Matukio ya Kushangaza Duniani Yanayodaiwa Kusababishwa na Uchawi

Matukio ya Kushangaza Duniani Yanayodaiwa Kusababishwa na Uchawi

Setfree

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
1,679
Reaction score
2,123
Hebu leo twende huku na kule duniani tuangalie matukio yaliyotokea miaka ya nyuma, yanayoaminika kuwa yalisababishwa na uchawi au nguvu za giza. Baadaye ntakueleza njia za kuwashinda wachawi na mashetani kama umekuwa ukiwaogopa.

Uingereza:
Poltergeist ni tukio lililotokea Uingereza. Tukio hili lilihusisha familia moja iliyodai kuwa nyumba yao ilikuwa ikisumbuliwa na mizimu au nguvu zisizo za kawaida (poltergeist). Familia hiyo iliripoti kwamba ilisikia sauti zisizoeleweka na kuona meza, viti, makochi, makabati na vitanda vikihama hama vyenyewe na kurushwa rushwa hewani na nguvu zisizoonekana.

Marekani:
Kesi za kichawi za Salem(Salem Witch Trials) ni msururu wa kesi za uchawi zilizotokea katika mji wa Salem, Massachusetts. Kilikuwa kipindi cha hofu kubwa iliyosababishwa na wasichana kadhaa waliodai kuathiriwa na uchawi. Watu zaidi ya 200 walituhumiwa kuwa wachawi. Kati ya hao 19 walihukumiwa kifo kwa kunyongwa, na mmoja aliuawa kwa kukandamizwa na mawe. Mji wa Salem ni kivutio kikubwa cha watalii, hasa kwa wale wanaopenda kujua mambo ya kichawi. Mji huo una makumbusho mengi yanayohusiana na kesi hizo za uchawi.

Ufaransa:
Napoleon Bonaparte alikuwa kiongozi mashuhuri wa Ufaransa(Emperor of France). Alijulikana kwa ujuzi wake mkubwa wa kijeshi. Ilidaiwa Napoleon alilaaniwa au kulogwa na wachawi, kwani alikufa katika hali ya kutatanisha.

Misri:
Nchini Misri kulikuwa na imani kwamba yeyote atakayefungua au kuvuruga kaburi la Farao Tutankhamun atapatwa na laana na mikosi au kifo cha ghafla. “Archaeologist” Howard Carter na timu yake walifukua kaburi la Mfalme Tutankhamun. Baada ya ufukuzi huo, watu kadhaa waliohusika walifariki kwa njia zisizoeleweka. Habari za vifo hivyo zilisababisha watu waamini kuwa waliofukua kaburi hilo waliathiriwa na laana ya wachawi wa Misri.

Italia:
Tarantism ni ugonjwa wa ajabu uliotokea huko Italia, ambapo watu waliamini kuwa ugonjwa huo ulisababishwa na kung’atwa na buibui wa kichawi aina ya tarantula. Ugonjwa huo ulisababisha msongo wa akili na hali ya ajabu mwilini kama vile kupooza, huzuni kali, au mhemko wa ghafla. Waliamini kuwa tiba pekee ilikuwa kucheza muziki wa haraka(tarantella) kwa nguvu ili kutoa sumu hiyo nje ya mwili. Hadi leo muziki wa tarantella bado ni sehemu ya utamaduni wa Italia.

Ufaransa:
Nchini Ufaransa kulikuwa na msiba mkubwa uliojulikana kama Msiba wa Dansi wa Strasbourg. Katika tukio hilo, watu walishikwa na wazimu wa kucheza bila kusimama(non stop) kwa siku nyingi, na baadhi walifariki kwa uchovu au mshtuko wa moyo. Hakuna maelezo ya kisayansi yaliyoeleweka kuhusiana na tukio hilo kwa wakati huo, hivyo watu waliamini kuwa ni uchawi au laana.

Matukio yanayoaminika kuwa ni ya kichawi bado yanaendelea kushuhudiwa huku na kule duniani. Kuna watu wameshuhudia kwamba walipoamka asubuhi walijikuta wamelala kwenye kitanda nje ya nyumba. Kitanda kilitolewaje nje hawajui. Wengine wamekiri kunyolewa nywele usiku bila kuona mtu anayewanyoa. Kuna watu wameona moshi ukifuka katikati yao bila kuwepo chochote kinachoweza kusababisha moshi. Mara kwa mara tunasikia wachawi wamekamatwa alfajiri nje ya nyumba wakiwa na nyungo wanazodai zinawawezesha kuruka hewani usiku. Mara kadhaa tumeona vichaa wakiokota makopo kutokana na madai kuwa wamelogwa na wachawi.

Uchawi upo? Kwa wanaoamini Biblia, ni kweli uchawi upo. Katika kitabu cha Kutoka 7:10-12 imeandikwa hivi:
"Basi Musa na Haruni wakaingia kwa Farao, wakafanya kama vile Bwana alivyowaagiza; Haruni akatupa fimbo yake mbele ya Farao, na mbele ya watumishi wake, ikawa nyoka. Farao naye akawaita wenye hekima na wachawi; na hao waganga wa Misri, wakafanya vivyo hivyo kwa uchawi wao. Wakatoa kila mtu fimbo yake, nazo zikawa nyoka; lakini fimbo ya Haruni ikazimeza fimbo zao."

Kitabu cha Matendo 8:9-11 kinaeleza juu ya Simoni mchawi aliyekuwa akiwashangaza watu wengi kwa uchawi wake. Ukisoma pia Matendo ya Mitume 16:16-18 utaona habari za msichana(kijakazi) aliyekuwa anaagua au kutoa unabii kwa kutumia nguvu za giza(pepo wa utambuzi). Msichana huyo aliwaingizia pesa nyingi bwana zake hadi pale pepo walipomtoka.

Matendo ya kichawi yanafanyika kutokana na nguvu za giza za shetani na mapepo. Shetani na mapepo ni roho chafu. Kwa sababu hiyo huwezi kuwaona kwa macho wanapotenda mambo ya kichawi kwa kushirikiana na wachawi au washirikina.

Huna haja ya kumuogopa shetani wala wachawi. Mungu wetu nguvu zake ni kuu kuliko nguvu za giza. Hivyo, mtu akikutishia kukuloga, usibabaike. Ukiingia katika nyumba inayosemekana ina wachawi, usiogope kulala humo. Ukivamiwa usiku na wachawi, usihofu. Fanya haya yafuatayo utaona ushindi:

Mwamini Yesu Kristo na uishi maisha matakatifu. Shetani anawaogopa watu wanaoishi maisha matakatifu kwakuwa wamepewa amri ya kumkemea(Mt 10:1-25).

Sali(omba) bila kukoma. Maombi ni silaha kubwa ya kiroho dhidi ya wachawi. (Waefeso 6:18; 2 Wakorintho 10:4). Omba asubuhi, omba mchana, omba usiku kabla hujalala Mungu akufunike kwa ulinzi wake. Ukiona mashambulizi yanazidi, funga na kuomba upambane na nguvu za giza.

Tumia Damu ya Yesu kwa imani. Damu ya Yesu ina nguvu ya kutuokoa na kutulinda dhidi ya kila shambulio la wachawi. Kitabu cha Ufunuo 12:11 kinasema: "Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo na kwa neno la ushuhuda wao." Itumie/itamke damu ya Yesu katika maombi ili kuharibu mipango yote ya giza.

Soma Neno la Mungu kila siku. Neno la Mungu ni upanga wa Roho (Waefeso 6:17). Ukilisoma kila siku litakuongezea imani. Mchawi akikupa vitisho mtamkie Neno la Mungu. Mwambie: “Imeandikwa katika Isaya 54:17: "Silaha yoyote itakayofanyika juu yangu haitafanikiwa."
Hiyo ni kinga tosha.

Mkemee(mpinge) shetani. Kemea wachawi na mapepo kwa Jina la Yesu. Kukemea ni kuamuru yatoke. Tamka hivi: “Wewe mchawi, nakuamuru kwa Jina la Yesu, toka hapa.” Nakwambia atatimua mbio. Ukisikia au ukiona vitu vinavyokutisha tisha, fanya hivyo hivyo. Jina la Yesu lina nguvu sana kuliko nguvu za kichawi. Katika kitabu cha Yakobo 4:7 imeandikwa: "Mtiini Mungu, mpingeni Shetani, naye atawakimbia." Tunapokuwa thabiti katika Mungu na kumkataa shetani kwa imani, wachawi na nguvu zao wanasalimu amri.

Naamini kuanzia leo hutaogopa tena wachawi, mapepo na shetani. Ubarikiwe!
 
Hebu leo twende huku na kule duniani tuangalie matukio yaliyotokea miaka ya nyuma, yanayoaminika kuwa yalisababishwa na uchawi au nguvu za giza. Baadaye ntakueleza njia za kuwashinda wachawi na mshetani kama umekuwa ukiwagopa.

Uingereza:
Poltergeist ni tukio lililotokea Uingereza. Tukio hili lilihusisha familia moja iliyodai kuwa nyumba yao ilikuwa ikisumbuliwa na mizimu au nguvu zisizo za kawaida (poltergeist). Familia hiyo iliripoti kwamba ilisikia sauti zisizoeleweka na kuona meza, viti, makochi, makabati na vitanda vikihama hama vyenyewe na kurushwa rushwa hewani na nguvu zisizoonekana.

Marekani:
Kesi za kichawi za Salem(Salem Witch Trials) ni msururu wa kesi za uchawi zilizotokea katika mji wa Salem, Massachusetts. Kilikuwa kipindi cha hofu kubwa iliyosababishwa na wasichana kadhaa waliodai kuathiriwa na uchawi. Watu zaidi ya 200 walituhumiwa kuwa wachawi. Kati ya hao 19 walihukumiwa kifo kwa kunyongwa, na mmoja aliuawa kwa kukandamizwa na mawe. Mji wa Salem ni kivutio kikubwa cha watalii, hasa kwa wale wanaopenda kujua mambo ya kichawi. Mji huo una makumbusho mengi yanayohusiana na kesi hizo za uchawi.

Ufaransa:
Napoleon Bonaparte alikuwa kiongozi mashuhuri wa Ufaransa(Emperor of France). Alijulikana kwa ujuzi wake mkubwa wa kijeshi. Ilidaiwa Napoleon alilaaniwa au kulogwa na wachawi, kwani alikufa katika hali ya kutatanisha.

Misri:
Nchini Misri kulikuwa na imani kwamba yeyote atakayefungua au kuvuruga kaburi la Farao Tutankhamun atapatwa na laana na mikosi au kifo cha ghafla. “Archaeologist” Howard Carter na timu yake walifukua kaburi la Mfalme Tutankhamun. Baada ya ufukuzi huo, watu kadhaa waliohusika walifariki kwa njia zisizoeleweka. Habari za vifo hivyo zilisababishwa watu waamini kuwa waliofukua kaburi hilo waliathiriwa na laana ya wachawi wa Misri.

Italia:
Tarantism ni ugonjwa wa ajabu uliotokea huko Italia, ambapo watu waliamini kuwa ugonjwa huo ulisababishwa na kung’atwa na buibui wa kichawi aina ya tarantula. Ugonjwa huo ulisababisha msongo wa akili na hali ya ajabu mwilini kama vile kupooza, huzuni kali, au mhemko wa ghafla. Waliamini kuwa tiba pekee ilikuwa kucheza muziki wa haraka(tarantella) kwa nguvu ili kutoa sumu hiyo nje ya mwili. Hadi leo muziki wa tarantella bado ni sehemu ya utamaduni wa Italia.

Ufaransa:
Nchini Ufaransa kulikuwa na msiba mkubwa uliojulikana kama Msiba wa Dansi wa Strasbourg. Katika tukio hilo, watu walishikwa na wazimu wa kucheza bila kusimama(non stop) kwa siku nyingi, na baadhi walifariki kwa uchovu au mshtuko wa moyo. Hakuna maelezo ya kisayansi yaliyoeleweka kuhusiana na tukio hilo kwa wakati huo, hivyo watu waliamini kuwa ni uchawi au laana.

Matukio yanayoaminika kuwa ni ya kichawi bado yanaendelea kushuhudiwa huku na kule duniani. Kuna watu wameshuhudia kwamba walipoamka asubuhi walijikuta wamelala kwenye kitanda nje ya nyumba. Kitanda kilitolewaje nje hawajui. Wengine wamekiri kunyolewa nywele usiku bila kuona mtu anayewanyoa. Kuna watu wameona moshi ukifuka katikati yao bila kuwepo chochote kinachoweza kusababisha moshi. Mara kwa mara tunasikia wachawi wamekamatwa alfajiri nje ya nyumba wakiwa na nyungo wanazodai zinawawezesha kuruka hewani usiku. Mara kadhaa tumeona vichaa wakiokota makopo kutokana na madai kuwa wamelogwa na wachawi.

Uchawi upo? Kwa wanaoamini Biblia, ni kweli uchawi upo. Katika kitabu cha Kutoka 7:10-12 imeandikwa hivi:
"Basi Musa na Haruni wakaingia kwa Farao, wakafanya kama vile Bwana alivyowaagiza; Haruni akatupa fimbo yake mbele ya Farao, na mbele ya watumishi wake, ikawa nyoka. Farao naye akawaita wenye hekima na wachawi; na hao waganga wa Misri, wakafanya vivyo hivyo kwa uchawi wao. Wakatoa kila mtu fimbo yake, nazo zikawa nyoka; lakini fimbo ya Haruni ikazimeza fimbo zao."

Kitabu cha Matendo 8:9-11 kinaeleza juu ya Simoni mchawi aliyekuwa akiwashangaza watu wengi kwa uchawi wake. Ukisoma pia Matendo ya Mitume 16:16-18 utaona habari za msichana(kijakazi) aliyekuwa anaagua au kutoa unabii kwa kutumia nguvu za giza(pepo wa utambuzi). Msichana huyo aliwaingizia pesa nyingi bwana zake hadi pale pepo walipomtoka.
Matendo ya kichawi yanafanyika kutokana na nguvu za giza za shetani na mapepo. Shetani na mapepo ni roho chafu. Kwa sababu hiyo huwezi kuwaona kwa macho wanapotenda mambo ya kichawi kwa kushirikiana na wachawi au washirikina.

Huna haja ya kumuogopa shetani wala wachawi. Mungu wetu nguvu zake ni kuu kuliko nguvu za giza. Hivyo, mtu akikutishia kukuloga, usibabaike. Ukiingia katika nyumba inayosemekana ina wachawi, usiogope kulala humo. Ukivamiwa usiku na wachawi, usihofu. Fanya haya yafuatayo utaona ushindi:

Mwamini Yesu Kristo na uishi maisha matakatifu. Shetani anawaogopa watu wanaoishi maisha matakatifu kwakuwa wamepewa amri ya kumkemea(Mt 10:1-25).

Sali(omba) bila kukoma. Maombi ni silaha kubwa ya kiroho dhidi ya wachawi. (Waefeso 6:18; 2 Wakorintho 10:4). Omba asubuhi, omba mchana, omba usiku kabla hujalala Mungu akufunike kwa ulinzi wake. Ukiona mashambulizi yanazidi, funga na kuomba upambane na nguvu za giza.

Tumia Damu ya Yesu kwa imani. Damu ya Yesu ina nguvu ya kutuokoa na kutulinda dhidi ya kila shambulio la wachawi. Kitabu cha Ufunuo 12:11 kinasema: "Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo na kwa neno la ushuhuda wao." Itumie/itamke damu ya Yesu katika maombi ili kuharibu mipango yote ya giza.

Soma Neno la Mungu kila siku. Neno la Mungu ni upanga wa Roho (Waefeso 6:17). Ukilisoma kila siku litakuongezea imani. Mchawi akikupa vitisho mtamkie Neno la Mungu. Mwambie: “Imeandikwa katika Isaya 54:17: "Silaha yoyote itakayofanyika juu yangu haitafanikiwa." Hiyo ni kinga tosha.

Mkemee(mpinge) shetani. Kemea wachawi na mapepo kwa Jina la Yesu. Kukemea ni kuamuru yatoke. Tamka hivi: “Wewe mchawi, nakuamuru kwa Jina la Yesu, toka hapa.” Nakwambia atatimka mbio. Ukisikia au ukiona vitu vinavyokutisha tisha, fanya hivyo hivyo. Jina la Yesu lina nguvu sana kuliko nguvu za kichawi. Katika kitabu cha Yakobo 4:7 imeandikwa: "Mtiini Mungu, mpingeni Shetani, naye atawakimbia." Tunapokuwa thabiti katika Mungu na kumkataa shetani kwa imani, wachawi na nguvu zao wanasalimu amri.

Naamini kuanzia leo hutaogopa tena wachawi, mapepo na shetani. Ubarikiwe!
Haifurahishi sana mrembo kama wewe kutuletea mada zakichawi!, inatuogopesha sisi waoaji!. usirudie siku nyengine.
 
Haifurahishi sana mrembo kama wewe kutuletea mada zakichawi!, inatuogopesha sisi waoaji!. usirudie siku nyengine.
Hahaa, afadhali nimeleta mada hii. Kumbe na wewe ulikuwa unaogopa wachawi.? Kwa kuwa umesoma mada hii mpaka mwisho, najua kuanzia leo utawakabili wachawi bila hofu. Mungu akutie nguvu.
 
ohoo! mkuu sema anipe nguvu sio anitie!
Ohoo! mkuu, acha mawazo ya uasherati.
Waefeso 5:3-4 BHN
"Kwa vile nyinyi ni watu wa Mungu, basi uasherati, uchafu wowote ule au choyo visitajwe kamwe miongoni mwenu. Tena maneno ya aibu, ya upuuzi au ubishi, yote hayo hayafai kwenu; maneno ya kumshukuru Mungu ndiyo yanayofaa."
 
Ohoo! mkuu, acha mawazo ya uasherati.
Waefeso 5:3-4 BHN
"Kwa vile nyinyi ni watu wa Mungu, basi uasherati, uchafu wowote ule au choyo visitajwe kamwe miongoni mwenu. Tena maneno ya aibu, ya upuuzi au ubishi, yote hayo hayafai kwenu; maneno ya kumshukuru Mungu ndiyo yanayofaa."
Hapa tunazungumzia lugha!
 
Niko na chupa langu la maji ya afya nataka niijaze hiyo unayoiita damu ya yethu
Unaitamka tu kwa imani. Kwa mfano unaweza kutamka hivi: "Damu ya Yesu, nainyunyizia juu ya familia yangu, nainyunyizia juu ya nyumba yangu na ofisi yangu. Shetani na wachawi hamuwezi kukanyaga hapa. Nawazuia kwa damu ya Yesu Kristo."

Tamka tu hivyo(kwa sauti au kimya kimya) kwa imani, utaona maajabu ya damu ya Yesu. Mtu asikudanganye kuwa atakupa damu ya Yesu kwenye chupa, kama wale wanaodanganywa kuwa eti kuna chupa zenye maji ya upako. Wananunua na kuliwa pesa zao bure.
 
Hebu leo twende huku na kule duniani tuangalie matukio yaliyotokea miaka ya nyuma, yanayoaminika kuwa yalisababishwa na uchawi au nguvu za giza. Baadaye ntakueleza njia za kuwashinda wachawi na mashetani kama umekuwa ukiwaogopa.

Uingereza:
Poltergeist ni tukio lililotokea Uingereza. Tukio hili lilihusisha familia moja iliyodai kuwa nyumba yao ilikuwa ikisumbuliwa na mizimu au nguvu zisizo za kawaida (poltergeist). Familia hiyo iliripoti kwamba ilisikia sauti zisizoeleweka na kuona meza, viti, makochi, makabati na vitanda vikihama hama vyenyewe na kurushwa rushwa hewani na nguvu zisizoonekana.

Marekani:
Kesi za kichawi za Salem(Salem Witch Trials) ni msururu wa kesi za uchawi zilizotokea katika mji wa Salem, Massachusetts. Kilikuwa kipindi cha hofu kubwa iliyosababishwa na wasichana kadhaa waliodai kuathiriwa na uchawi. Watu zaidi ya 200 walituhumiwa kuwa wachawi. Kati ya hao 19 walihukumiwa kifo kwa kunyongwa, na mmoja aliuawa kwa kukandamizwa na mawe. Mji wa Salem ni kivutio kikubwa cha watalii, hasa kwa wale wanaopenda kujua mambo ya kichawi. Mji huo una makumbusho mengi yanayohusiana na kesi hizo za uchawi.

Ufaransa:
Napoleon Bonaparte alikuwa kiongozi mashuhuri wa Ufaransa(Emperor of France). Alijulikana kwa ujuzi wake mkubwa wa kijeshi. Ilidaiwa Napoleon alilaaniwa au kulogwa na wachawi, kwani alikufa katika hali ya kutatanisha.

Misri:
Nchini Misri kulikuwa na imani kwamba yeyote atakayefungua au kuvuruga kaburi la Farao Tutankhamun atapatwa na laana na mikosi au kifo cha ghafla. “Archaeologist” Howard Carter na timu yake walifukua kaburi la Mfalme Tutankhamun. Baada ya ufukuzi huo, watu kadhaa waliohusika walifariki kwa njia zisizoeleweka. Habari za vifo hivyo zilisababisha watu waamini kuwa waliofukua kaburi hilo waliathiriwa na laana ya wachawi wa Misri.

Italia:
Tarantism ni ugonjwa wa ajabu uliotokea huko Italia, ambapo watu waliamini kuwa ugonjwa huo ulisababishwa na kung’atwa na buibui wa kichawi aina ya tarantula. Ugonjwa huo ulisababisha msongo wa akili na hali ya ajabu mwilini kama vile kupooza, huzuni kali, au mhemko wa ghafla. Waliamini kuwa tiba pekee ilikuwa kucheza muziki wa haraka(tarantella) kwa nguvu ili kutoa sumu hiyo nje ya mwili. Hadi leo muziki wa tarantella bado ni sehemu ya utamaduni wa Italia.

Ufaransa:
Nchini Ufaransa kulikuwa na msiba mkubwa uliojulikana kama Msiba wa Dansi wa Strasbourg. Katika tukio hilo, watu walishikwa na wazimu wa kucheza bila kusimama(non stop) kwa siku nyingi, na baadhi walifariki kwa uchovu au mshtuko wa moyo. Hakuna maelezo ya kisayansi yaliyoeleweka kuhusiana na tukio hilo kwa wakati huo, hivyo watu waliamini kuwa ni uchawi au laana.

Matukio yanayoaminika kuwa ni ya kichawi bado yanaendelea kushuhudiwa huku na kule duniani. Kuna watu wameshuhudia kwamba walipoamka asubuhi walijikuta wamelala kwenye kitanda nje ya nyumba. Kitanda kilitolewaje nje hawajui. Wengine wamekiri kunyolewa nywele usiku bila kuona mtu anayewanyoa. Kuna watu wameona moshi ukifuka katikati yao bila kuwepo chochote kinachoweza kusababisha moshi. Mara kwa mara tunasikia wachawi wamekamatwa alfajiri nje ya nyumba wakiwa na nyungo wanazodai zinawawezesha kuruka hewani usiku. Mara kadhaa tumeona vichaa wakiokota makopo kutokana na madai kuwa wamelogwa na wachawi.

Uchawi upo? Kwa wanaoamini Biblia, ni kweli uchawi upo. Katika kitabu cha Kutoka 7:10-12 imeandikwa hivi:
"Basi Musa na Haruni wakaingia kwa Farao, wakafanya kama vile Bwana alivyowaagiza; Haruni akatupa fimbo yake mbele ya Farao, na mbele ya watumishi wake, ikawa nyoka. Farao naye akawaita wenye hekima na wachawi; na hao waganga wa Misri, wakafanya vivyo hivyo kwa uchawi wao. Wakatoa kila mtu fimbo yake, nazo zikawa nyoka; lakini fimbo ya Haruni ikazimeza fimbo zao."

Kitabu cha Matendo 8:9-11 kinaeleza juu ya Simoni mchawi aliyekuwa akiwashangaza watu wengi kwa uchawi wake. Ukisoma pia Matendo ya Mitume 16:16-18 utaona habari za msichana(kijakazi) aliyekuwa anaagua au kutoa unabii kwa kutumia nguvu za giza(pepo wa utambuzi). Msichana huyo aliwaingizia pesa nyingi bwana zake hadi pale pepo walipomtoka.

Matendo ya kichawi yanafanyika kutokana na nguvu za giza za shetani na mapepo. Shetani na mapepo ni roho chafu. Kwa sababu hiyo huwezi kuwaona kwa macho wanapotenda mambo ya kichawi kwa kushirikiana na wachawi au washirikina.

Huna haja ya kumuogopa shetani wala wachawi. Mungu wetu nguvu zake ni kuu kuliko nguvu za giza. Hivyo, mtu akikutishia kukuloga, usibabaike. Ukiingia katika nyumba inayosemekana ina wachawi, usiogope kulala humo. Ukivamiwa usiku na wachawi, usihofu. Fanya haya yafuatayo utaona ushindi:

Mwamini Yesu Kristo na uishi maisha matakatifu. Shetani anawaogopa watu wanaoishi maisha matakatifu kwakuwa wamepewa amri ya kumkemea(Mt 10:1-25).

Sali(omba) bila kukoma. Maombi ni silaha kubwa ya kiroho dhidi ya wachawi. (Waefeso 6:18; 2 Wakorintho 10:4). Omba asubuhi, omba mchana, omba usiku kabla hujalala Mungu akufunike kwa ulinzi wake. Ukiona mashambulizi yanazidi, funga na kuomba upambane na nguvu za giza.

Tumia Damu ya Yesu kwa imani. Damu ya Yesu ina nguvu ya kutuokoa na kutulinda dhidi ya kila shambulio la wachawi. Kitabu cha Ufunuo 12:11 kinasema: "Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo na kwa neno la ushuhuda wao." Itumie/itamke damu ya Yesu katika maombi ili kuharibu mipango yote ya giza.

Soma Neno la Mungu kila siku. Neno la Mungu ni upanga wa Roho (Waefeso 6:17). Ukilisoma kila siku litakuongezea imani. Mchawi akikupa vitisho mtamkie Neno la Mungu. Mwambie: “Imeandikwa katika Isaya 54:17: "Silaha yoyote itakayofanyika juu yangu haitafanikiwa."
Hiyo ni kinga tosha.

Mkemee(mpinge) shetani. Kemea wachawi na mapepo kwa Jina la Yesu. Kukemea ni kuamuru yatoke. Tamka hivi: “Wewe mchawi, nakuamuru kwa Jina la Yesu, toka hapa.” Nakwambia atatimua mbio. Ukisikia au ukiona vitu vinavyokutisha tisha, fanya hivyo hivyo. Jina la Yesu lina nguvu sana kuliko nguvu za kichawi. Katika kitabu cha Yakobo 4:7 imeandikwa: "Mtiini Mungu, mpingeni Shetani, naye atawakimbia." Tunapokuwa thabiti katika Mungu na kumkataa shetani kwa imani, wachawi na nguvu zao wanasalimu amri.

Naamini kuanzia leo hutaogopa tena wachawi, mapepo na shetani. Ubarikiwe!

Uchawi haupo, ila imani juu ya uchawi ipo kwenye vichwa vya wajinga.
 
Hiyo mifano kama Salem witch trials zilikuwa zama za giza.. jiulize leo hii kwa nini wazungu wameacha kuhukumu na kuua wachawi ?
 
. Tambua uchawi ni haupo, ila imani juu ya uchawi ipo kwenye vichwa vya watu

There is no scientific evidence to support the existence of witches.

 
Hebu leo twende huku na kule duniani tuangalie matukio yaliyotokea miaka ya nyuma, yanayoaminika kuwa yalisababishwa na uchawi au nguvu za giza. Baadaye ntakueleza njia za kuwashinda wachawi na mashetani kama umekuwa ukiwaogopa.

Uingereza:
Poltergeist ni tukio lililotokea Uingereza. Tukio hili lilihusisha familia moja iliyodai kuwa nyumba yao ilikuwa ikisumbuliwa na mizimu au nguvu zisizo za kawaida (poltergeist). Familia hiyo iliripoti kwamba ilisikia sauti zisizoeleweka na kuona meza, viti, makochi, makabati na vitanda vikihama hama vyenyewe na kurushwa rushwa hewani na nguvu zisizoonekana.

Marekani:
Kesi za kichawi za Salem(Salem Witch Trials) ni msururu wa kesi za uchawi zilizotokea katika mji wa Salem, Massachusetts. Kilikuwa kipindi cha hofu kubwa iliyosababishwa na wasichana kadhaa waliodai kuathiriwa na uchawi. Watu zaidi ya 200 walituhumiwa kuwa wachawi. Kati ya hao 19 walihukumiwa kifo kwa kunyongwa, na mmoja aliuawa kwa kukandamizwa na mawe. Mji wa Salem ni kivutio kikubwa cha watalii, hasa kwa wale wanaopenda kujua mambo ya kichawi. Mji huo una makumbusho mengi yanayohusiana na kesi hizo za uchawi.

Ufaransa:
Napoleon Bonaparte alikuwa kiongozi mashuhuri wa Ufaransa(Emperor of France). Alijulikana kwa ujuzi wake mkubwa wa kijeshi. Ilidaiwa Napoleon alilaaniwa au kulogwa na wachawi, kwani alikufa katika hali ya kutatanisha.

Misri:
Nchini Misri kulikuwa na imani kwamba yeyote atakayefungua au kuvuruga kaburi la Farao Tutankhamun atapatwa na laana na mikosi au kifo cha ghafla. “Archaeologist” Howard Carter na timu yake walifukua kaburi la Mfalme Tutankhamun. Baada ya ufukuzi huo, watu kadhaa waliohusika walifariki kwa njia zisizoeleweka. Habari za vifo hivyo zilisababisha watu waamini kuwa waliofukua kaburi hilo waliathiriwa na laana ya wachawi wa Misri.

Italia:
Tarantism ni ugonjwa wa ajabu uliotokea huko Italia, ambapo watu waliamini kuwa ugonjwa huo ulisababishwa na kung’atwa na buibui wa kichawi aina ya tarantula. Ugonjwa huo ulisababisha msongo wa akili na hali ya ajabu mwilini kama vile kupooza, huzuni kali, au mhemko wa ghafla. Waliamini kuwa tiba pekee ilikuwa kucheza muziki wa haraka(tarantella) kwa nguvu ili kutoa sumu hiyo nje ya mwili. Hadi leo muziki wa tarantella bado ni sehemu ya utamaduni wa Italia.

Ufaransa:
Nchini Ufaransa kulikuwa na msiba mkubwa uliojulikana kama Msiba wa Dansi wa Strasbourg. Katika tukio hilo, watu walishikwa na wazimu wa kucheza bila kusimama(non stop) kwa siku nyingi, na baadhi walifariki kwa uchovu au mshtuko wa moyo. Hakuna maelezo ya kisayansi yaliyoeleweka kuhusiana na tukio hilo kwa wakati huo, hivyo watu waliamini kuwa ni uchawi au laana.

Matukio yanayoaminika kuwa ni ya kichawi bado yanaendelea kushuhudiwa huku na kule duniani. Kuna watu wameshuhudia kwamba walipoamka asubuhi walijikuta wamelala kwenye kitanda nje ya nyumba. Kitanda kilitolewaje nje hawajui. Wengine wamekiri kunyolewa nywele usiku bila kuona mtu anayewanyoa. Kuna watu wameona moshi ukifuka katikati yao bila kuwepo chochote kinachoweza kusababisha moshi. Mara kwa mara tunasikia wachawi wamekamatwa alfajiri nje ya nyumba wakiwa na nyungo wanazodai zinawawezesha kuruka hewani usiku. Mara kadhaa tumeona vichaa wakiokota makopo kutokana na madai kuwa wamelogwa na wachawi.

Uchawi upo? Kwa wanaoamini Biblia, ni kweli uchawi upo. Katika kitabu cha Kutoka 7:10-12 imeandikwa hivi:
"Basi Musa na Haruni wakaingia kwa Farao, wakafanya kama vile Bwana alivyowaagiza; Haruni akatupa fimbo yake mbele ya Farao, na mbele ya watumishi wake, ikawa nyoka. Farao naye akawaita wenye hekima na wachawi; na hao waganga wa Misri, wakafanya vivyo hivyo kwa uchawi wao. Wakatoa kila mtu fimbo yake, nazo zikawa nyoka; lakini fimbo ya Haruni ikazimeza fimbo zao."

Kitabu cha Matendo 8:9-11 kinaeleza juu ya Simoni mchawi aliyekuwa akiwashangaza watu wengi kwa uchawi wake. Ukisoma pia Matendo ya Mitume 16:16-18 utaona habari za msichana(kijakazi) aliyekuwa anaagua au kutoa unabii kwa kutumia nguvu za giza(pepo wa utambuzi). Msichana huyo aliwaingizia pesa nyingi bwana zake hadi pale pepo walipomtoka.

Matendo ya kichawi yanafanyika kutokana na nguvu za giza za shetani na mapepo. Shetani na mapepo ni roho chafu. Kwa sababu hiyo huwezi kuwaona kwa macho wanapotenda mambo ya kichawi kwa kushirikiana na wachawi au washirikina.

Huna haja ya kumuogopa shetani wala wachawi. Mungu wetu nguvu zake ni kuu kuliko nguvu za giza. Hivyo, mtu akikutishia kukuloga, usibabaike. Ukiingia katika nyumba inayosemekana ina wachawi, usiogope kulala humo. Ukivamiwa usiku na wachawi, usihofu. Fanya haya yafuatayo utaona ushindi:

Mwamini Yesu Kristo na uishi maisha matakatifu. Shetani anawaogopa watu wanaoishi maisha matakatifu kwakuwa wamepewa amri ya kumkemea(Mt 10:1-25).

Sali(omba) bila kukoma. Maombi ni silaha kubwa ya kiroho dhidi ya wachawi. (Waefeso 6:18; 2 Wakorintho 10:4). Omba asubuhi, omba mchana, omba usiku kabla hujalala Mungu akufunike kwa ulinzi wake. Ukiona mashambulizi yanazidi, funga na kuomba upambane na nguvu za giza.

Tumia Damu ya Yesu kwa imani. Damu ya Yesu ina nguvu ya kutuokoa na kutulinda dhidi ya kila shambulio la wachawi. Kitabu cha Ufunuo 12:11 kinasema: "Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo na kwa neno la ushuhuda wao." Itumie/itamke damu ya Yesu katika maombi ili kuharibu mipango yote ya giza.

Soma Neno la Mungu kila siku. Neno la Mungu ni upanga wa Roho (Waefeso 6:17). Ukilisoma kila siku litakuongezea imani. Mchawi akikupa vitisho mtamkie Neno la Mungu. Mwambie: “Imeandikwa katika Isaya 54:17: "Silaha yoyote itakayofanyika juu yangu haitafanikiwa."
Hiyo ni kinga tosha.

Mkemee(mpinge) shetani. Kemea wachawi na mapepo kwa Jina la Yesu. Kukemea ni kuamuru yatoke. Tamka hivi: “Wewe mchawi, nakuamuru kwa Jina la Yesu, toka hapa.” Nakwambia atatimua mbio. Ukisikia au ukiona vitu vinavyokutisha tisha, fanya hivyo hivyo. Jina la Yesu lina nguvu sana kuliko nguvu za kichawi. Katika kitabu cha Yakobo 4:7 imeandikwa: "Mtiini Mungu, mpingeni Shetani, naye atawakimbia." Tunapokuwa thabiti katika Mungu na kumkataa shetani kwa imani, wachawi na nguvu zao wanasalimu amri.

Naamini kuanzia leo hutaogopa tena wachawi, mapepo na shetani. Ubarikiwe!
Mchawi.jpg

Ukipata tatizo unaloona kwamba ni la kichawi, mtu asikudanganye eti uende kwa mganga utapata dawa. Hata kama mganga anajiita "fimbo ya wachawi," utapata madhara zaidi. Tatizo ulilo nalo kama limesababishwa na shetani haliwezi kuondolewa na wasaidizi wa shetani. Biblia inasema katika Mt 12:26 shetani hawezi kumtoa shetani mwenzake. Shetani akimfukuza Shetani, atakuwa anajipinga mwenyewe. Ufalme wake utasimamaje?

Zingatia tu njia hizo nilizokuambia utaona ushindi.
 
Hebu leo twende huku na kule duniani tuangalie matukio yaliyotokea miaka ya nyuma, yanayoaminika kuwa yalisababishwa na uchawi au nguvu za giza. Baadaye ntakueleza njia za kuwashinda wachawi na mashetani kama umekuwa ukiwaogopa.

Uingereza:
Poltergeist ni tukio lililotokea Uingereza. Tukio hili lilihusisha familia moja iliyodai kuwa nyumba yao ilikuwa ikisumbuliwa na mizimu au nguvu zisizo za kawaida (poltergeist). Familia hiyo iliripoti kwamba ilisikia sauti zisizoeleweka na kuona meza, viti, makochi, makabati na vitanda vikihama hama vyenyewe na kurushwa rushwa hewani na nguvu zisizoonekana.

Marekani:
Kesi za kichawi za Salem(Salem Witch Trials) ni msururu wa kesi za uchawi zilizotokea katika mji wa Salem, Massachusetts. Kilikuwa kipindi cha hofu kubwa iliyosababishwa na wasichana kadhaa waliodai kuathiriwa na uchawi. Watu zaidi ya 200 walituhumiwa kuwa wachawi. Kati ya hao 19 walihukumiwa kifo kwa kunyongwa, na mmoja aliuawa kwa kukandamizwa na mawe. Mji wa Salem ni kivutio kikubwa cha watalii, hasa kwa wale wanaopenda kujua mambo ya kichawi. Mji huo una makumbusho mengi yanayohusiana na kesi hizo za uchawi.

Ufaransa:
Napoleon Bonaparte alikuwa kiongozi mashuhuri wa Ufaransa(Emperor of France). Alijulikana kwa ujuzi wake mkubwa wa kijeshi. Ilidaiwa Napoleon alilaaniwa au kulogwa na wachawi, kwani alikufa katika hali ya kutatanisha.

Misri:
Nchini Misri kulikuwa na imani kwamba yeyote atakayefungua au kuvuruga kaburi la Farao Tutankhamun atapatwa na laana na mikosi au kifo cha ghafla. “Archaeologist” Howard Carter na timu yake walifukua kaburi la Mfalme Tutankhamun. Baada ya ufukuzi huo, watu kadhaa waliohusika walifariki kwa njia zisizoeleweka. Habari za vifo hivyo zilisababisha watu waamini kuwa waliofukua kaburi hilo waliathiriwa na laana ya wachawi wa Misri.

Italia:
Tarantism ni ugonjwa wa ajabu uliotokea huko Italia, ambapo watu waliamini kuwa ugonjwa huo ulisababishwa na kung’atwa na buibui wa kichawi aina ya tarantula. Ugonjwa huo ulisababisha msongo wa akili na hali ya ajabu mwilini kama vile kupooza, huzuni kali, au mhemko wa ghafla. Waliamini kuwa tiba pekee ilikuwa kucheza muziki wa haraka(tarantella) kwa nguvu ili kutoa sumu hiyo nje ya mwili. Hadi leo muziki wa tarantella bado ni sehemu ya utamaduni wa Italia.

Ufaransa:
Nchini Ufaransa kulikuwa na msiba mkubwa uliojulikana kama Msiba wa Dansi wa Strasbourg. Katika tukio hilo, watu walishikwa na wazimu wa kucheza bila kusimama(non stop) kwa siku nyingi, na baadhi walifariki kwa uchovu au mshtuko wa moyo. Hakuna maelezo ya kisayansi yaliyoeleweka kuhusiana na tukio hilo kwa wakati huo, hivyo watu waliamini kuwa ni uchawi au laana.

Matukio yanayoaminika kuwa ni ya kichawi bado yanaendelea kushuhudiwa huku na kule duniani. Kuna watu wameshuhudia kwamba walipoamka asubuhi walijikuta wamelala kwenye kitanda nje ya nyumba. Kitanda kilitolewaje nje hawajui. Wengine wamekiri kunyolewa nywele usiku bila kuona mtu anayewanyoa. Kuna watu wameona moshi ukifuka katikati yao bila kuwepo chochote kinachoweza kusababisha moshi. Mara kwa mara tunasikia wachawi wamekamatwa alfajiri nje ya nyumba wakiwa na nyungo wanazodai zinawawezesha kuruka hewani usiku. Mara kadhaa tumeona vichaa wakiokota makopo kutokana na madai kuwa wamelogwa na wachawi.

Uchawi upo? Kwa wanaoamini Biblia, ni kweli uchawi upo. Katika kitabu cha Kutoka 7:10-12 imeandikwa hivi:
"Basi Musa na Haruni wakaingia kwa Farao, wakafanya kama vile Bwana alivyowaagiza; Haruni akatupa fimbo yake mbele ya Farao, na mbele ya watumishi wake, ikawa nyoka. Farao naye akawaita wenye hekima na wachawi; na hao waganga wa Misri, wakafanya vivyo hivyo kwa uchawi wao. Wakatoa kila mtu fimbo yake, nazo zikawa nyoka; lakini fimbo ya Haruni ikazimeza fimbo zao."

Kitabu cha Matendo 8:9-11 kinaeleza juu ya Simoni mchawi aliyekuwa akiwashangaza watu wengi kwa uchawi wake. Ukisoma pia Matendo ya Mitume 16:16-18 utaona habari za msichana(kijakazi) aliyekuwa anaagua au kutoa unabii kwa kutumia nguvu za giza(pepo wa utambuzi). Msichana huyo aliwaingizia pesa nyingi bwana zake hadi pale pepo walipomtoka.

Matendo ya kichawi yanafanyika kutokana na nguvu za giza za shetani na mapepo. Shetani na mapepo ni roho chafu. Kwa sababu hiyo huwezi kuwaona kwa macho wanapotenda mambo ya kichawi kwa kushirikiana na wachawi au washirikina.

Huna haja ya kumuogopa shetani wala wachawi. Mungu wetu nguvu zake ni kuu kuliko nguvu za giza. Hivyo, mtu akikutishia kukuloga, usibabaike. Ukiingia katika nyumba inayosemekana ina wachawi, usiogope kulala humo. Ukivamiwa usiku na wachawi, usihofu. Fanya haya yafuatayo utaona ushindi:

Mwamini Yesu Kristo na uishi maisha matakatifu. Shetani anawaogopa watu wanaoishi maisha matakatifu kwakuwa wamepewa amri ya kumkemea(Mt 10:1-25).

Sali(omba) bila kukoma. Maombi ni silaha kubwa ya kiroho dhidi ya wachawi. (Waefeso 6:18; 2 Wakorintho 10:4). Omba asubuhi, omba mchana, omba usiku kabla hujalala Mungu akufunike kwa ulinzi wake. Ukiona mashambulizi yanazidi, funga na kuomba upambane na nguvu za giza.

Tumia Damu ya Yesu kwa imani. Damu ya Yesu ina nguvu ya kutuokoa na kutulinda dhidi ya kila shambulio la wachawi. Kitabu cha Ufunuo 12:11 kinasema: "Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo na kwa neno la ushuhuda wao." Itumie/itamke damu ya Yesu katika maombi ili kuharibu mipango yote ya giza.

Soma Neno la Mungu kila siku. Neno la Mungu ni upanga wa Roho (Waefeso 6:17). Ukilisoma kila siku litakuongezea imani. Mchawi akikupa vitisho mtamkie Neno la Mungu. Mwambie: “Imeandikwa katika Isaya 54:17: "Silaha yoyote itakayofanyika juu yangu haitafanikiwa."
Hiyo ni kinga tosha.

Mkemee(mpinge) shetani. Kemea wachawi na mapepo kwa Jina la Yesu. Kukemea ni kuamuru yatoke. Tamka hivi: “Wewe mchawi, nakuamuru kwa Jina la Yesu, toka hapa.” Nakwambia atatimua mbio. Ukisikia au ukiona vitu vinavyokutisha tisha, fanya hivyo hivyo. Jina la Yesu lina nguvu sana kuliko nguvu za kichawi. Katika kitabu cha Yakobo 4:7 imeandikwa: "Mtiini Mungu, mpingeni Shetani, naye atawakimbia." Tunapokuwa thabiti katika Mungu na kumkataa shetani kwa imani, wachawi na nguvu zao wanasalimu amri.

Naamini kuanzia leo hutaogopa tena wachawi, mapepo na shetani. Ubarikiwe!
Eeeeh
 
Kuna movie au tuseme series inaitwa Salem humo ni uchawi uchawi tuu
Sawa kabisa. Salem is a supernatural horror TV series. Ma-star wake ni Janet Montgomery(Mary Sibley), mchawi mkubwa, na Shane West(John Alden). Waandaaji wa movie hiyo wameigiza matukio ya kichawi yaliyotokea katika mji wa Salem, Marekani.
 
Back
Top Bottom