BUKU 1 800
JF-Expert Member
- Oct 5, 2024
- 1,175
- 2,125
Ananyonya titi la mama hio 2004 hioVitoto vingi sana humu aisee š¤£.
Unakuta ka mtu hiyo 2004 hata ungo hakajavunja bado.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ananyonya titi la mama hio 2004 hioVitoto vingi sana humu aisee š¤£.
Unakuta ka mtu hiyo 2004 hata ungo hakajavunja bado.
Tumia ChatGPT itakusaidia zaidiNgoja ni search Google nije na nondo
Shule ya kwanza ya kata ilikua inaitwa?Mwaka 2004 sekondar za kata zilianza rasmi
Zipo nyingi mkuu kwa majina unaweza tafuta mwenyew au fanya tafit kwenye kata kadhaa katika wilaya yakoShule ya kwanza ya kata ilikua inaitwa?
Lydia, Amabilis na Josh wote wapo zao majuu huko duniani, kitambo sana! Dahh! Umenikumbusha mbali sana!Hii ndio yenyewe sasa, umenikumbusha mbali sana.
Enzi hizo shule ya msingi, huo wimbo ulikuwa unapigwa kila siku saa 2 asubuhi Radio One, nilikuwa naupenda mno!
Baada ya hapo ndio majarida ya FEMA yakaanza kutoka, akina Amabilis Batamula na Anko Josh.
my son was bornMiaka 20 imepita mkuu, na Kama mtu alimaliza standard seven 2004 Sasa ivi atakua na 34's kima Cha Chini...
Jarida la FEMA limeanza kutolewa mwaka 2000Hii ndio yenyewe sasa, umenikumbusha mbali sana.
Enzi hizo shule ya msingi, huo wimbo ulikuwa unapigwa kila siku saa 2 asubuhi Radio One, nilikuwa naupenda mno!
Baada ya hapo ndio majarida ya FEMA yakaanza kutoka, akina Amabilis Batamula na Anko Josh.
Umenikumbusha mbali sana enzi hizo nipo bukoba mjini nafanya kazi Na icap , maeneo ya zamzam tulikuwa Na project yetu ya" Ishi" ya kuwakusanya vijana pamojaTukio lingine la kukumbukwa mwaka 2004 ni lile la kibao cha wimbo unaohusu masuala mazima ya Virus vya Ukimwi na Ukimwi kilichotambulika km 'Usione Soo, Sema Nae', kibao hicho kilifanywa na wasanii wa kipindi hicho ambao walikua wanatamba sana kimuziki kuanzia kwenye redio mpaka kwenye Televisheni, wasanii hao wakiwa chini ya Ishi Organization in Tanzania iliyoendesha Ishi Campaign ambapo wasanii hao waliunda kundi lililofahamika km 'Ishi Stars'.
Kundi hilo lilisheheni wasanii wakali wa kipindi hicho km vile Pauline Zongo, Stara Thomas, Banana Zoro, Benjamin wa Mambo Jambo, Mr Paul, Solo Thang, Raha P, Dataz, Patricia,
Huku chorus ya wimbo huo ikiimba :
āUsione soo sema naye, kuhuusu kusubiri, kuwa mwaminifu au tumia kondom. (Donāt be shy. Talk with your partner about abstinence, being faithful, or using a condom).ā
View attachment 3131178
Ili tangazo linanikumbusha ofisini kwa Baba yangu miaka inakimbia sanaTukio lingine la kukumbukwa mwaka 2004 ni lile la kibao cha wimbo unaohusu masuala mazima ya Virus vya Ukimwi na Ukimwi kilichotambulika km 'Usione Soo, Sema Nae', kibao hicho kilifanywa na wasanii wa kipindi hicho ambao walikua wanatamba sana kimuziki kuanzia kwenye redio mpaka kwenye Televisheni, wasanii hao wakiwa chini ya Ishi Organization in Tanzania iliyoendesha Ishi Campaign ambapo wasanii hao waliunda kundi lililofahamika km 'Ishi Stars'.
Kundi hilo lilisheheni wasanii wakali wa kipindi hicho km vile Pauline Zongo, Stara Thomas, Banana Zoro, Benjamin wa Mambo Jambo, Mr Paul, Solo Thang, Raha P, Dataz, Patricia,
Huku chorus ya wimbo huo ikiimba :
āUsione soo sema naye, kuhuusu kusubiri, kuwa mwaminifu au tumia kondom. (Donāt be shy. Talk with your partner about abstinence, being faithful, or using a condom).ā
View attachment 3131178
Huo uvumi [uongo] ni wa siku nyingi sana.Sio specific 2004 ila uvumi wa stori za uwepo wa popo bawa ziliniogopesha sana namkumbuka yule sheikh aliyekuwa na kipindi Channel Ten akitoa mbinu za kujilinda dhidi ya popobawa
Mimi ndo naanza standard oneMiaka 20 imepita mkuu, na Kama mtu alimaliza standard seven 2004 Sasa ivi atakua na 34's kima Cha Chini...
Ugali 2003,nilitoroka bweni usiku kwenda kula ugali wa nature, nilikua a level2004:
Wimbo wa Fagilia bongo ndio ulikuwa hot kinoma, plus album ya Ugal ya Juma Nature...
One of the Bongo flava best moments of all times
EA TV walitamba sana...
First time popobawa ni 1992Sio specific 2004 ila uvumi wa stori za uwepo wa popo bawa ziliniogopesha sana namkumbuka yule sheikh aliyekuwa na kipindi Channel Ten akitoa mbinu za kujilinda dhidi ya popobawa