili Magufuli "amezipoteza" trillion 1.5 mpaka leo hazijulikani zilipo. Mbona hakuna anayehoji? Mwacheni mama nae afanye anavyoona inafaa.
 
Kweli jpm alikua raisi wa wanyonge, sasa hivi tunaona maraisi wakipeana mema ya nchi huku maskin hata mia ya kula hawana, magufuli upumzike kwa amani, ulikua dictator ila uliwakumbuka maskini
Hiyo nyumba nani aliwajengea hao marais waastafu!

Ova
 
mbona nyerere hakua navyo hivyo licha ya kutupatia uhuru sio ukisaidia nchi ndo uchukue vyote watakavyo kupa masikini wakafie mbali na umasikini wao kisa umewasaidia kuendesha nchi sio haki wakati hao maraisi wanawategemea wana nchi
 

Tena hununuliwa magari mapya kila baada ya miaka minne.
 
mbona nyerere hakua navyo hivyo licha ya kutupatia uhuru sio ukisaidia nchi ndo uchukue vyote watakavyo kupa masikini wakafie mbali na umasikini wao kisa umewasaidia kuendesha nchi sio haki wakati hao maraisi wanawategemea wana nchi
Nongwa zile zile zisizo na sababu za msingi.
 
Haya si ya mama... Tusimtwishe mzigo usio wake...KAYAKUTA ... Kumlaumu yeye ni kukosea sana
 
Vema sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…