Unatumia kidogoUmeona eeeh kweli kabis balimi ina faida yakeeee
AsanteeeSalama kabisaaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Duh kweli basi tuombe uzimaSanaaaa
Haukulewa wewe??? Mbona uliingia ndani ukitambaa?Kuna siku nilijaribu kujipima kipimo cha mwisho siku hizi ngapi, nilimaliza Heineken 20 kuanzia saa nne asubuhi mpaka kumi na mbili jioni.
Ikabidi niongeze visichana vitatu mpaka inafika saa tano ndo naenda home ila sikulewa nilivyokuwa nataka.
hahahaaaaa hii kal mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ila hata wa soda wana matukio yao ya kufurahisha ujue, kuna jamaa yangu anakunywaga sprite na Maji tu ila akitoka hapo unashangaa anayumba na kachangamka kweli (nahisi atakua ni mwigizaji)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchezo gani?SIKU HIZI BOMBARDIER WANAPIMA KWA TOTI
Mpaka majirani huwa wanaamka kwa pilikapilika zanguMpaka demu anaomba poooh
Tutakupitia wifiNipitie
Baaasi [emoji23][emoji23]Ila nguvu ya kulia na machozi mpaka kwenye kidevu