Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015


Kama fisadi anavyoenda kuwa Rais wa nchi,hii si sawa kwa mustakabali wa tanzania yetu.
 
Jamani uongozi wa jf mmekumbwa na tatizo gani hakuna updates ya matokeo katika nyuzi mlizoanzisha, tatizo nini?

Hii kama haina maana ten, matokeo ya saa moja asubuhi ninyi mpaka sasa hamja update
 
Viti vya ubunge.
CCM - 104
CDM - 28
CUF - 18
Urais
Magufuli - 59%
Lowassa - 39%
Wengine - 02%
Kuna swali zaidi?
 
Nilipata kuwaambieni ninyi CHADEMA kwamba huyo jamaa ni sumu kwa chama hata kama mnadhani mtapata faida kwake. CHADEMA imeramba sumu kali. Tumbo limeanza kukata. Kifo cha chama ki mbele yenu.
 
Vijana kama kina vicent nyerere na wenje nimewaonea huruma sana
 
Waliwaona CCM ni wajinga walipomkata. Matokeo halisi wameyaona toka kwa wananchi
 
Toa ushahidi wa Takwimu kuwa chama kimefanya vibaya kuliko hapo nyuma
 
Mh. Freeman Mbowe Chadema Jimbo la Hai Kilimanjaro ameshinda kwa kupata kura 51,124.

Mh. James Mbatia NCCR Jimbo la Vunjo Kilimanjaro ameshinda kwa kupata kura 60,187.

Hongera sana, natumai hii itakuwa combination nzuri sana bungeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…