Matukio ya Kushangaza Duniani Yanayodaiwa Kusababishwa na Uchawi

Matukio ya Kushangaza Duniani Yanayodaiwa Kusababishwa na Uchawi

Mkuu, unaelewa dhana ya burden of proof?
ushahidi uko kwa yule anayefanya madai ya kuwepo kwa kitu fulani, si yule anayepinga. Kama unasema uchawi upo, basi ni jukumu lako kuleta uthibitisho wa kisayansi unaoweza kurudiwa reproducible evidence, kuthibitisha madai yako.

Kwanini Siwezi kudhibitisha kitu kisichopo? , Mimi kusema kuwa uchawi haupo ni sawa na kusema hakuna dragons duniani , kama mtu anasema dragons zipo, basi ni kazi yake kuonyesha ushahidi wa dragon moja, si kazi yangu kuzunguka dunia nzima kuhakikisha hakuna dragon , ukisema uchawi upo, ni kazi yako kuleta ushahidi wa kisayansi kuthibitisha, si kazi yangu kuthibitisha kuwa haupo..

Jinsi Nilivyojiridhisha uchawi haupo, Uchawi ungekuwa upo, tungeweza kuupima kwa njia za kisayansi kama tunavyofanya kwa dawa au teknolojia. Lakini hadi leo hakuna mtu aliyewahi kuonyesha uchawi ukifanya kazi katika mazingira yaliyodhibitiwa kisayansi. Kuna majaribio mengi yaliyowahi kufanywa na watu wakiahidi kuonyesha uchawi, lakini wote wameshindwa kuthibitisha..

James Randi alitoa tuzo ya $1,000,000 kwa yeyote anayeweza kuthibitisha kwa njia ya kisayansi kuwa uchawi unafanya kazi, watu wengi walijaribu, hakuna aliyefanikiwa..

Sasa, badala ya kuniambia nijiridhishe kuwa uchawi haupo, naomba wewe uniletee ushahidi wa kisayansi unaoweza kurudiwa kuthibitisha uchawi upo. Tafadhali, leta angalau utafiti mmoja huru uliochapishwa na kuthibitishwa na wataalamu wengine unaoonyesha uchawi unafanya kazi. Kama huwezi, basi hilo linamaanisha kuwa unaamini katika kitu ambacho hakina ushahidi, sawa na mtu anayeamini kuwa UFO zipo ns huwa zinabeba watu bila uthibitisho wowote..
Hakuna nilipokwambia uthibitishe chochote bali nimekuuliza ni kwa vp wewe umeweza kujiridhisha kuwa hakuna uchawi, lakini naona wewe binafsi kutokana na maelezo yako haujawahi kukutana hata na matukio yenye kuhusishwa na uchawi ndio maana unarudia habari za James Randi tu. Hivyo hoja yako hapa ni kwamba kukosekana ushahidi wa kisayansi ndio inafanya useme hakuna uchawi.

Lakini je kukosekana kwa ushihidi wa kisayansi humaanisha moja kwa moja kuwa hicho kitu si cha kweli? Je kuna utafiti wa kisayansi uliyowahi kufanywa kuhusu uchawi? Je hadi sasa sayansi imeweza kuonyesha moja kwa moja kuwa uchawi ni uongo?

Hakuna utafiti wa kisayansi uliyofanywa kuhusu uchawi sasa unaanzaje kutaka nikupe ushahidi wa kisayansi? Ndio maana nilikupa mfano wa meditation kwamba kama nayo isingekuwa imefanyiwa tafiti za kisayansi basi sasa ungekuwa unsema kuamini meditation ni ujinga kama ambavyo wapo watu hadi sasa huona meditation ni ujinga tu.

Kwahiyo wewe muumini wa sayansi kama unapinga uchawi kisa tu hakuna tafiti za kisayansi kuhusu uchawi basi tambua kwamba sayansi haijaonyesha wazi kuwa uchawi ni uongo. Ndio maana mie nilitaka ufungue akili usiishie tu kuwa muumini wa sayansi.
 
Uchawi haupo. Ila imani juu ya uchawi ipo kwenye vichwa vya wajinga kama wewe
Sawa, ila kwanini watu kama nyie wote huwa hamjawahi kukutana na mambo yenye kuhusishwa na uchawi kwenye maisha yenu?
 
Umezidiwa hoja sasa Unaleta logical fallacy inaitwa burden of proof.

Tambua humu hakuna wajinga wa kuwadanganya kwa ujanja ujanja.

Shifting the Burden of Proof (Kubadili Mzigo wa Ushahidi)

Kudai kuwa huwezi kuthibitisha madai yako, bali mpinzani wako lazima athibitishe kuwa ni ya uongo.

Ndio maana umehamisha magoli unasema
  • “Wewe thibitisha kuwa uchawi haupo.”
Hakuna nilipotaka athibitishe kuwa uchawi haupo bali nimetaka kujua uzoefu wake katika mambo yenye kuhusishwa na uchawi, binafsi nimekutana na hayo mambo yenye kuhusishwa na uchawi hivyo nitaka kujua kwa upande wake pengine nae amekutana na hayo mambo hivyo anaweza akanipa maelezo ni kwa namna hayo mambo si uchawi bali ni nini.
 
Hakuna nilipokwambia uthibitishe chochote bali nimekuuliza ni kwa vp wewe umeweza kujiridhisha kuwa hakuna uchawi, lakini naona wewe binafsi kutokana na maelezo yako haujawahi kukutana hata na matukio yenye kuhusishwa na uchawi ndio maana unarudia habari za James Randi tu. Hivyo hoja yako hapa ni kwamba kukosekana ushahidi wa kisayansi ndio inafanya useme hakuna uchawi.
Kujiridhisha maana yake unailezea vipi? mimi kangu kujiridhisha ni kuthibitisha katika namna ambayo naweza kwenda kurudia kwa mtu mwingine na akaamini, hizi habari za nilisumuliwa, oooh niliona nani atakuamini? huna tofauti na yule anayekwenda kuomba kazi anasema kasoma Oxford University wakimuambia leta vyeti vyako anasema hana ila yeye kasoma hapo..
Haya mambo ya niliona, nilisikia ni upuuzi mtupu, inawezekana hata ulichoona haikuwa ni uchawi, nivile umetaka uamini hivyo...
Hayo mambo ya kufikirik na kutunga hakuna tofauti na watengeneza filamu wa hollywood na watunga novels/waandishi wa vitabu.. ni mwazo yaliyopo kichwani na sio uhalisia..

Lakini je kukosekana kwa ushihidi wa kisayansi humaanisha moja kwa moja kuwa hicho kitu si cha kweli? Je kuna utafiti wa kisayansi uliyowahi kufanywa kuhusu uchawi? Je hadi sasa sayansi imeweza kuonyesha moja kwa moja kuwa uchawi ni uongo?
Kiongozi unarudi pale pale nahisi umeishiwa hoja, sayansi inataka kuthibitisha, sayansi haina alisema, nilisikia, aliota sijui blah, blh na story za kutunga, sayansi inataka proof, uchawi kuthibitishwa kisayansi haiwezekani na hata kuthibitishwa kawaida haiwezekani..
akuna utafiti wa kisayansi uliyofanywa kuhusu uchawi sasa unaanzaje kutaka nikupe ushahidi wa kisayansi? Ndio maana nilikupa mfano wa meditation kwamba kama nayo isingekuwa imefanyiwa tafiti za kisayansi basi sasa ungekuwa unsema kuamini meditation ni ujinga kama ambavyo wapo watu hadi sasa huona meditation ni ujinga tu.
Unaposema meditation, umesahau kuwa meditation ni kitu kinachoweza kupimika. Shinikizo la damu, mawimbi ya ubongo (brain waves), na mabadiliko ya kemikali mwilini vinaweza kupimwa kwa vifaa vya kisayansi. Ndiyo maana sayansi ilifika kutambua faida zake. Lakini uchawi haujawahi kuthibitishwa kwa sababu kila ukijaribiwa, unashindwa
Kasome placebo effect, Watu wakiamini kitu kinafanya kazi, mara nyingi akili zao huwafanya wahisi mabadiliko hata kama hakuna chochote kilichotokea, kuna mzee aliandika kitabu anaitwa Bruce Lipton "biology of Beliefs " kama sijasahau ukihitaji nikupe ukasome, inaendana na hio placebo effect, kwamba mtu anaumwa anapewa kidonge kina sukari tu, anakunywa anapona.. au anafanyiwa fake surgery na anapona na imetokea...

Inawezekana waathirika wa uchawi wanaamini katika hayo,

Kwahiyo wewe muumini wa sayansi kama unapinga uchawi kisa tu hakuna tafiti za kisayansi kuhusu uchawi basi tambua kwamba sayansi haijaonyesha wazi kuwa uchawi ni uongo. Ndio maana mie nilitaka ufungue akili usiishie tu kuwa muumini wa sayansi.
Hivi umesoma ulichoandika hapo? hata sayansi tukiitoa, ukaambiwa thibitisha mbele za watu kwamba uchawi upo, huwezi thibitisha, hata mganga, mchawi aje, hawezi...
Kuamini uchawi ni ujinga...

Umesema umeona uchawi kwa macho yako, lakini unachokiona si lazima kiwe kweli , katika sayansi, ushahidi wa macho pekee hauwezi kutosha kwa sababu akili za binadamu zinaweza kudanganywa na mazingira, hofu, au hata imani binafsi , kama kweli una ushahidi wa uchawi, basi tafadhali leta tukio moja lililorekodiwa, linaloweza kurudiwa, na linaloweza kuthibitishwa na watu wengine bila mashaka....

Kuna channel moja youtube ilipotea iliitwa LondonReal alishakaribishwa huyu mzee Dr Bruce Lipton, huyo mzee ukimsikiliza ndipo utaelewa kiundani nyie mnaoamini visivyokuwepo, ni mwanasayansi na professor wa chuo masuala ya biology...

View: https://www.youtube.com/watch?v=nowrE4o8M68
Hii video nimekuta channel nyingine yotube wameichukua...
 
Unaitamka tu kwa imani. Kwa mfano unaweza kutamka hivi: "Damu ya Yesu, nainyunyizia juu ya familia yangu, nainyunyizia juu ya nyumba yangu na ofisi yangu. Shetani na wachawi hamuwezi kukanyaga hapa. Nawazuia kwa damu ya Yesu Kristo."

Tamka tu hivyo(kwa sauti au kimya kimya) kwa imani, utaona maajabu ya damu ya Yesu. Mtu asikudanganye kuwa atakupa damu ya Yesu kwenye chupa, kama wale wanaodanganywa kuwa eti kuna chupa zenye maji ya upako. Wananunua na kuliwa pesa zao bure.
Nilipitia koment mpk hapa nilikua najiuliza hyo damu ya yesu naipata/inauzwa wapi ok nimeelewa
 
Kujiridhisha maana yake unailezea vipi? mimi kangu kujiridhisha ni kuthibitisha katika namna ambayo naweza kwenda kurudia kwa mtu mwingine na akaamini, hizi habari za nilisumuliwa, oooh niliona nani atakuamini? huna tofauti na yule anayekwenda kuomba kazi anasema kasoma Oxford University wakimuambia leta vyeti vyako anasema hana ila yeye kasoma hapo..
Haya mambo ya niliona, nilisikia ni upuuzi mtupu, inawezekana hata ulichoona haikuwa ni uchawi, nivile umetaka uamini hivyo...
Hayo mambo ya kufikirik na kutunga hakuna tofauti na watengeneza filamu wa hollywood na watunga novels/waandishi wa vitabu.. ni mwazo yaliyopo kichwani na sio uhalisia..


Kiongozi unarudi pale pale nahisi umeishiwa hoja, sayansi inataka kuthibitisha, sayansi haina alisema, nilisikia, aliota sijui blah, blh na story za kutunga, sayansi inataka proof, uchawi kuthibitishwa kisayansi haiwezekani na hata kuthibitishwa kawaida haiwezekani..

Unaposema meditation, umesahau kuwa meditation ni kitu kinachoweza kupimika. Shinikizo la damu, mawimbi ya ubongo (brain waves), na mabadiliko ya kemikali mwilini vinaweza kupimwa kwa vifaa vya kisayansi. Ndiyo maana sayansi ilifika kutambua faida zake. Lakini uchawi haujawahi kuthibitishwa kwa sababu kila ukijaribiwa, unashindwa
Kasome placebo effect, Watu wakiamini kitu kinafanya kazi, mara nyingi akili zao huwafanya wahisi mabadiliko hata kama hakuna chochote kilichotokea, kuna mzee aliandika kitabu anaitwa Bruce Lipton "biology of Beliefs " kama sijasahau ukihitaji nikupe ukasome, inaendana na hio placebo effect, kwamba mtu anaumwa anapewa kidonge kina sukari tu, anakunywa anapona.. au anafanyiwa fake surgery na anapona na imetokea...

Inawezekana waathirika wa uchawi wanaamini katika hayo,


Hivi umesoma ulichoandika hapo? hata sayansi tukiitoa, ukaambiwa thibitisha mbele za watu kwamba uchawi upo, huwezi thibitisha, hata mganga, mchawi aje, hawezi...
Kuamini uchawi ni ujinga...

Umesema umeona uchawi kwa macho yako, lakini unachokiona si lazima kiwe kweli , katika sayansi, ushahidi wa macho pekee hauwezi kutosha kwa sababu akili za binadamu zinaweza kudanganywa na mazingira, hofu, au hata imani binafsi , kama kweli una ushahidi wa uchawi, basi tafadhali leta tukio moja lililorekodiwa, linaloweza kurudiwa, na linaloweza kuthibitishwa na watu wengine bila mashaka....

Kuna channel moja youtube ilipotea iliitwa LondonReal alishakaribishwa huyu mzee Dr Bruce Lipton, huyo mzee ukimsikiliza ndipo utaelewa kiundani nyie mnaoamini visivyokuwepo, ni mwanasayansi na professor wa chuo masuala ya biology...

View: https://www.youtube.com/watch?v=nowrE4o8M68
Hii video nimekuta channel nyingine yotube wameichukua...

Duh! Ndio maana nakwambia ufungue akili ili uweze kuelewa na sio kufuata mambo kimkumbo mkumbo. Sayansi ina kanuni zake ushahidi wake umejikita kwenye ushahidi wa kimwili na majaribio ambayo yanaweza kudhibitiwa na kurudiwa rudiwa kitu ambacho ni tofauti na uchawi ulivyo hali ambayo huleta ugumu kufanyia tafiti za kisayansi. Na ndio maana hata hiyo meditation faida zinazoelezwa kwa ushahidi wa kisayansi ni zile za kisaikolojia na kimwili tu ila meditation inatumika kwa mambo hadi ya kiroho kitu ambacho hakuna ushahidi wa kisayansi kuelezea faida hizo.

Wakati wewe unaifanya sayansi kama dini unasubiri uambiwe kipi uamini na kipi usiamini na kuacha kufungua akili yako, watu kama Doctor Joe dispenza anafundisha jinsi ambavyo tunaweza kujitibu pasina dawa wala upasuaji kwa kutumia meditation tu, hapo mwanzo alikuwa akisubiri sana kujaribu kushawishi tafiti zake za kazi anazofanya ili zikubaliwe kwanza ila amekuwa akipingwa.

Watu hawawezi kuka tu kusubiri mpaka ushahidi wa kisayansi upatikane ndio maana watu walikuwa wakifaidika na meditation toka karne hizo bila kusubiri sayansi iprove na ndio sawa na sasa watu wanafaidika na dowsing pamoja na energy healing, wewe unayesubiri hadi sayansi ije kuprove endelea kusubiri ila utambue pia kuwa sayansi haija disprove hivyo vitu ikiwemo na uchawi pia.

Najaribu tu kukuonyesha kwamba hata kama jambo halina ushahidi wa kisayansi usipende kuhitimisha kuwa hicho kitu hakipo au ni uongo na ndio maana nakuwa nataka tujadili hayo matukio yenye kuhusishwa na uchawi, lakini hapo ndio mnaanza kusema mara sijui ni mambo tu tusiyoyaelewa ila sio uchawi, mara inaweza ikawa ni placebo effect mara sijui tunachoona na kusema uchawi sijui akili inaweza kuwa inadanganywa n.k
Kifupi mnakwepa huu upande ndio maana mnalazimisha ushahidi wa sayansi.
 
Duh! Ndio maana nakwambia ufungue akili ili uweze kuelewa na sio kufuata mambo kimkumbo mkumbo. Sayansi ina kanuni zake ushahidi wake umejikita kwenye ushahidi wa kimwili na majaribio ambayo yanaweza kudhibitiwa na kurudiwa rudiwa kitu ambacho ni tofauti na uchawi ulivyo hali ambayo huleta ugumu kufanyia tafiti za kisayansi. Na ndio maana hata hiyo meditation faida zinazoelezwa kwa ushahidi wa kisayansi ni zile za kisaikolojia na kimwili tu ila meditation inatumika kwa mambo hadi ya kiroho kitu ambacho hakuna ushahidi wa kisayansi kuelezea faida hizo.

Wakati wewe unaifanya sayansi kama dini unasubiri uambiwe kipi uamini na kipi usiamini na kuacha kufungua akili yako, watu kama Doctor Joe dispenza anafundisha jinsi ambavyo tunaweza kujitibu pasina dawa wala upasuaji kwa kutumia meditation tu, hapo mwanzo alikuwa akisubiri sana kujaribu kushawishi tafiti zake za kazi anazofanya ili zikubaliwe kwanza ila amekuwa akipingwa.

Watu hawawezi kuka tu kusubiri mpaka ushahidi wa kisayansi upatikane ndio maana watu walikuwa wakifaidika na meditation toka karne hizo bila kusubiri sayansi iprove na ndio sawa na sasa watu wanafaidika na dowsing pamoja na energy healing, wewe unayesubiri hadi sayansi ije kuprove endelea kusubiri ila utambue pia kuwa sayansi haija disprove hivyo vitu ikiwemo na uchawi pia.

Najaribu tu kukuonyesha kwamba hata kama jambo halina ushahidi wa kisayansi usipende kuhitimisha kuwa hicho kitu hakipo au ni uongo na ndio maana nakuwa nataka tujadili hayo matukio yenye kuhusishwa na uchawi, lakini hapo ndio mnaanza kusema mara sijui ni mambo tu tusiyoyaelewa ila sio uchawi, mara inaweza ikawa ni placebo effect mara sijui tunachoona na kusema uchawi sijui akili inaweza kuwa inadanganywa n.k
Kifupi mnakwepa huu upande ndio maana mnalazimisha ushahidi wa sayansi.
Huna hoja kiongozi...
Bado unazunguka kwenye hoja zile zile , unakataa kuweka vigezo vya kuthibitisha uchawi lakini unataka uamini upo.
Umekomaa na meditation wakati nimekuelezea huko juu kuhusu meditation, halafu hapo hapo unasema meditation inaweza ponya mtu pasipo dawa au upasuaji, unarudi pale pale kwenye hoja zangu za biology of beliefs na placebo effect..

watu walikuwa wakifaidika na meditation toka karne hizo bila kusubiri sayansi iprove na ndio sawa na sasa watu wanafaidika na dowsing pamoja na energy healing, wewe unayesubiri hadi sayansi ije kuprove endelea kusubiri ila utambue pia kuwa sayansi haija disprove hivyo vitu ikiwemo na uchawi pia.
Hoja umeishiwa kiongozi..
Meditation nimekuelezea kiongozi inaweza kuwa explained kisayansi, nimeeleza pia masuala ya biology of beliefs, nimeeleza pia placebo effect, nimeeleza yote hayo lakini bado umekuwa king'ang'anizi kama zombie..
ipo hivi meditation ni masuala ya kuiprogram akili na ubongo kwa ujumla, meditation inaweza affect brain physically na kugusa maeneo tofauti ya ubongo mfano yanayohusika na stress na emotional control. Nenda kasome concept of neuroplasticity...
Hizo practices za meditation zinaweza pelekea kupunguza anxiety, ku improve focus, nakuongeza emotional resilience.
Hivi unaelewa sasa kuna vifaa maalum kama fMRI (Functional Magnetic Resonance Imaging) na EEG (Electroencephalogram) vinavyoweza kusoma shughuli za ubongo na kugundua ikiwa mtu ana huzuni, furaha, au hata msongo wa mawazo. Hivi ni vifaa vya kisayansi, si vya uchawi

Meditation inatumika kuiprogramu akili, na tunao ushahidi wa kisayansi unaoonyesha jinsi inavyoathiri mawimbi ya ubongo, lakini hiyo haimaanishi meditation ni nguvu isiyoeleweka au ni uchawi , ni mchakato wa kisaikolojia unaoweza kupimwa..


Sayansi imeweza kueleza jinsi meditation inavyofanya kazi kwa kutumia data halisi. Kama uchawi ungekuwa halisi, tungeweza kuutumia vifaa hivi kuuchunguza na kupima matokeo yake , lakini hakuna ushahidi wowote wa kisayansi unaoonyesha kwamba uchawi upo.

***Kama uchawi upo na una nguvu, kwa nini hauwezi kupimwa kama vile tunavyopima athari za meditation kwa ubongo?

Kingine tambua meditation inaweza kuelezeka kisayansi vizuri tu, na pia meditation ni ka kitu kadooogo sana mbele ya sayansi..
Uwepo wa meditation hauwezi replace sayansi, lakini sayansi ina replace meditation.
Meditation haitumiki kutengeneza madawa, magari, simu, au kutatua matatizo ya kihandisi. Sayansi inatumika kila sehemu, lakini meditation ni ndogo na haina matumizi mapana kama sayansi...

Meditation sio kila kitu. Huwezi kutumia meditation kutengeneza daraja, kupima vimelea vya ugonjwa, au kupeleka roketi mwezini. Lakini sayansi imewezesha yote hayo.

Meditation inaweza kusaidia kisaikolojia, lakini haina nguvu ya kimazingira inayoweza kupimika na kufuatiliwa kama nguvu ya sayansi. Ukiwa na kidonda, unaweza kufanya meditation siku nzima, lakini bila antibiotics, kinaweza kuoza...

Hivyo usiiweke meditation na uchawi kundi moja....


Tofauti ya uchawi na meditation.
Meditation haikuwahi kudai kuwa ni nguvu ya ajabu isiyoelezeka kama uchawi unavyodaiwa kuwa, ilikuwa inajulikana tangu zamani kama mbinu ya utulivu wa akili na mwili, watu hawakudai kuwa meditation inageuza risasi kuwa maji au inafanya mtu aruke angani...

Uchawi, kwa upande mwingine, unadai kuwa na uwezo wa kufanya mambo ya kimujiza yanayoshinda sheria za asili, kama kupaa, kutuma mapepo, au kugeuza vitu bila mawasiliano yoyote ya kimwili, hadi sasa, hakuna ushahidi wowote unaothibitisha haya...

**Ikiwa uchawi ni kweli na unaweza kuthibitishwa kisayansi, kwanini hakuna hata mshindi mmoja wa Tuzo ya Nobel aliyeonyesha uwepo wa uchawi?

Acha kujilisha upepo?

Najaribu tu kukuonyesha kwamba hata kama jambo halina ushahidi wa kisayansi usipende kuhitimisha kuwa hicho kitu hakipo au ni uongo na ndio maana nakuwa nataka tujadili hayo matukio yenye kuhusishwa na uchawi, lakini hapo ndio mnaanza kusema mara sijui ni mambo tu tusiyoyaelewa ila sio uchawi, mara inaweza ikawa ni placebo effect mara sijui tunachoona na kusema uchawi sijui akili inaweza kuwa inadanganywa n.k
Kifupi mnakwepa huu upande ndio maana mnalazimisha ushahidi wa sayansi.
1-Nini tofauti kati ya jambo la kweli na jambo la kufikirika?
Kama jambo ni la kweli, linapaswa kuwa na njia ya kuthibitishwa nje ya hisia za mtu binafsi au simulizi za watu. Vinginevyo, tunakubali kuwa kila imani ni kweli, hata zile zinazopingana, au hata uongo utakubali ni kweli, mtu akisema ameona nyoka ana vichwa saba naye asipingwe kwani ni mkweli.

2-Je, Unaweza kutofautishaje uchawi na udanganyifu au uongo wa kawaida?

Kazi kwako...
 
Huna hoja kiongozi...
Bado unazunguka kwenye hoja zile zile , unakataa kuweka vigezo vya kuthibitisha uchawi lakini unataka uamini upo.
Umekomaa na meditation wakati nimekuelezea huko juu kuhusu meditation, halafu hapo hapo unasema meditation inaweza ponya mtu pasipo dawa au upasuaji, unarudi pale pale kwenye hoja zangu za biology of beliefs na placebo effect..


Hoja umeishiwa kiongozi..
Meditation nimekuelezea kiongozi inaweza kuwa explained kisayansi, nimeeleza pia masuala ya biology of beliefs, nimeeleza pia placebo effect, nimeeleza yote hayo lakini bado umekuwa king'ang'anizi kama zombie..
ipo hivi meditation ni masuala ya kuiprogram akili na ubongo kwa ujumla, meditation inaweza affect brain physically na kugusa maeneo tofauti ya ubongo mfano yanayohusika na stress na emotional control. Nenda kasome concept of neuroplasticity...
Hizo practices za meditation zinaweza pelekea kupunguza anxiety, ku improve focus, nakuongeza emotional resilience.
Hivi unaelewa sasa kuna vifaa maalum kama fMRI (Functional Magnetic Resonance Imaging) na EEG (Electroencephalogram) vinavyoweza kusoma shughuli za ubongo na kugundua ikiwa mtu ana huzuni, furaha, au hata msongo wa mawazo. Hivi ni vifaa vya kisayansi, si vya uchawi

Meditation inatumika kuiprogramu akili, na tunao ushahidi wa kisayansi unaoonyesha jinsi inavyoathiri mawimbi ya ubongo, lakini hiyo haimaanishi meditation ni nguvu isiyoeleweka au ni uchawi , ni mchakato wa kisaikolojia unaoweza kupimwa..


Sayansi imeweza kueleza jinsi meditation inavyofanya kazi kwa kutumia data halisi. Kama uchawi ungekuwa halisi, tungeweza kuutumia vifaa hivi kuuchunguza na kupima matokeo yake , lakini hakuna ushahidi wowote wa kisayansi unaoonyesha kwamba uchawi upo.

***Kama uchawi upo na una nguvu, kwa nini hauwezi kupimwa kama vile tunavyopima athari za meditation kwa ubongo?

Kingine tambua meditation inaweza kuelezeka kisayansi vizuri tu, na pia meditation ni ka kitu kadooogo sana mbele ya sayansi..
Uwepo wa meditation hauwezi replace sayansi, lakini sayansi ina replace meditation.
Meditation haitumiki kutengeneza madawa, magari, simu, au kutatua matatizo ya kihandisi. Sayansi inatumika kila sehemu, lakini meditation ni ndogo na haina matumizi mapana kama sayansi...

Meditation sio kila kitu. Huwezi kutumia meditation kutengeneza daraja, kupima vimelea vya ugonjwa, au kupeleka roketi mwezini. Lakini sayansi imewezesha yote hayo.

Meditation inaweza kusaidia kisaikolojia, lakini haina nguvu ya kimazingira inayoweza kupimika na kufuatiliwa kama nguvu ya sayansi. Ukiwa na kidonda, unaweza kufanya meditation siku nzima, lakini bila antibiotics, kinaweza kuoza...

Hivyo usiiweke meditation na uchawi kundi moja....


Tofauti ya uchawi na meditation.
Meditation haikuwahi kudai kuwa ni nguvu ya ajabu isiyoelezeka kama uchawi unavyodaiwa kuwa, ilikuwa inajulikana tangu zamani kama mbinu ya utulivu wa akili na mwili, watu hawakudai kuwa meditation inageuza risasi kuwa maji au inafanya mtu aruke angani...

Uchawi, kwa upande mwingine, unadai kuwa na uwezo wa kufanya mambo ya kimujiza yanayoshinda sheria za asili, kama kupaa, kutuma mapepo, au kugeuza vitu bila mawasiliano yoyote ya kimwili, hadi sasa, hakuna ushahidi wowote unaothibitisha haya...

**Ikiwa uchawi ni kweli na unaweza kuthibitishwa kisayansi, kwanini hakuna hata mshindi mmoja wa Tuzo ya Nobel aliyeonyesha uwepo wa uchawi?

Acha kujilisha upepo?


1-Nini tofauti kati ya jambo la kweli na jambo la kufikirika?
Kama jambo ni la kweli, linapaswa kuwa na njia ya kuthibitishwa nje ya hisia za mtu binafsi au simulizi za watu. Vinginevyo, tunakubali kuwa kila imani ni kweli, hata zile zinazopingana, au hata uongo utakubali ni kweli, mtu akisema ameona nyoka ana vichwa saba naye asipingwe kwani ni mkweli.

2-Je, Unaweza kutofautishaje uchawi na udanganyifu au uongo wa kawaida?

Kazi kwako...
Tatizo unahisi unajua ila huna unachokijua hata hiyo sayansi jinsi unavyoielezea nabaki nakushangaa kama unaelewa hata sayansi ni nini.

Nitumie maneno machache ili uweze kunielewa, naomba unijibu swali hili, je placebo effect inaweza kutibu magonjwa kama ya moyo au kansa? Nakuuliza hivyo kwa sababu umekuwa ukirudia kuitaja hata nilipokwambia kuhusu maditation kutumika kuponya magonjwa pasina kufanya upasuaji ukataja placebo effect na ukanitajia hadi kitabu cha Dr Bruce lipton, kama utasema placebo effect inaweza kutumika kutibu hayo maradhi je kuna ushahidi wa kutosha wa kisayansi wenye kusapoti hilo?

Kuhusu hilo swali lako kutofautisha uchawi na uwongo ungebainisha ni katika mazingira gani.
 
Tukio lingine la kushangaza ni hili la simba leo red imetolewa haijulikani sababu aisee..
 
Tatizo unahisi unajua ila huna unachokijua hata hiyo sayansi jinsi unavyoielezea nabaki nakushangaa kama unaelewa hata sayansi ni nini.
Wewe ndiye hujui hata unachosimamia, huelewi wapi pa kushika wapi uachie, wewe ni kama umekatwa kichwa, nimekutolea mifano mingi sana na maelezo ya kina lakini badounajitoa akili...

Mawali yangu mengi unaruka na kuchambua unayotaka kujibu..

Nitumie maneno machache ili uweze kunielewa, naomba unijibu swali hili, je placebo effect inaweza kutibu magonjwa kama ya moyo au kansa? Nakuuliza hivyo kwa sababu umekuwa ukirudia kuitaja hata nilipokwambia kuhusu maditation kutumika kuponya magonjwa pasina kufanya upasuaji ukataja placebo effect na ukanitajia hadi kitabu cha Dr Bruce lipton, kama utasema placebo effect inaweza kutumika kutibu hayo maradhi je kuna ushahidi wa kutosha wa kisayansi wenye kusapoti hilo?
Nimekuelezea kwa kirefu sana kuhusu meditation inavyoweza athiri mawimbi ya ubongo, nimeeleza sana hapo hujaelwa kipi, matokea yake unarudi kwenye hoja zile zile...
Hakuna uchawi kwenye meditation,meditation inaelezeka huo ukurasa tumefunga, kama unabisha, bisha kwa hoja na kupinga niliyoeleza kuhusu meditation inavyo fanya kazi, meditation sio nguvu za maajabu zinazopingana na kanuni za asili kama mtu kupotea, kubadilika kuwa mnyama n.k, meditation its all about ku program akili na ubongo.... thats it... hakuna uchawi hapo..

Placebo effect ni belief inayoweza mpelekea mtu kujihisi vizuri na kusaidia hormones flani flani mwilini kuwa released na kupelekea kuleta mood nzuri inayoweza pelekea mtu kujihisi vyema mwilini...

Utakuwa mjinga mtu anaumwa kansa ya maziwa, kansa ya kizazi, kansa ya mifupa halafu anakwenda kufanya meditation...

Kama unadai meditation inatibu kansa na moyo leta ushahidi wa tafiti zilizorudiwa na kuthibitishwa katika jarida za kisayansi zinazoheshimika (peer-reviewed journals).

Kuhusu hilo swali lako kutofautisha uchawi na uwongo ungebainisha ni katika mazingira gani.
We unataka iwe katika mazingira yapi?
Katika mazingira yeyote yale uchawi ni uongo...

Nakupiga spana ya kichwa tena, kwanini uchawi usitumike kwenye kutabiri michezo ya bahati nasibu? wawe wanashindwa mamilioni ya pesa, kuna mikeka huko ina mamilioni ya pesa...

Acha huo ujinga kiongozi.... huna chochote wala lolote kuthibitisha uchawi zaidi ya hear say na niliona, sijui niliona njiwa anakula ng'ombe, thats bullshit, na hapa nimkubana kila eneo huna pa kutokea... kajipange...
 
Wewe ndiye hujui hata unachosimamia, huelewi wapi pa kushika wapi uachie, wewe ni kama umekatwa kichwa, nimekutolea mifano mingi sana na maelezo ya kina lakini badounajitoa akili...

Mawali yangu mengi unaruka na kuchambua unayotaka kujibu..


Nimekuelezea kwa kirefu sana kuhusu meditation inavyoweza athiri mawimbi ya ubongo, nimeeleza sana hapo hujaelwa kipi, matokea yake unarudi kwenye hoja zile zile...
Hakuna uchawi kwenye meditation,meditation inaelezeka huo ukurasa tumefunga, kama unabisha, bisha kwa hoja na kupinga niliyoeleza kuhusu meditation inavyo fanya kazi, meditation sio nguvu za maajabu zinazopingana na kanuni za asili kama mtu kupotea, kubadilika kuwa mnyama n.k, meditation its all about ku program akili na ubongo.... thats it... hakuna uchawi hapo..

Placebo effect ni belief inayoweza mpelekea mtu kujihisi vizuri na kusaidia hormones flani flani mwilini kuwa released na kupelekea kuleta mood nzuri inayoweza pelekea mtu kujihisi vyema mwilini...

Utakuwa mjinga mtu anaumwa kansa ya maziwa, kansa ya kizazi, kansa ya mifupa halafu anakwenda kufanya meditation...

Kama unadai meditation inatibu kansa na moyo leta ushahidi wa tafiti zilizorudiwa na kuthibitishwa katika jarida za kisayansi zinazoheshimika (peer-reviewed journals).


We unataka iwe katika mazingira yapi?
Katika mazingira yeyote yale uchawi ni uongo...

Nakupiga spana ya kichwa tena, kwanini uchawi usitumike kwenye kutabiri michezo ya bahati nasibu? wawe wanashindwa mamilioni ya pesa, kuna mikeka huko ina mamilioni ya pesa...

Acha huo ujinga kiongozi.... huna chochote wala lolote kuthibitisha uchawi zaidi ya hear say na niliona, sijui niliona njiwa anakula ng'ombe, thats bullshit, na hapa nimkubana kila eneo huna pa kutokea... kajipange...
Hakuna niliposema kuwa meditation ni uchawi, naizungumzia meditation hapa kwa sababu toka mwanzo nilisema kuwa meditation hutumika kwa mambo mengi zaidi ya hizo faida za kiafya zenye kukubalika kisayansi, Nikatoa mfano kwa kukutajia Dr Joe dipenza ambaye hueleza jinsi tunaweza kujiponya maradhi bila dawa wala upasuaji kwa kutumia meditation, ukakurupuka kutaja placebo effect na ukanitajia hadi kitabu cha Dr Bruce lipton(ambaye baadhi ya madai yake hupingwa na wanasayansi kwa kukosa ushahidi wa kutosha wa kisayansi).
Ndio maana nikakuuliza je placebo effect inaweza kutibu kansa?

Unaposema meditation sio nguvu za ajabu ndio maana nilisema kwamba meditation ni zaidi ya vile sayansi imeweza kueleza faida zake na ndio hoja yangu hapa, sayansi imeonyesha faida za mental na physical health tu ila the practice itself extends beyond a purely scientific perspective, encompassing aspects of personal growth, self-awareness, and spiritual development, depending on the individual's intention and approach to meditation.

Halafu nachokushangaa ni huko kusema mbona uchawi haufanyi hivi mara haujafanya vile wakati huo huo hautaki ushahidi nje wa sayansi.
 
Hakuna niliposema kuwa meditation ni uchawi, naizungumzia meditation hapa kwa sababu toka mwanzo nilisema kuwa meditation hutumika kwa mambo mengi zaidi ya hizo faida za kiafya zenye kukubalika kisayansi, Nikatoa mfano kwa kukutajia Dr Joe dipenza ambaye hueleza jinsi tunaweza kujiponya maradhi bila dawa wala upasuaji kwa kutumia meditation, ukakurupuka kutaja placebo effect na ukanitajia hadi kitabu cha Dr Bruce lipton(ambaye baadhi ya madai yake hupingwa na wanasayansi kwa kukosa ushahidi wa kutosha wa kisayansi).
Ndio maana nikakuuliza je placebo effect inaweza kutibu kansa?

Unaposema meditation sio nguvu za ajabu ndio maana nilisema kwamba meditation ni zaidi ya vile sayansi imeweza kueleza faida zake na ndio hoja yangu hapa, sayansi imeonyesha faida za mental na physical health tu ila the practice itself extends beyond a purely scientific perspective, encompassing aspects of personal growth, self-awareness, and spiritual development, depending on the individual's intention and approach to meditation.

Halafu nachokushangaa ni huko kusema mbona uchawi haufanyi hivi mara haujafanya vile wakati huo huo hautaki ushahidi nje wa sayansi.
Hebu elezea hapa meditation inatibu maradhi ya aina gani?

Wewe kila mahala unaruka maswali yangu, lakini mimi nakujibu maswali yako yote na naeleza kwa kina, hii inaonyesha huna hoja, katika maelezo nimekupiga spana za kichwa kuhusu uchawi sasa umejifichia kwenye kikorido cha placebo effect na meditation...

Sasa hebu tuelezee hio meditation inatibu maradhi moja, mbili, tatu, kama inaweza punguza ukali wa HIV badala ya kutumia ARVs tuelezee hapa....
 
Hebu elezea hapa meditation inatibu maradhi ya aina gani?

Wewe kila mahala unaruka maswali yangu, lakini mimi nakujibu maswali yako yote na naeleza kwa kina, hii inaonyesha huna hoja, katika maelezo nimekupiga spana za kichwa kuhusu uchawi sasa umejifichia kwenye kikorido cha placebo effect na meditation...

Sasa hebu tuelezee hio meditation inatibu maradhi moja, mbili, tatu, kama inaweza punguza ukali wa HIV badala ya kutumia ARVs tuelezee hapa....
Kwenye meditation kwanza ni kama nilivyosema ina depend individual's intention and approach to meditation. Ni suala la kuset clear intention kwa kile unachotaka ku achieve,inaweza kuwa healing, personal transformation, or achieving specific goals. Kwa mfano kwenye kitabu cha Dr Joe dispenza kiitwacho Becoming supernatural: How common people are doing the uncommon kuna case studies za watu ku experience significant improvements in chronic conditions or even complete healing from serious illnesses.
Ni mambo ya neuroscience, psychology, and spirituality.

".. ...science is unambiguous about its claim that the HIV virus causes AIDS. But it has no conception as to why large numbers of individuals that have been infected with the virus for decades do not express the disease? More baffling is the reality of terminal cancer patients who have recovered their lives through spontaneous remissions. Because such remissions are outside the bounds of conventional theory, science completely disregards the fact that they ever happened. Spontaneous remissions are dismissed as unexplainable exceptions to our current truths or simply, misdiagnoses". kutoka kwenye kitabu cha Dr Bruce lipton cha The Biology Of Belief.
 
Kwenye meditation kwanza ni kama nilivyosema ina depend individual's intention and approach to meditation. Ni suala la kuset clear intention kwa kile unachotaka ku achieve,inaweza kuwa healing, personal transformation, or achieving specific goals. Kwa mfano kwenye kitabu cha Dr Joe dispenza kiitwacho Becoming supernatural: How common people are doing the uncommon kuna case studies za watu ku experience significant improvements in chronic conditions or even complete healing from serious illnesses.
Ni mambo ya neuroscience, psychology, and spirituality.

".. ...science is unambiguous about its claim that the HIV virus causes AIDS. But it has no conception as to why large numbers of individuals that have been infected with the virus for decades do not express the disease? More baffling is the reality of terminal cancer patients who have recovered their lives through spontaneous remissions. Because such remissions are outside the bounds of conventional theory, science completely disregards the fact that they ever happened. Spontaneous remissions are dismissed as unexplainable exceptions to our current truths or simply, misdiagnoses". kutoka kwenye kitabu cha Dr Bruce lipton cha The Biology Of Belief.
Narudia tena kukuuliza kiongozi, meditation inatibu maradhi yapi?
Unaweza kuniorodhoshea?
Na hayo magonjwa yanakua katika hatua ipi?
Je wanatumia njia zipi kujitibu, labdaaina ya meditation n.k?

Kuhudu kitabu cha Bruce hakuna uchawi, wameelezea sayansi, tu deal kwanza na hoja yako ya meditation...
 
Narudia tena kukuuliza kiongozi, meditation inatibu maradhi yapi?
Unaweza kuniorodhoshea?
Na hayo magonjwa yanakua katika hatua ipi?
Je wanatumia njia zipi kujitibu, labdaaina ya meditation n.k?

Kuhudu kitabu cha Bruce hakuna uchawi, wameelezea sayansi, tu deal kwanza na hoja yako ya meditation...
Lengo langu si kuzungumzia zaidi kuhusu meditation bali kuonyesha mtazamo wako kuhusu sayansi haupo sawa, usifuate sayansi kama dini au dubwasha ambalo ndio linaakuamulia kipi uamini na kipi usiamini, unatakiwa ufungue akili hiyo.

Kuhusu kitabu cha Bruce sidhani kama umekisoma maana kama ungekisoma usingekitaja hapa.
 
Back
Top Bottom