Hongera,nakumbuka kuna siku moja maeneo flani bendi ya Hussein Jumbe ilikuwa inapiga,sasa nikasema ngoja nami nikacheze, mmama akanifuta bhana tukawa tunacheza wote,mara tukakumbatiana nami nikaanza kupapasa kama shanga zipo(maana nazipenda hatari),nikazikuta, mara yule mama akaniambia wewe kaka mimi nakupenda tuondoke wote bhana ukanitohombe,nikamwambia usijali hata mimi nakupenda.
Ulipoisha wimbo kama aliniona shubaaaaamit.
yaan hatari sana.....mm na kucheza muziki dahUle wimbo wa darasa maisha na mziki ulikuwa unafaaa sana ukilewa
Nimefanyaje tena mkuu mpaka RB?Acha mambo hayo mkuu. Tuna RB yako huku unasakwa kimbwa! Hahahahaaaa
Teh teh kwahiyo ningemkula tu au sio mkuu?ahhaahah mie nasemaga kushuka pombe chin ni ww unavyojituune aisee!we nae ulimpa vishawish vya kumpapasa uno!ila ana guts za kufa mtu....maskin zilimpanda!
taratibu na swaumu mkuu...Teh teh kwahiyo ningemkula tu au sio mkuu?
Ila hata mimi alinidindisha hatari nikawa nacheza huku mbele pametutumka hatari
wifi mie vinywaj unavyotumia mm hapana...uwiiiii!ila grants nimewah jarib kwa kumix na soda !ww gia zako kuuuuuuubwa!lolMm bia silewi huwa natumia vitu vikal kali kama Black label Hennesy JD Vicerory Balleys kama nimefulia kabisa nakunywa Red label na Kvant
Siku hizi Savannah kidogo kama 2 hivi ila nachangamka, zamani nishawahi kunywa mie kucheka tabasamu mpaka mwisho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe sodaaaa usiniambie unafuga nyuki
[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]Ney kama tuliwahi kulewa wote pale sinzasiku moja maana mwandiko wako tu nimeujua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mm mwenzio nakunywa vikali kama sina akili vizuriSiku hizi Savannah kidogo kama 2 hivi ila nachangamka, zamani nishawahi kunywa mie kucheka tabasamu mpaka mwisho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hongera sana mie sina ubavu huo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mm mwenzio nakunywa vikali kama sina akili vizuri
M nilikunywaga bombadia 1 na Safar 4 pale Kimboka nkalewa chakari halaf nikang'oa Malaya pale nkapiga peku kuamka Asubuh demu ana upele hatari mwili mzima nkajua hapa nshakufa mie mpaka sasa sithubutu kwenda kupima afya
Shem usipende hivyo vitu sio vizuri kwakweli.Hahahahahhaha wifi hata mm sijielewi wallah bia akuu sipendi
Vyote.Bia au pombeee kali shem
Duuh ,bora ungewahi zako dawa za PEP,lkn Mungu ni mwema siku zote huenda hata hukupata maambukizi siku hyo.[emoji120]M nilikunywaga bombadia 1 na Safar 4 pale Kimboka nkalewa chakari halaf nikang'oa Malaya pale nkapiga peku kuamka Asubuh demu ana upele hatari mwili mzima nkajua hapa nshakufa mie mpaka sasa sithubutu kwenda kupima afya
Sana sana umeenda mbaali tumia soda.Hahahahha sawa shem