Matukio ya Kushangaza Duniani Yanayodaiwa Kusababishwa na Uchawi

Matukio ya Kushangaza Duniani Yanayodaiwa Kusababishwa na Uchawi

Kama uchawi kweli una nguvu, mbona hautumiki kuleta maendeleo ya maana na kubadili mambo makubwa yanayoathiri jamii? Kwa sababu kama uchawi unafanya kazi kwenye mambo madogo, basi ungetarajiwa ufanye kazi pia kwenye mambo makubwa.

Je, unaweza kunipa ushahidi wa mambo hayo makubwa yanayofanyika kwa uchawi?

Mimi naamini katika sayansi kwa sababu imeleta maendeleo makubwa karibu katika kila nyanja—michezo, tiba, mawasiliano, ujenzi, sanaa, na hata safari za anga, Sayansi haina mipaka, inatumika popote na kwa yeyote anayejifunza na kuitumia.

Lakini uchawi unaonekana kuwa na mipaka mingi sana , Kwanini? Mbona hauwezi kutumika kutatua matatizo makubwa kama ukame, maradhi, au hata kushinda mashindano makubwa kama World Cup? Mbona kila mara unapokuwa na changamoto kubwa, watu huja kutegemea sayansi badala ya uchawi?

Kama uchawi kweli upo na unaweza kufanya lolote, mbona hakuna hospitali ya wachawi, magari ya wachawi, au hata kompyuta za wachawi?
Kwanza mkuu hii mitazamo ya kupambanisha sayansi na uchawi au na dini huwa inatoka wapi? kila kitu hapo kina nafasi yake. Uchawi utabaki kuwa ni uchawi na una kanuni zake na sayansi itabaki kuwa ni sayansi na ina kanuni zake.

Na ndio maana hata huo uchawi unaweza kupingwa kwa sababu ya kukosa maelezo ya kisayansi au ushahidi wa kisayansi, ni sawa na baadhi ya dawa za mitishamba ambazo watu wamekuwa wakitumia na kujitibu maradhi ila hakuna ushahidi wa kisayansi wa mitishamba hiyo kutibu hayo maradhi kwa sababu hakujafanyiwa uchunguzi wa kisayansi. Na kuna mambo mengi tu kama ya kitiba na kutatua changamoto mbalimbali ambayo bado kwa sasa hayana maelezo ya kisayansi lakini watu wamekuwa wakitumia na kufaidika nayo.

Hao wenzetu ambao ndio wagunduzi wa hivyo vifaa vya kiteknolojia ulivyovitaja ila ndio hao hao wamekuwa wakitumia energy healing kama Reiki ambapo unaweza kumtibu mtu kwa kutumia mikono peke tu au distant healing ambapo unaweza ukamtibu mtu aliye mbali huko, pia wanatumia remote viewing kupata taarifa za mtu,kitu au mahali fulani ukiwa mbali kabisa hii hadi serikali ya Marekani imetumia, kuna Dowsing ambapo huko zamani ilitumika kutafutia maji ardini kwa ajiri kuchimba visima ila sasa inatumika kwa mambo mengi sana. Vitu vyote hivyo havina ushahidi wa kisayansi ila vipo na vinatumika pengine siku vitakuja kupata maelezo ya kisayansi kama ilivyo kwa meditation sasa hivi wakati ilikuwepo toka enzi na enzi.

Kwahiyo sayansi inabaki kama ilivyo ndio maana hata waumini wa dini hufuata sayansi, huko kusema unaamini katika sayansi ndio huleta shida maana mnafanya sayansi kama aina fulani ya imani.
 
Hao wenzetu ambao ndio wagunduzi wa hivyo vifaa vya kiteknolojia ulivyovitaja ila ndio hao hao wamekuwa wakitumia energy healing kama Reiki ambapo unaweza kumtibu mtu kwa kutumia mikono peke tu au distant healing ambapo unaweza ukamtibu mtu aliye mbali huko, pia wanatumia remote viewing kupata taarifa za mtu,kitu au mahali fulani ukiwa mbali kabisa hii hadi serikali ya Marekani imetumia, kuna Dowsing ambapo huko zamani ilitumika kutafutia maji ardini kwa ajiri kuchimba visima ila sasa inatumika kwa mambo mengi sana. Vitu vyote hivyo havina ushahidi wa kisayansi ila vipo na vinatumika pengine siku vitakuja kupata maelezo ya kisayansi kama ilivyo kwa meditation sasa hivi wakati ilikuwepo toka enzi na enzi.
Kama kitu hakijathibitisshwa kisayansi kinabaki kuwa dai lisilo na uthibitisho, hoja yako kuhusu energy healing, remote viewing, au dowsing ni mifano ya madai yasiyo na ushahidi wa kisayansi wa kuaminika na ndio maana sayansi haiyakubali hadi ithibitishwe.

Kwahiyo sayansi inabaki kama ilivyo ndio maana hata waumini wa dini hufuata sayansi, huko kusema unaamini katika sayansi ndio huleta shida maana mnafanya sayansi kama aina fulani ya imani.
Sayansi haijengi imani bali inatafuta ukweli, unaposema "unasema unaamini sayansi," unajaribu kuifanya ionekane kama dini, lakini sayansi haitegemei imani kipofu , inatokana na ushahidi unaoweza kupimika na kuthibitishwa mara kwa mara....

Na ndio maana hata huo uchawi unaweza kupingwa kwa sababu ya kukosa maelezo ya kisayansi au ushahidi wa kisayansi, ni sawa na baadhi ya dawa za mitishamba ambazo watu wamekuwa wakitumia na kujitibu maradhi ila hakuna ushahidi wa kisayansi wa mitishamba hiyo kutibu hayo maradhi kwa sababu hakujafanyiwa uchunguzi wa kisayansi. Na kuna mambo mengi tu kama ya kitiba na kutatua changamoto mbalimbali ambayo bado kwa sasa hayana maelezo ya kisayansi lakini watu wamekuwa wakitumia na kufaidika nayo.
Kuna mitishamba mingi ambayo imefanyiwa utafiti na kuthibitishwa kisayansi kuwa na madhara au manufaa, tofauti ni kwamba tiba inayothibitishwa na sayansi hupitia vipimo, tafiti, na majaribio makali kuhakikisha inafanya kazi kweli, siyo tu kwa mazoea au imani...
Hio mitishamba pia kuna ambao walijaribu na ikaleta matokeo, hio tayari ni moja ya njia ya kisayansi kufanya majaribio.

pengine siku vitakuja kupata maelezo ya kisayansi kama ilivyo kwa meditation sasa hivi wakati ilikuwepo toka enzi na enzi.
Meditation ilikuwepo tangu zamani, lakini sasa imeanza kuthibitishwa kisayansi kwa vipimo vya jinsi inavyoathiri ubongo na mwili. Hiyo ni tofauti kabisa na uchawi, ambao haujawahi kuonesha ushahidi wowote wa kisayansi toka zamani.


Unasema uchawi una kanuni zake kama unavyodai, basi kwanini hakuna uchawi ulioweza kuthibitishwa kwa kutumia njia yoyote inayokubalika iwe kisayansi n.k? kama kweli ni mfumo wa kweli unaofanya kazi, kwanini hautumiwi rasmi kutatua matatizo ya dunia?

James Randi(magician) aliwahi kutoa $1M kwa yeyote anayeweza kuthibitisha uchawi au nguvu za kipekee, alitangaza yeyote mwenye hizo nguvu athibitishe, walenda watu wengi walishindwa, hakuna mtu aliyeweza kuthibitisha hata mmoja!

Zamani, watu waliamini magonjwa kama kifafa na kichaa cha mbwa ni laana za uchawi, lakini leo tunajua zinatokana na virusi na matatizo ya mfumo wa neva.

Zamani mtu akipata schizophrenia (kusikia sauti, kuona vitu ambavyo havipo), iliaminika kuwa amerogwa, lakini sasa tunajua ni ugonjwa wa ubongo unaoweza kutibiwa kwa dawa.

Watu waliamini ukoma ni laana, lakini sayansi iligundua kuwa ni ugonjwa wa bakteria (Mycobacterium leprae).

Mtu anayeamini uchawi huwa namuona ni mjinga.
 
Kama kitu hakijathibitisshwa kisayansi kinabaki kuwa dai lisilo na uthibitisho, hoja yako kuhusu energy healing, remote viewing, au dowsing ni mifano ya madai yasiyo na ushahidi wa kisayansi wa kuaminika na ndio maana sayansi haiyakubali hadi ithibitishwe.


Sayansi haijengi imani bali inatafuta ukweli, unaposema "unasema unaamini sayansi," unajaribu kuifanya ionekane kama dini, lakini sayansi haitegemei imani kipofu , inatokana na ushahidi unaoweza kupimika na kuthibitishwa mara kwa mara....


Kuna mitishamba mingi ambayo imefanyiwa utafiti na kuthibitishwa kisayansi kuwa na madhara au manufaa, tofauti ni kwamba tiba inayothibitishwa na sayansi hupitia vipimo, tafiti, na majaribio makali kuhakikisha inafanya kazi kweli, siyo tu kwa mazoea au imani...
Hio mitishamba pia kuna ambao walijaribu na ikaleta matokeo, hio tayari ni moja ya njia ya kisayansi kufanya majaribio.


Meditation ilikuwepo tangu zamani, lakini sasa imeanza kuthibitishwa kisayansi kwa vipimo vya jinsi inavyoathiri ubongo na mwili. Hiyo ni tofauti kabisa na uchawi, ambao haujawahi kuonesha ushahidi wowote wa kisayansi toka zamani.


Unasema uchawi una kanuni zake kama unavyodai, basi kwanini hakuna uchawi ulioweza kuthibitishwa kwa kutumia njia yoyote inayokubalika iwe kisayansi n.k? kama kweli ni mfumo wa kweli unaofanya kazi, kwanini hautumiwi rasmi kutatua matatizo ya dunia?

James Randi(magician) aliwahi kutoa $1M kwa yeyote anayeweza kuthibitisha uchawi au nguvu za kipekee, alitangaza yeyote mwenye hizo nguvu athibitishe, walenda watu wengi walishindwa, hakuna mtu aliyeweza kuthibitisha hata mmoja!

Zamani, watu waliamini magonjwa kama kifafa na kichaa cha mbwa ni laana za uchawi, lakini leo tunajua zinatokana na virusi na matatizo ya mfumo wa neva.

Zamani mtu akipata schizophrenia (kusikia sauti, kuona vitu ambavyo havipo), iliaminika kuwa amerogwa, lakini sasa tunajua ni ugonjwa wa ubongo unaoweza kutibiwa kwa dawa.

Watu waliamini ukoma ni laana, lakini sayansi iligundua kuwa ni ugonjwa wa bakteria (Mycobacterium leprae).

Mtu anayeamini uchawi huwa namuona ni mjinga.
Tatizo ni mtazamo wako kuhusu sayansi ndio bado tatizo. wewe ndio unasema unaamini sayansi kitu ambacho si sahihi kusema hivyo, huwezi kusema unaamini sayansi kwa sababu sayansi si imani.
Tatizo la kuamini sayansi inakuwa unaifanya sayansi kama dini au ni kama mtu ambaye ndio anakuamulia kipi uamini ndio maana unatumia kauli kama hizo kusema "..sayansi haiyakubali hadi ithibitishwe". Ni rahisi hapo kusema kitu fulani si kweli kisa hakuna ushahidi wa kisayansi ila mara nyingi the person who says that has no training in science or the scientific method and wouldn't know a good experimental design if it sat on him.

Kama hadi sasa kusingekuwa na maelezo ya kisayansi kwenye meditation basi ungekuwa unaona wanaoamini kwenye meditation ni wajinga kisa hakuna maelezo ya kisayansi(ambayo yamekuja miaka ya juzi tu) kwa sababu mmefanya Science is somehow the arbiter of truth. Kwa jinsi unavyoichukulia sayansi hakuna tofauti na dini kabisa na ndio maana mmefanya sayansi ni mbadala wa kuamini dini au uchawi.

Hayo mambo ya sijui watu zamani hivi na vile, mbona umeacha na kuweka mifano ya nadharia za kisayansi ambazo zilikuwa zikiaminika pia huko zamani ila sasa haziaminiki tena?
 
Hebu leo twende huku na kule duniani tuangalie matukio yaliyotokea miaka ya nyuma, yanayoaminika kuwa yalisababishwa na uchawi au nguvu za giza. Baadaye ntakueleza njia za kuwashinda wachawi na mashetani kama umekuwa ukiwaogopa.

Uingereza:
Poltergeist ni tukio lililotokea Uingereza. Tukio hili lilihusisha familia moja iliyodai kuwa nyumba yao ilikuwa ikisumbuliwa na mizimu au nguvu zisizo za kawaida (poltergeist). Familia hiyo iliripoti kwamba ilisikia sauti zisizoeleweka na kuona meza, viti, makochi, makabati na vitanda vikihama hama vyenyewe na kurushwa rushwa hewani na nguvu zisizoonekana.

Marekani:
Kesi za kichawi za Salem(Salem Witch Trials) ni msururu wa kesi za uchawi zilizotokea katika mji wa Salem, Massachusetts. Kilikuwa kipindi cha hofu kubwa iliyosababishwa na wasichana kadhaa waliodai kuathiriwa na uchawi. Watu zaidi ya 200 walituhumiwa kuwa wachawi. Kati ya hao 19 walihukumiwa kifo kwa kunyongwa, na mmoja aliuawa kwa kukandamizwa na mawe. Mji wa Salem ni kivutio kikubwa cha watalii, hasa kwa wale wanaopenda kujua mambo ya kichawi. Mji huo una makumbusho mengi yanayohusiana na kesi hizo za uchawi.

Ufaransa:
Napoleon Bonaparte alikuwa kiongozi mashuhuri wa Ufaransa(Emperor of France). Alijulikana kwa ujuzi wake mkubwa wa kijeshi. Ilidaiwa Napoleon alilaaniwa au kulogwa na wachawi, kwani alikufa katika hali ya kutatanisha.

Misri:
Nchini Misri kulikuwa na imani kwamba yeyote atakayefungua au kuvuruga kaburi la Farao Tutankhamun atapatwa na laana na mikosi au kifo cha ghafla. “Archaeologist” Howard Carter na timu yake walifukua kaburi la Mfalme Tutankhamun. Baada ya ufukuzi huo, watu kadhaa waliohusika walifariki kwa njia zisizoeleweka. Habari za vifo hivyo zilisababisha watu waamini kuwa waliofukua kaburi hilo waliathiriwa na laana ya wachawi wa Misri.

Italia:
Tarantism ni ugonjwa wa ajabu uliotokea huko Italia, ambapo watu waliamini kuwa ugonjwa huo ulisababishwa na kung’atwa na buibui wa kichawi aina ya tarantula. Ugonjwa huo ulisababisha msongo wa akili na hali ya ajabu mwilini kama vile kupooza, huzuni kali, au mhemko wa ghafla. Waliamini kuwa tiba pekee ilikuwa kucheza muziki wa haraka(tarantella) kwa nguvu ili kutoa sumu hiyo nje ya mwili. Hadi leo muziki wa tarantella bado ni sehemu ya utamaduni wa Italia.

Ufaransa:
Nchini Ufaransa kulikuwa na msiba mkubwa uliojulikana kama Msiba wa Dansi wa Strasbourg. Katika tukio hilo, watu walishikwa na wazimu wa kucheza bila kusimama(non stop) kwa siku nyingi, na baadhi walifariki kwa uchovu au mshtuko wa moyo. Hakuna maelezo ya kisayansi yaliyoeleweka kuhusiana na tukio hilo kwa wakati huo, hivyo watu waliamini kuwa ni uchawi au laana.

Matukio yanayoaminika kuwa ni ya kichawi bado yanaendelea kushuhudiwa huku na kule duniani. Kuna watu wameshuhudia kwamba walipoamka asubuhi walijikuta wamelala kwenye kitanda nje ya nyumba. Kitanda kilitolewaje nje hawajui. Wengine wamekiri kunyolewa nywele usiku bila kuona mtu anayewanyoa. Kuna watu wameona moshi ukifuka katikati yao bila kuwepo chochote kinachoweza kusababisha moshi. Mara kwa mara tunasikia wachawi wamekamatwa alfajiri nje ya nyumba wakiwa na nyungo wanazodai zinawawezesha kuruka hewani usiku. Mara kadhaa tumeona vichaa wakiokota makopo kutokana na madai kuwa wamelogwa na wachawi.

Uchawi upo? Kwa wanaoamini Biblia, ni kweli uchawi upo. Katika kitabu cha Kutoka 7:10-12 imeandikwa hivi:
"Basi Musa na Haruni wakaingia kwa Farao, wakafanya kama vile Bwana alivyowaagiza; Haruni akatupa fimbo yake mbele ya Farao, na mbele ya watumishi wake, ikawa nyoka. Farao naye akawaita wenye hekima na wachawi; na hao waganga wa Misri, wakafanya vivyo hivyo kwa uchawi wao. Wakatoa kila mtu fimbo yake, nazo zikawa nyoka; lakini fimbo ya Haruni ikazimeza fimbo zao."

Kitabu cha Matendo 8:9-11 kinaeleza juu ya Simoni mchawi aliyekuwa akiwashangaza watu wengi kwa uchawi wake. Ukisoma pia Matendo ya Mitume 16:16-18 utaona habari za msichana(kijakazi) aliyekuwa anaagua au kutoa unabii kwa kutumia nguvu za giza(pepo wa utambuzi). Msichana huyo aliwaingizia pesa nyingi bwana zake hadi pale pepo walipomtoka.

Matendo ya kichawi yanafanyika kutokana na nguvu za giza za shetani na mapepo. Shetani na mapepo ni roho chafu. Kwa sababu hiyo huwezi kuwaona kwa macho wanapotenda mambo ya kichawi kwa kushirikiana na wachawi au washirikina.

Huna haja ya kumuogopa shetani wala wachawi. Mungu wetu nguvu zake ni kuu kuliko nguvu za giza. Hivyo, mtu akikutishia kukuloga, usibabaike. Ukiingia katika nyumba inayosemekana ina wachawi, usiogope kulala humo. Ukivamiwa usiku na wachawi, usihofu. Fanya haya yafuatayo utaona ushindi:

Mwamini Yesu Kristo na uishi maisha matakatifu. Shetani anawaogopa watu wanaoishi maisha matakatifu kwakuwa wamepewa amri ya kumkemea(Mt 10:1-25).

Sali(omba) bila kukoma. Maombi ni silaha kubwa ya kiroho dhidi ya wachawi. (Waefeso 6:18; 2 Wakorintho 10:4). Omba asubuhi, omba mchana, omba usiku kabla hujalala Mungu akufunike kwa ulinzi wake. Ukiona mashambulizi yanazidi, funga na kuomba upambane na nguvu za giza.

Tumia Damu ya Yesu kwa imani. Damu ya Yesu ina nguvu ya kutuokoa na kutulinda dhidi ya kila shambulio la wachawi. Kitabu cha Ufunuo 12:11 kinasema: "Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo na kwa neno la ushuhuda wao." Itumie/itamke damu ya Yesu katika maombi ili kuharibu mipango yote ya giza.

Soma Neno la Mungu kila siku. Neno la Mungu ni upanga wa Roho (Waefeso 6:17). Ukilisoma kila siku litakuongezea imani. Mchawi akikupa vitisho mtamkie Neno la Mungu. Mwambie: “Imeandikwa katika Isaya 54:17: "Silaha yoyote itakayofanyika juu yangu haitafanikiwa."
Hiyo ni kinga tosha.

Mkemee(mpinge) shetani. Kemea wachawi na mapepo kwa Jina la Yesu. Kukemea ni kuamuru yatoke. Tamka hivi: “Wewe mchawi, nakuamuru kwa Jina la Yesu, toka hapa.” Nakwambia atatimua mbio. Ukisikia au ukiona vitu vinavyokutisha tisha, fanya hivyo hivyo. Jina la Yesu lina nguvu sana kuliko nguvu za kichawi. Katika kitabu cha Yakobo 4:7 imeandikwa: "Mtiini Mungu, mpingeni Shetani, naye atawakimbia." Tunapokuwa thabiti katika Mungu na kumkataa shetani kwa imani, wachawi na nguvu zao wanasalimu amri.

Naamini kuanzia leo hutaogopa tena wachawi, mapepo na shetani. Ubarikiwe!
Hatari
 
Bila tukio la Africa hii ni batili kabisaa.
KAZI ni kipimo cha utu
 
Tatizo ni mtazamo wako kuhusu sayansi ndio bado tatizo. wewe ndio unasema unaamini sayansi kitu ambacho si sahihi kusema hivyo, huwezi kusema unaamini sayansi kwa sababu sayansi si imani.
Tatizo la kuamini sayansi inakuwa unaifanya sayansi kama dini au ni kama mtu ambaye ndio anakuamulia kipi uamini ndio maana unatumia kauli kama hizo kusema "..sayansi haiyakubali hadi ithibitishwe". Ni rahisi hapo kusema kitu fulani si kweli kisa hakuna ushahidi wa kisayansi ila mara nyingi the person who says that has no training in science or the scientific method and wouldn't know a good experimental design if it sat on him.

Kama hadi sasa kusingekuwa na maelezo ya kisayansi kwenye meditation basi ungekuwa unaona wanaoamini kwenye meditation ni wajinga kisa hakuna maelezo ya kisayansi(ambayo yamekuja miaka ya juzi tu) kwa sababu mmefanya Science is somehow the arbiter of truth. Kwa jinsi unavyoichukulia sayansi hakuna tofauti na dini kabisa na ndio maana mmefanya sayansi ni mbadala wa kuamini dini au uchawi.

Hayo mambo ya sijui watu zamani hivi na
vile, mbona umeacha na kuweka mifano ya nadharia za kisayansi ambazo zilikuwa zikiaminika pia huko zamani ila sasa haziaminiki tena?
unashambulia mtazamo wangu kuhusu sayansi badala ya kujibu hoja zangu kuhusu uchawi..

Kwanza kabisa sijasema imani yangu ni sayansi, lakini sayansi mimi kwangu ni njia ya kupata ukweli.

Sio kwamba naamini sayansi kama dini, ni kwamba nafuata njia bora ya kugundua ukweli , na hiyo njia ni sayansi. Kama uchawi upo, basi uthibitisho wake upo wapi?

Hadi sasa hakuna mtu aliyewahi kuonyesha ushahidi unaoweza kurudiwa na kuthibitishwa, wewe una ushahidi gani kuhusu uchawi? hapo ndipo nakushinda hoja na naamua kusema uchawi haupo.. huna hoja ya kupinga hilo
Hayo mambo ya sijui watu zamani hivi na vile, mbona umeacha na kuweka mifano ya nadharia za kisayansi ambazo zilikuwa zikiaminika pia huko zamani ila sasa haziaminiki tena?
Ukiangalia historia, sayansi inarekebisha makosa yake kwa ushahidi mpya. Lakini uchawi haujawahi hata kuthibitishwa, sasa tungeuachaje?

Turudi kwenye hoja kuu na unijibu Kama uchawi upo, kwa nini hakuna mtu aliyewahi kuthibitisha kisayansi ama njia nyingine yeyote kwa mazingira yanayoweza kurudiwa na kuthibitishwa na wengine?

Wewe huna tofauti na wagiriki wa kale waliamini miungu yao, Zeus, Hades, Poseido walikuwa wanadhibiti dunia, hadi sayansi ilipokuja na kueleza hali ya hewa, radi na tsunami kwa njia ya kisayansi...

Kuna watu wa zama za kati hapo waliamini magonjwa yanatokana na mapepo au laana, lakini baadaye

sayansi iligundua vijidudu na chanzo halisi cha magonjwa... na ikapatikana tiba mfano:
Katika karne za nyuma, watu waliamini kuwa TB ni laana au uchawi, hasa kwa sababu wagonjwa walikuwa

wanadhoofika polepole na kudhoofika kwa mwili kulionekana kama wamefanyiwa ushirikina ama mambo ya

mizimu n.k wengine waliamini ni adhabu ya Mungu, Lakini mnamo 1882, mwanasayansi Robert Koch aligundua

kuwa TB inasababishwa na bakteria Mycobacterium tuberculosis, sio laana wala uchawi... Baada ya kugundua

chanzo cha kisayansi, watu walianza kutumia chanjo na antibiotics kuzuia na kutibu TB badala ya kutegemea

tiba za kimila au ibada za kuondoa laana... na walipona...

Kuna ugnjwa uliitwa tauni uliua zaidi ya watu milioni 50 barani Ulaya, wengine waliamin ugonjwa huu ni adhabu ya Mungu kwa dhambi za watu, wengine waliamini umeletwa na wachawi na mashetani, wengine

waliona ni laana imetokakwa wayahudi na wageni na wakaanza kwaangamiza, Lakini baadaye, sayansi

iligundua kuwa Tauni ilisababishwa na bakteriaYersinia pestis, wanaoenezwa na viroboto kutoka kwa panya...

baada ya hapo watu walianza kutumia dawa, kufuata kanuni za usafi na wakapona kweli...

je ni kitu gani kinachofanya uchawi uwe wa kweli zaidi kuliko imani hizo zingine ambazo watu walikuwa wanaamini lakini baadaye zikathibitishwa kuwa si kweli?
Kwa hiyo, kuendelea kuamini uchawi hauna tofauti na hao watu ambao waliishi katika nyakati za giza, huna tofauti...

Njoo kwenye vita, kwa maana uchawi unasadikika watu kuutumia kuroga maadui au kuroga mtu yeyote... nasikia wanaroga hata wezi... sasa:
Kama uchawi kweli upo na unafanya kazi, kwa nini haujawahi kutumika vitani kuangusha maadui? Kwa nini nchi hazitumii uchawi badala ya silaha za kisasa kama mabomu, drones, au silaha za nyuklia?

WWII hakuna taifa lolote lililotumia uchawi kushinda, waliotumia teknolojia bora kama ndege za kivita, mizinga, na silaha za kisasa ndio walioshinda.

Wazulu walikuwa na imani kubwa katika tiba za kichawi na kinga za sanaai za vita(art of war), lakini waingereza waliwashinda kwa urahisi kwa kutumia bunduki na mizingga... hawa ni wale wapiganaji wa jadi unakuta wana mganga anawapa dawan.k, lakini walibondwa mbaya mbovu..

Vita ya sasa Ukrine na Russia hakuna uchawi unaotumika, ni teknolojia na mbinu za kivita zinazotawala...


Kama uchawi unafanya kazi kweli, kwanini hautumiki vitani badala ya silaha? Kwanini hakuna mtu aliyewahi kushinda vita kwa kutumia uchawi?

Kinjekitile aliamini nguvu za uchawi, na wafuasi wake waliingia vitani wakiamini risasi zitageuka maji , lakini ukweli wa kisayansi ukashinda, risasi zilibaki kuwa risasi, na maelfu walikufa, Hii ni mfano halisi wa jinsi imani zisizo na msingi wa kisayansi zinavyoweza kuwaangamiza watu...

Kama uchawi upo na unafanya kazi kweli, kwa nini dawa ya maji ya Kinjekitile hayakufanya risasi kuwa maji? Kwa nini hawakushinda vita?


Naomba majibu tafadhali...
 
unashambulia mtazamo wangu kuhusu sayansi badala ya kujibu hoja zangu kuhusu uchawi..

Kwanza kabisa sijasema imani yangu ni sayansi, lakini sayansi mimi kwangu ni njia ya kupata ukweli.

Sio kwamba naamini sayansi kama dini, ni kwamba nafuata njia bora ya kugundua ukweli , na hiyo njia ni sayansi. Kama uchawi upo, basi uthibitisho wake upo wapi?

Hadi sasa hakuna mtu aliyewahi kuonyesha ushahidi unaoweza kurudiwa na kuthibitishwa, wewe una ushahidi gani kuhusu uchawi? hapo ndipo nakushinda hoja na naamua kusema uchawi haupo.. huna hoja ya kupinga hilo

Ukiangalia historia, sayansi inarekebisha makosa yake kwa ushahidi mpya. Lakini uchawi haujawahi hata kuthibitishwa, sasa tungeuachaje?

Turudi kwenye hoja kuu na unijibu Kama uchawi upo, kwa nini hakuna mtu aliyewahi kuthibitisha kisayansi ama njia nyingine yeyote kwa mazingira yanayoweza kurudiwa na kuthibitishwa na wengine?

Wewe huna tofauti na wagiriki wa kale waliamini miungu yao, Zeus, Hades, Poseido walikuwa wanadhibiti dunia, hadi sayansi ilipokuja na kueleza hali ya hewa, radi na tsunami kwa njia ya kisayansi...

Kuna watu wa zama za kati hapo waliamini magonjwa yanatokana na mapepo au laana, lakini baadaye

sayansi iligundua vijidudu na chanzo halisi cha magonjwa... na ikapatikana tiba mfano:
Katika karne za nyuma, watu waliamini kuwa TB ni laana au uchawi, hasa kwa sababu wagonjwa walikuwa

wanadhoofika polepole na kudhoofika kwa mwili kulionekana kama wamefanyiwa ushirikina ama mambo ya

mizimu n.k wengine waliamini ni adhabu ya Mungu, Lakini mnamo 1882, mwanasayansi Robert Koch aligundua

kuwa TB inasababishwa na bakteria Mycobacterium tuberculosis, sio laana wala uchawi... Baada ya kugundua

chanzo cha kisayansi, watu walianza kutumia chanjo na antibiotics kuzuia na kutibu TB badala ya kutegemea

tiba za kimila au ibada za kuondoa laana... na walipona...

Kuna ugnjwa uliitwa tauni uliua zaidi ya watu milioni 50 barani Ulaya, wengine waliamin ugonjwa huu ni adhabu ya Mungu kwa dhambi za watu, wengine waliamini umeletwa na wachawi na mashetani, wengine

waliona ni laana imetokakwa wayahudi na wageni na wakaanza kwaangamiza, Lakini baadaye, sayansi

iligundua kuwa Tauni ilisababishwa na bakteriaYersinia pestis, wanaoenezwa na viroboto kutoka kwa panya...

baada ya hapo watu walianza kutumia dawa, kufuata kanuni za usafi na wakapona kweli...

je ni kitu gani kinachofanya uchawi uwe wa kweli zaidi kuliko imani hizo zingine ambazo watu walikuwa wanaamini lakini baadaye zikathibitishwa kuwa si kweli?
Kwa hiyo, kuendelea kuamini uchawi hauna tofauti na hao watu ambao waliishi katika nyakati za giza, huna tofauti...

Njoo kwenye vita, kwa maana uchawi unasadikika watu kuutumia kuroga maadui au kuroga mtu yeyote... nasikia wanaroga hata wezi... sasa:
Kama uchawi kweli upo na unafanya kazi, kwa nini haujawahi kutumika vitani kuangusha maadui? Kwa nini nchi hazitumii uchawi badala ya silaha za kisasa kama mabomu, drones, au silaha za nyuklia?

WWII hakuna taifa lolote lililotumia uchawi kushinda, waliotumia teknolojia bora kama ndege za kivita, mizinga, na silaha za kisasa ndio walioshinda.

Wazulu walikuwa na imani kubwa katika tiba za kichawi na kinga za sanaai za vita(art of war), lakini waingereza waliwashinda kwa urahisi kwa kutumia bunduki na mizingga... hawa ni wale wapiganaji wa jadi unakuta wana mganga anawapa dawan.k, lakini walibondwa mbaya mbovu..

Vita ya sasa Ukrine na Russia hakuna uchawi unaotumika, ni teknolojia na mbinu za kivita zinazotawala...


Kama uchawi unafanya kazi kweli, kwanini hautumiki vitani badala ya silaha? Kwanini hakuna mtu aliyewahi kushinda vita kwa kutumia uchawi?

Kinjekitile aliamini nguvu za uchawi, na wafuasi wake waliingia vitani wakiamini risasi zitageuka maji , lakini ukweli wa kisayansi ukashinda, risasi zilibaki kuwa risasi, na maelfu walikufa, Hii ni mfano halisi wa jinsi imani zisizo na msingi wa kisayansi zinavyoweza kuwaangamiza watu...

Kama uchawi upo na unafanya kazi kweli, kwa nini dawa ya maji ya Kinjekitile hayakufanya risasi kuwa maji? Kwa nini hawakushinda vita?


Naomba majibu tafadhali...
Kuna vitu unashindwa kuelewa unajichanganya, hauweleweki hoja yako ni kwamba hakuna uchawi kabisa? Au hakuna ushahidi wa kisayansi kuhusiana na uchawi? Au unalinganisha manufaa ya sayansi na uchawi? Au unapinga tu kila ambacho hakina maelezo ya kisayansi kwa sababu wewe unaamini sayansi?

Hebu kwanza nijibu ili twende sawa.
 
Kuna vitu unashindwa kuelewa unajichanganya, hauweleweki hoja yako ni kwamba hakuna uchawi kabisa? Au hakuna ushahidi wa kisayansi kuhusiana na uchawi? Au unalinganisha manufaa ya sayansi na uchawi? Au unapinga tu kila ambacho hakina maelezo ya kisayansi kwa sababu wewe unaamini sayansi?

Hebu kwanza nijibu ili twende sawa.
Nasema kwamba uchawi haupo kwa sababu hizo zote nilizotaja huko juu, ambacho huelewi nini hapo kiongozi?
Ni kwamba hakuna uchawi na hakuna uthibitisho wowote wa kisayansi au namna yeyote uaothibitisha uchawi upo.. kumbuka hivyo vinategemeana, kama uthibitisho upo basi uchawi upo, hapo the key ni uthibitisho uwe wa kisayansi au hata kwa kushuhudia tu...

Naendelea kukuuliza ama huo uchawi unaleta utajiri kwanini hauna wachawi wanaopata pesa kimaajabu kuwazidi kina Elon Musk na Jeff Bezos, n.k


Kuamini uchawi huna tofauti na wale wazee wa zamaniwaliokuwa hawana elimu yeyote wakiamini kuzaa albino ni mikosi, laana n.k
Hizo hizo imani ndizo hizo hao wajinga huua albino kwa imani za kipuuzi...
 
Umeandika vyote ila umesahau kuhusu 'TRASMOZ' nenda google kwa taarifa zaidi 😀
 
Nasema kwamba uchawi haupo kwa sababu hizo zote nilizotaja huko juu, ambacho huelewi nini hapo kiongozi?
Ni kwamba hakuna uchawi na hakuna uthibitisho wowote wa kisayansi au namna yeyote uaothibitisha uchawi upo.. kumbuka hivyo vinategemeana, kama uthibitisho upo basi uchawi upo, hapo the key ni uthibitisho uwe wa kisayansi au hata kwa kushuhudia tu...

Naendelea kukuuliza ama huo uchawi unaleta utajiri kwanini hauna wachawi wanaopata pesa kimaajabu kuwazidi kina Elon Musk na Jeff Bezos, n.k


Kuamini uchawi huna tofauti na wale wazee wa zamaniwaliokuwa hawana elimu yeyote wakiamini kuzaa albino ni mikosi, laana n.k
Hizo hizo imani ndizo hizo hao wajinga huua albino kwa imani za kipuuzi...
Wewe uliwahi kufanya uchunguzi kujua ukweli kuhusu uchawi? Hebu nieleze ni yapi uliwahi kufanya kujiridhisha hakuna uchawi na hayo yenye kudhaniwa kuwa ni uchawi si uchawi ni nini? Hebu tuanzie hapo kwanza.

Hayo ya kusema kama uchawi upo mbona haujafanya hiki na kile si hoja ya msingi maana hata sasa kuna magonjwa ambayo hakuna tiba kisayansi ila zipo tiba mbadala.
 
Wewe uliwahi kufanya uchunguzi kujua ukweli kuhusu uchawi? Hebu nieleze ni yapi uliwahi kufanya kujiridhisha hakuna uchawi na hayo yenye kudhaniwa kuwa ni uchawi si uchawi ni nini? Hebu tuanzie hapo kwanza.

Hayo ya kusema kama uchawi upo mbona haujafanya hiki na kile si hoja ya msingi maana hata sasa kuna magonjwa ambayo hakuna tiba kisayansi ila zipo tiba mbadala.
We unaamini uchawi upo? tuanzie hapo halafu na mimi nitasema...
 
We unaamini uchawi upo? tuanzie hapo halafu na mimi nitasema...
Ndio naamini uchawi upo, binafsi nimeshuhudia masuala ya uchawi kwa namna mbalimbali na pia nimepata kusimuliwa matukio ya kweli ya kifamilia yenye kuhusu uchawi.
 
Ndio naamini uchawi upo, binafsi nimeshuhudia masuala ya uchawi kwa namna mbalimbali na pia nimepata kusimuliwa matukio ya kweli ya kifamilia yenye kuhusu uchawi.
Wewe huna tofauti na wale waliosema kuna ndege za UFO na viumbe wanaoitwa aliens,wana akili nyingi sana na wana sayansi ya hali ya juu...

Ikiwa uchawi upo, kwa nini hauwezi kuthibitishwa kwa njia ya kisayansi au njia yeyote ile? Kwa mfano, tunaweza kupima dawa hospitalini na kuona jinsi inavyofanya kazi kwa watu mbalimbali kwa njia thabiti. Lakini hakuna mtu aliyewahi kuonyesha uchawi ukifanya kazi katika mazingira ya maabara au kupitia utafiti huru unaoweza kurudiwa na wengine. Kwa nini uchawi hauwezi kupimwa na kuthibitishwa kama ilivyo kwa tiba, teknolojia, au fizikia?

Naomba majibu...
NB:
Siamini kama uchawi upo, naamini sayansi..
 
Wewe huna tofauti na wale waliosema kuna ndege za UFO na viumbe wanaoitwa aliens,wana akili nyingi sana na wana sayansi ya hali ya juu...

Ikiwa uchawi upo, kwa nini hauwezi kuthibitishwa kwa njia ya kisayansi au njia yeyote ile? Kwa mfano, tunaweza kupima dawa hospitalini na kuona jinsi inavyofanya kazi kwa watu mbalimbali kwa njia thabiti. Lakini hakuna mtu aliyewahi kuonyesha uchawi ukifanya kazi katika mazingira ya maabara au kupitia utafiti huru unaoweza kurudiwa na wengine. Kwa nini uchawi hauwezi kupimwa na kuthibitishwa kama ilivyo kwa tiba, teknolojia, au fizikia?

Naomba majibu...
NB:
Siamini kama uchawi upo, naamini sayansi..
Hebu nieleze ni yapi uliwahi kufanya kujiridhisha hakuna uchawi na hayo yenye kudhaniwa kuwa ni uchawi si uchawi ni nini? Hebu tuanzie hapo kwanza.
 
Hebu nieleze ni yapi uliwahi kufanya kujiridhisha hakuna uchawi na hayo yenye kudhaniwa kuwa ni uchawi si uchawi ni nini? Hebu tuanzie hapo kwanza.
Mkuu, unaelewa dhana ya burden of proof?
ushahidi uko kwa yule anayefanya madai ya kuwepo kwa kitu fulani, si yule anayepinga. Kama unasema uchawi upo, basi ni jukumu lako kuleta uthibitisho wa kisayansi unaoweza kurudiwa reproducible evidence, kuthibitisha madai yako.

Kwanini Siwezi kudhibitisha kitu kisichopo? , Mimi kusema kuwa uchawi haupo ni sawa na kusema hakuna dragons duniani , kama mtu anasema dragons zipo, basi ni kazi yake kuonyesha ushahidi wa dragon moja, si kazi yangu kuzunguka dunia nzima kuhakikisha hakuna dragon , ukisema uchawi upo, ni kazi yako kuleta ushahidi wa kisayansi kuthibitisha, si kazi yangu kuthibitisha kuwa haupo..

Jinsi Nilivyojiridhisha uchawi haupo, Uchawi ungekuwa upo, tungeweza kuupima kwa njia za kisayansi kama tunavyofanya kwa dawa au teknolojia. Lakini hadi leo hakuna mtu aliyewahi kuonyesha uchawi ukifanya kazi katika mazingira yaliyodhibitiwa kisayansi. Kuna majaribio mengi yaliyowahi kufanywa na watu wakiahidi kuonyesha uchawi, lakini wote wameshindwa kuthibitisha..

James Randi alitoa tuzo ya $1,000,000 kwa yeyote anayeweza kuthibitisha kwa njia ya kisayansi kuwa uchawi unafanya kazi, watu wengi walijaribu, hakuna aliyefanikiwa..

Sasa, badala ya kuniambia nijiridhishe kuwa uchawi haupo, naomba wewe uniletee ushahidi wa kisayansi unaoweza kurudiwa kuthibitisha uchawi upo. Tafadhali, leta angalau utafiti mmoja huru uliochapishwa na kuthibitishwa na wataalamu wengine unaoonyesha uchawi unafanya kazi. Kama huwezi, basi hilo linamaanisha kuwa unaamini katika kitu ambacho hakina ushahidi, sawa na mtu anayeamini kuwa UFO zipo ns huwa zinabeba watu bila uthibitisho wowote..
 
Kuna vitu unashindwa kuelewa unajichanganya, hauweleweki hoja yako ni kwamba hakuna uchawi kabisa? Au hakuna ushahidi wa kisayansi kuhusiana na uchawi? Au unalinganisha manufaa ya sayansi na uchawi? Au unapinga tu kila ambacho hakina maelezo ya kisayansi kwa sababu wewe unaamini sayansi?

Hebu kwanza nijibu ili twende sawa.

Uchawi haupo. Ila imani juu ya uchawi ipo kwenye vichwa vya wajinga kama wewe
 
Hebu nieleze ni yapi uliwahi kufanya kujiridhisha hakuna uchawi na hayo yenye kudhaniwa kuwa ni uchawi si uchawi ni nini? Hebu tuanzie hapo kwanza.

Umezidiwa hoja sasa Unaleta logical fallacy inaitwa burden of proof.

Tambua humu hakuna wajinga wa kuwadanganya kwa ujanja ujanja.

Shifting the Burden of Proof (Kubadili Mzigo wa Ushahidi)

Kudai kuwa huwezi kuthibitisha madai yako, bali mpinzani wako lazima athibitishe kuwa ni ya uongo.

Ndio maana umehamisha magoli unasema
  • “Wewe thibitisha kuwa uchawi haupo.”
 
Mkuu sikufichi... Hii chuki yako kwa shetani haina kipimo..

Nashauri.. Ungana na Rose Muhando. Mumpige pande zote mpaka Muhakikishe Shetani hatauona uchaguzi huu..
 
Back
Top Bottom