Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Hii ndo kanda ya ziwa ninayoijua ..hatupendi wavivu, wezi na walaghai daima, tunajiheshimu na tunathamini kazi na wenye vifua vya kufanya kazi ..wapiga diri pelekeni huko huko Ukawa
 
Makamanda wamesambaratika kama Russian aisee!! Njooni mnaitwa na kamanda mwenzenu mje mzungushe mikono halafu mabadiliko yatakuja.
Mkuu Ritz, makamanda wamepigwa ile mbaya. Kundi kubwa la makamanda limekamatwa jana na Polisi majira ya saa tano usiku likiwa limeweka kambi kwenye hoteli tatu jijini Dar es Salaam. Wapo akina Ocampo four, MUSSA ALLAN, MR.PRESIDENT, TEAM LOWASA nk. Ndo maana hawapo kabisa. Nasikia ID zao hizo zimefutwa kabisa hivyo hutawaona tena
 
Hehe.... watakaoshinda ni watawala wewe utabaki mtaani tuu usubiri kupewa tshirt mwaka 2020 wakutumie tena.
 
Mkuu Ritz, makamanda wamepigwa ile mbaya. Kundi kubwa la makamanda limekamatwa jana na Polisi majira ya saa tano usiku likiwa limeweka kambi kwenye hoteli tatu jijini Dar es Salaam. Wapo akina Ocampo four, MUSSA ALLAN, MR.PRESIDENT, TEAM LOWASA nk. Ndo maana hawapo kabisa. Nasikia ID zao hizo zimefutwa kabisa hivyo hutawaona tena
MUSSA ALLAN sijui huko hana hali gani naona yupo kwenye ban pole kamanda kama unanisoma.
 
Last edited by a moderator:
Tanzania tunajinyima maendeleo wenyewe siku zote serikali isiyo na upinzani haiwezi kuwa na maendeleo. Kahama shinyanga kilichotokea kwa chadema ni mazingaumbwe kura zote zimepotea duh ccm kiboko
 
Ni ukweli ulio mchungu kwa Ukawa.
Ukanda wenu ndio chanzo cha anguko lenu.
Sisi wanakanda ya ziwa tulivumilia sana tabia hii na sasa leo tumewaonesha nini Matunda ya Ukanda wenu.
Sasa Lowassa anapumulia machine kanda ya ziwa.
Bakini na Lowassa wenu na sisi tutabaki na Magufuli wetu.
Ahsanteni sana kwa kututoa usingizini.
 
Kwanini mpaka sasa hivi kuna balaa chato ???? Weka akiba ya maneno safari ndio kwanza inaanza
 
yaani majimbo 10 tukati ya 266,mmeshalizika,subirini ngome zenu ziishe ndiyo mtajua kuwa mpango wa MUNGU lazima utimie
 
Back
Top Bottom