MGOMBEA ubunge jimbo la Kilombero, mkoani Morogoro, Peter Lijualikali ambaye ana hukumu mbili anazozitumikia kwa sasa, kesho anatarajiwa kusikiliza hukumu ya tatu katika kesi inayomkabili kwenye Mahakama ya Wilaya Kilombero. Anaandika Charles William ? (Lijualikali anayegombea ubunge kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akiungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), anatumikia adhabu ya kifungo cha nje kwa miezi sita na nyingine aliyolipa faini ya Sh. 520,000.
Muhalifu , jamabazi sugu amekua mbunge hii si sawa kwa mustakabali wa nchi yetu