Matukio valentine day

Matukio valentine day

Baada ya majukumu ya kitaifa na kutafuta ugali hapo jana.........mida ya jioni nikaingia supermarket moja hapa jijini dar nikadaka baadhi ya vizawadi kwa ajili ya demu wangu.

Nimefika gheto nikaoga then nikampigia demu wangu huyo simu ili ikiwezekana nimpe kile nilichojipinda kama mtu wake......mara ya kwanza simu ikaita haikupokelewa........nikasubiri dakika tatu nikapiga tena kimya........nikapiga tena haikupokelewa.

Baada ya hapo nikatuma ujumbe mfupi...."baby upo wapi.....nahitaji kukuona baby"...........kwa haraka akareply "ndo unanikumbuka saivi".......nikashangaa sana.........Nikampigia simu tena hakupokea tena......ilikuwa mida ya saa 1 na nusu hivi usiku.

Basi bwana sababu nampenda sana yule binti nikamfuata jamaa angu mmoja tupo nae hapo kwa mtaa nikamuazima simu yake ili nimpigie huyu demu wangu since calls zangu hapokei.........kweli akapokea......"naniiii(nikamtaja jina lake).....nini tatizo mbona unanifanyia hivi?..........akajibu ."muda wote ulikuwa wapi kunitafuta.....ebu niache akakata simu"

Wakuu niseme ukweli niliumia mno........nikamrudishia jamaa simu yake nikawasha gari huku nimebeba zile zawadi nikaenda kimara mwisho nikazigawa kwa wale watu wanakuwepo pale darajani wakiomba msaada........nikarudi zangu geto nikalala zangu......Huyu demu wala msijali wakuu sitawaangusha nitafanya maamuzi sahihi kabisa kwake kwa alichokifanya.

Ni tukio gani ulikumbana nalo jana siku ya wapendanao?? liwe nzuri au jau kama langu.
Alikuws na valentine wake muda unamsumbua na simu zako
 
Baada ya majukumu ya kitaifa na kutafuta ugali hapo jana.........mida ya jioni nikaingia supermarket moja hapa jijini dar nikadaka baadhi ya vizawadi kwa ajili ya demu wangu.

Nimefika gheto nikaoga then nikampigia demu wangu huyo simu ili ikiwezekana nimpe kile nilichojipinda kama mtu wake......mara ya kwanza simu ikaita haikupokelewa........nikasubiri dakika tatu nikapiga tena kimya........nikapiga tena haikupokelewa.

Baada ya hapo nikatuma ujumbe mfupi...."baby upo wapi.....nahitaji kukuona baby"...........kwa haraka akareply "ndo unanikumbuka saivi".......nikashangaa sana.........Nikampigia simu tena hakupokea tena......ilikuwa mida ya saa 1 na nusu hivi usiku.

Basi bwana sababu nampenda sana yule binti nikamfuata jamaa angu mmoja tupo nae hapo kwa mtaa nikamuazima simu yake ili nimpigie huyu demu wangu since calls zangu hapokei.........kweli akapokea......"naniiii(nikamtaja jina lake).....nini tatizo mbona unanifanyia hivi?..........akajibu ."muda wote ulikuwa wapi kunitafuta.....ebu niache akakata simu"

Wakuu niseme ukweli niliumia mno........nikamrudishia jamaa simu yake nikawasha gari huku nimebeba zile zawadi nikaenda kimara mwisho nikazigawa kwa wale watu wanakuwepo pale darajani wakiomba msaada........nikarudi zangu geto nikalala zangu......Huyu demu wala msijali wakuu sitawaangusha nitafanya maamuzi sahihi kabisa kwake kwa alichokifanya.

Ni tukio gani ulikumbana nalo jana siku ya wapendanao?? liwe nzuri au jau kama langu.
kwa uzoefu wangu huyu binti ana tabia saba kubwa na mbaya sana kwa future ya mwanaume atakayekuwa naye: 1. MBINAFSI 2. MCHOYO 3. MALAYA 4. SIO MTII 5. SI MVUMILIVU 6. SI MWEPESI WA KUSAMEHE 7. ANA HASIRA NA MWEPESI WA KUFANYA VISASI mabinti wa hivi wengi wapo Tanzania japo sio wote.. kuwa makini usije kufa mapema..
 
No love, No stress... Jana nimekula vizuri mno,
•Ahsubh Chai na Mkate wenye chombeza na mayai ya kuchemsha manne.
•Mchana nikaagiza Eggchop nne nikaminyia Tomato sause ya kutosha na Juise ya Embe ya bariiid
•Usiku Kuku wangu roast, viazi ndimu kwa mbali na Coca baridiii..... huku nacheki Movie yangu ya "Inside man most wanted" Hadi nikapitiwa na usingizi.
 
Jana nilimwambia mwenzangu aniandalie dagaa wenye pilipili hoho nyingi sana na pilipili za mwendo kasi zakutoshaaa kwani nimekumbuka sana kukohoa na ugali mkubwa kama tufe.Mifuko imechacha .Valentine ilikuwa kama msiba .
 
Mimi jana yalonikuta aisee
Nliona tangazo moja la kazi January nikaona nitume CV nikasema unaweza kuta napata malisho mazuri zaidi
Ijumaa nikaona email wameniita interview Tuesday 1300
Nmefika interview ikaanza vizuri (lugha ya malkia) wameniuliza maswali kidogo kisha wakaniuliza kuhusu mshahara
La haula kabla sijataja nikaona interviewer soksi zake zimetoboka
😅😅😅😅
 
kwa uzoefu wangu huyu binti ana tabia saba kubwa na mbaya sana kwa future ya mwanaume atakayekuwa naye: 1. MBINAFSI 2. MCHOYO 3. MALAYA 4. SIO MTII 5. SI MVUMILIVU 6. SI MWEPESI WA KUSAMEHE 7. ANA HASIRA NA MWEPESI WA KUFANYA VISASI mabinti wa hivi wengi wapo Tanzania japo sio wote.. kuwa makini usije kufa mapema..
Dah hizi sifa zinatafakarisha sana 🤔🤔🤔

Kama ni wa hivi jamaa ashukuru snap kilichotokea
 
Nilienda zangu darasani, tukasoma sana tu ila muda wote mwalimu anatucheka, "wenzenu wameenda Kwenye outing za valentines day nyie mmekuja kukomaa darasani au mmeachwa?"😂😂
 
Baada ya majukumu ya kitaifa na kutafuta ugali hapo jana.........mida ya jioni nikaingia supermarket moja hapa jijini dar nikadaka baadhi ya vizawadi kwa ajili ya demu wangu.

Nimefika gheto nikaoga then nikampigia demu wangu huyo simu ili ikiwezekana nimpe kile nilichojipinda kama mtu wake......mara ya kwanza simu ikaita haikupokelewa........nikasubiri dakika tatu nikapiga tena kimya........nikapiga tena haikupokelewa.

Baada ya hapo nikatuma ujumbe mfupi...."baby upo wapi.....nahitaji kukuona baby"...........kwa haraka akareply "ndo unanikumbuka saivi".......nikashangaa sana.........Nikampigia simu tena hakupokea tena......ilikuwa mida ya saa 1 na nusu hivi usiku.

Basi bwana sababu nampenda sana yule binti nikamfuata jamaa angu mmoja tupo nae hapo kwa mtaa nikamuazima simu yake ili nimpigie huyu demu wangu since calls zangu hapokei.........kweli akapokea......"naniiii(nikamtaja jina lake).....nini tatizo mbona unanifanyia hivi?..........akajibu ."muda wote ulikuwa wapi kunitafuta.....ebu niache akakata simu"

Wakuu niseme ukweli niliumia mno........nikamrudishia jamaa simu yake nikawasha gari huku nimebeba zile zawadi nikaenda kimara mwisho nikazigawa kwa wale watu wanakuwepo pale darajani wakiomba msaada........nikarudi zangu geto nikalala zangu......Huyu demu wala msijali wakuu sitawaangusha nitafanya maamuzi sahihi kabisa kwake kwa alichokifanya.

Ni tukio gani ulikumbana nalo jana siku ya wapendanao?? liwe nzuri au jau kama langu.
Mwendelezo tafadhali
 
Back
Top Bottom