Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Elections 2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

Thanks kwa ufafanuzi mkuu. hayo maeneo yote nayafahamu vizuri ila nilikuwa sielewi hasa ni kwa nini mkoa uwe na watu wengi lakini uwe na majimbo machache.

Mkuu Abunuas mkoa wa Kilimanjaro una idadi ya watu 1,640,087 kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2012.Mkoa wa Arusha una idadi ya watu 1,694,310.Ukitazama utakuta mkoa wa Arusha ni mkubwa kieneo kuliko mkoa wa Kilimanjaro.Sehemu kubwa ya eneo la mkoa wa Arusha ni pori na sehemu nyingine ni eneo la hifadhi za taifa (TANAPA) ambalo halikaliwi na watu.Ukisafiri kutoka Arusha kwenda Mkoa wa Manyara kuanzia njia panda ya Monduli mpaka unakaribia vijiji vya mwishi mwisho uingie Babati Mjini ni eneo la JWTZ tena wameweka na vibao kabisa so ukitazama vigezo vyote utakuta Mkoa wa Kilimanjaro una msongamano mkubwa wa watu kwa eneo ukilinganisha na Mkoa wa Arusha.Jiji la Arusha lina sifa ya kugawanywa mara mbili nadhani uchaguzi mkuu ujao labda tume inaweza kutufikiria.
 
napenda kuwapongeza sana wana cuf na UKAWA kwa ujumla, yalisemwa mengi lakini mwenye macho sasa anatazama..

nilichogudua mpaka sasa aliyenufaika sana na UKAWA ni CUF na huu ndo umhimu wa kuungana... majimno waliuoachiwa CUF wameyatendea haki.

Cjajua kwa nini NCCR imekuwa hivi, sitaki kuongerea NLD.
 
kweli watanzania wengi ni wapumbavu ni asilimia ndogo wanajielewa kwa maisha tunayoishi hakuna haja ya kuisupport ccm
 
Zanzibar wamefanya Vema sana ... Maalim Seif ni Rais wa Zanzibar ... soon tutachagua Rais wa Tanganyika ...
 
napenda kuwapongeza sana wana cuf na UKAWA kwa ujumla, yalisemwa mengi lakini mwenye macho sasa anatazama..

nilichogudua mpaka sasa aliyenufaika sana na UKAWA ni CUF na huu ndo umhimu wa kuungana... majimno waliuoachiwa CUF wameyatendea haki.

Cjajua kwa nini NCCR imekuwa hivi, sitaki kuongerea NLD.
CUF - Bara baada ya Lipumba kuondoka ilibaki kuwa moja, NCCR wao hawakushtuka kuwa Kikula ki nguoni mwako wakabaki kusuguana na kutuhumiana kwa njama za kutaka kuuana bila kufahamu kuwa wanatumiwa. Kwa upande wa ZNZ hawakutetereka na matokeo unayaona.
 
HABAR NJEMA WAZANZIBARI...............
MUDA WOWOTE KUANZIA SASA MAALIM SEIF SHARRIF HAMAD ANATANGAZWA KUWA RAIS WA ZANZIBAR KAMATI KUU YA CCM IMESHAKUBALI DK SHEIN AMESHAKUBALI KUSAIN JAPO KWA MSHIKE MSHIKE CHINI YA USIMAMIZI MKUBWA WA UMOJA WA MATAIFA HIVYO MUDA WOWOTE MAMBO YANAAZA KUWA MAMBO ZNZ HATIMAYE WAZANZIBARI TUNAANZA KUUONA UHURU......Hizi habar ni za uhakika asilimia mia moja...
 
Natamani niwe raia wa Zenji kwa miaka 5 ijayo...

HABAR NJEMA WAZANZIBARI...............
MUDA WOWOTE KUANZIA SASA MAALIM SEIF SHARRIF HAMAD ANATANGAZWA KUWA RAIS WA ZANZIBAR KAMATI KUU YA CCM IMESHAKUBALI DK SHEIN AMESHAKUBALI KUSAIN JAPO KWA MSHIKE MSHIKE CHINI YA USIMAMIZI MKUBWA WA UMOJA WA MATAIFA HIVYO MUDA WOWOTE MAMBO YANAAZA KUWA MAMBO ZNZ HATIMAYE WAZANZIBARI TUNAANZA KUUONA UHURU......Hizi habar ni za uhakika asilimia mia moja...
 
dah naona mbuyu umedondoka zanzbar bado bara hongera sana seif
 
CUF - Bara baada ya Lipumba kuondoka ilibaki kuwa moja, NCCR wao hawakushtuka kuwa Kikula ki nguoni mwako wakabaki kusuguana na kutuhumiana kwa njama za kutaka kuuana bila kufahamu kuwa wanatumiwa. Kwa upande wa ZNZ hawakutetereka na matokeo unayaona.
Lipumba kapishana na gari la pesa.
 
napenda kuwapongeza sana wana cuf na UKAWA kwa ujumla, yalisemwa mengi lakini mwenye macho sasa anatazama..

nilichogudua mpaka sasa aliyenufaika sana na UKAWA ni CUF na huu ndo umhimu wa kuungana... majimno waliuoachiwa CUF wameyatendea haki.

Cjajua kwa nini NCCR imekuwa hivi, sitaki kuongerea NLD.

Kwangu mimi au mwengine tusiokuwa na vyama lengo kuu lilikuwa kumng'oa mtesi wetu ccm...

Kuungnisha vyama vinne halikuwa jambo rahisi tuwape moyo wa kuendelea kuwa pamoja ingawa baada ya uchaguzi kutakuwa na bidii ya kuwafarakanisha
 
Back
Top Bottom