pericolonitis
Member
- Aug 24, 2015
- 51
- 8
Nyerere alikataa kabisa huu upuuzi wa mikabila mikubwa. taifa linaenda kugawanyika.
Nyerere ndio nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyerere alikataa kabisa huu upuuzi wa mikabila mikubwa. taifa linaenda kugawanyika.
Mkuu Ritz, makamanda wamepigwa ile mbaya. Kundi kubwa la makamanda limekamatwa jana na Polisi majira ya saa tano usiku likiwa limeweka kambi kwenye hoteli tatu jijini Dar es Salaam. Wapo akina Ocampo four, MUSSA ALLAN, MR.PRESIDENT, TEAM LOWASA nk. Ndo maana hawapo kabisa. Nasikia ID zao hizo zimefutwa kabisa hivyo hutawaona tenaMakamanda wamesambaratika kama Russian aisee!! Njooni mnaitwa na kamanda mwenzenu mje mzungushe mikono halafu mabadiliko yatakuja.
Mkuu,
Dawa ya msiba ni kuukubali.
Kwikwikwikwikwikwiiiiiiiiyou can imagine,kura zimezidi 70 kutoka upinzani A rusha,halafu makufuli kuna mahali kakomba kura zilizozidi 3500
Tatizo elimu nyie ndg zangu wasukuma bado sana! Mnaangalia ukabila daa! Shida sana dudendelea gete nahene!
MUSSA ALLAN sijui huko hana hali gani naona yupo kwenye ban pole kamanda kama unanisoma.Mkuu Ritz, makamanda wamepigwa ile mbaya. Kundi kubwa la makamanda limekamatwa jana na Polisi majira ya saa tano usiku likiwa limeweka kambi kwenye hoteli tatu jijini Dar es Salaam. Wapo akina Ocampo four, MUSSA ALLAN, MR.PRESIDENT, TEAM LOWASA nk. Ndo maana hawapo kabisa. Nasikia ID zao hizo zimefutwa kabisa hivyo hutawaona tena