Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Tundu Lisu kashinda kwa asilimia 58%
 
Azam two porojo tuu

Wajinga sana hawa, wamekuwa waoga sana...
Yaani nilitegemea wangejitahidi toa mambo mazuri ila nao wanategemea Tume.... shenzi zao kabisa, baada ya hapa basi
 
Bila shaka unatumia Masaburi🙄

Kwa vile nilikuuliza ww hilo swali bila shaka na jibu ulilotoa linakuhusu ww... Bas kama unafikiri kwa kutumia hivyo viungo endelea kupost utumbo wako
 
Bila shaka unatumia Masaburi🙄

Kwa vile nilikuuliza ww hilo swali bila shaka na jibu ulilotoa linakuhusu ww... Bas kama unafikiri kwa kutumia hivyo viungo endelea kupost utumbo wako hakuna atakayekulaumu.
 
Mimi nikisikia tu Mwakyembe na Nape wamepigwa chini nitafanya sherehe kubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…