Matukio ya kukumbukwa mwaka 2004

Matukio ya kukumbukwa mwaka 2004

Hii ndio yenyewe sasa, umenikumbusha mbali sana.

Enzi hizo shule ya msingi, huo wimbo ulikuwa unapigwa kila siku saa 2 asubuhi Radio One, nilikuwa naupenda mno!

Baada ya hapo ndio majarida ya FEMA yakaanza kutoka, akina Amabilis Batamula na Anko Josh.
Lydia, Amabilis na Josh wote wapo zao majuu huko duniani, kitambo sana! Dahh! Umenikumbusha mbali sana!
 
Hii ndio yenyewe sasa, umenikumbusha mbali sana.

Enzi hizo shule ya msingi, huo wimbo ulikuwa unapigwa kila siku saa 2 asubuhi Radio One, nilikuwa naupenda mno!

Baada ya hapo ndio majarida ya FEMA yakaanza kutoka, akina Amabilis Batamula na Anko Josh.
Jarida la FEMA limeanza kutolewa mwaka 2000
Wimbo umetoka mwaka 2004, ni vipi wimbo ufanye hilo jarida lianze kutoka ikiwa lilishakua linatoka four years back
 
Tukio lingine la kukumbukwa mwaka 2004 ni lile la kibao cha wimbo unaohusu masuala mazima ya Virus vya Ukimwi na Ukimwi kilichotambulika km 'Usione Soo, Sema Nae', kibao hicho kilifanywa na wasanii wa kipindi hicho ambao walikua wanatamba sana kimuziki kuanzia kwenye redio mpaka kwenye Televisheni, wasanii hao wakiwa chini ya Ishi Organization in Tanzania iliyoendesha Ishi Campaign ambapo wasanii hao waliunda kundi lililofahamika km 'Ishi Stars'.

Kundi hilo lilisheheni wasanii wakali wa kipindi hicho km vile Pauline Zongo, Stara Thomas, Banana Zoro, Benjamin wa Mambo Jambo, Mr Paul, Solo Thang, Raha P, Dataz, Patricia,

Huku chorus ya wimbo huo ikiimba :

ā€œUsione soo sema naye, kuhuusu kusubiri, kuwa mwaminifu au tumia kondom. (Don’t be shy. Talk with your partner about abstinence, being faithful, or using a condom).ā€
View attachment 3131178
Umenikumbusha mbali sana enzi hizo nipo bukoba mjini nafanya kazi Na icap , maeneo ya zamzam tulikuwa Na project yetu ya" Ishi" ya kuwakusanya vijana pamoja
 
Tukio lingine la kukumbukwa mwaka 2004 ni lile la kibao cha wimbo unaohusu masuala mazima ya Virus vya Ukimwi na Ukimwi kilichotambulika km 'Usione Soo, Sema Nae', kibao hicho kilifanywa na wasanii wa kipindi hicho ambao walikua wanatamba sana kimuziki kuanzia kwenye redio mpaka kwenye Televisheni, wasanii hao wakiwa chini ya Ishi Organization in Tanzania iliyoendesha Ishi Campaign ambapo wasanii hao waliunda kundi lililofahamika km 'Ishi Stars'.

Kundi hilo lilisheheni wasanii wakali wa kipindi hicho km vile Pauline Zongo, Stara Thomas, Banana Zoro, Benjamin wa Mambo Jambo, Mr Paul, Solo Thang, Raha P, Dataz, Patricia,

Huku chorus ya wimbo huo ikiimba :

ā€œUsione soo sema naye, kuhuusu kusubiri, kuwa mwaminifu au tumia kondom. (Don’t be shy. Talk with your partner about abstinence, being faithful, or using a condom).ā€
View attachment 3131178
Ili tangazo linanikumbusha ofisini kwa Baba yangu miaka inakimbia sana
 
Dah! Nachokumbuka ni mwaka ambao naanza kujifunza kuandika na kusoma. Haswa stori za chibwaye mchoyo, kunguru nipe jino lingine halafu eti niko nasari. naweza kusema ndio mwaka nilio fall in love na vitabu. Pia nakumbuka ndio kipindi nilisikia ngoma za ray. C kwa wingi sana. Na za mwanamuziki toni braxton dah! Nostalgic memories
 
Back
Top Bottom