TAREHE 05-01-2011
Police wawapiga risasi watu zaidi ya 11 ktk maandamano ya CHADEMA. Waua watu 3.
TAREHE_10-2011
Dk.Mwakyembe aenda India kutibiwa kutokana na Kupewa Sumu.PoliCCM walipotezea kisiasa.
TAREHE_02-2012
Shehe Ali khamis Kuuawa kwa mapanga.
TAREHE 26-06-2012
Dr.Ulimboka akatekwa na kufanyiwa unyama.
TAREHE 18-07-2012
Mv spice yazama.
TAREHE 02-09-2012
Daudi Mwangosi auliwa na polisi Iringa.
TAREHE 28-09-2012
LHRC Waishtaki serikali ya K.. ICC
TAREHE 12-10-2012
Mtoto kudhihaki Kitabu kitakatifu (haijawahi kutokea Tz)
TAREHE 16-10-2012
Shehe Farid A. Hadi kiongozi wa Uhamsho kutekwa na kupotea(Alipatikana)
TAREHE _12-2012
Padre Ambrose apigwa risasi Zanzibar
TAREHE _02-2013
Padre Evarist Mushi apigwa risasi Zanzibar.
TAREHE 18-02-2013
Matokeo kidato cha 4 mabovu,haijawahi kutokea duniani tangu kuumbwa kwa Adam na Hawa.
Waliopata div 4 na 0 ni takriban 95%
TAREHE 05-03-2013
Kibanda afanyiwa ya Ulimboka.
TAREHE _03-2013
Lwakatale (mkurugenzi wa usalama CHADEMA) atuhumiwa kwa Ugaidi.
TAREHE 17-04-2013
wabunge 6 wa CHADEMA watolewa nje ya bunge,Ndugai/naibu spika awapa adhabu ya kutoingia bungeni siku 5 kinyume na kanuni za bunge.
Siku hiyohiyo mh.Lema amtaja Rais kuwa ndie mwanzilishi wa udini.
TAREHE 25-04-2013
Lema avamiwa usiku wa manane na polisi kwa amri ya Mulongo/mkuu wa mkoa wa Arusha
UPDATE,
TAREHE 05-05-2013
Mlipuko watokea kanisani Arusha...
Mheshimiwa rais akiwa angani na ndege kuelekea Kuwait kuta..
TAREHE 08-05-2013
Lwakatale/mkulugenzi wa usalama wa CHADEMA afutiwa mashtaka ya ugaidi.
MWAKA 2013
.Deni la taifa lafikia tril.22 wakati Kikwete alikuta deni ni tril.5
.Dola moja=1,600 tshs wakat alikuta dola moja=600tshs.
TAREHE 14-05-2013
tetesi za
Kikwete kuandaliwa mpango wa kuwa rais wa Tz hadi mwaka 2017 badala ya mwaka 2015,ili asimamie kukamilika kwa uundwaji wa katiba mpya.
Source,Mh.Pro.Lipumba.
UPDATES:
TAREHE 18-05-2013
Tetesi: Kanisa la TAG ladaiwa kuchomwa moto leo hii....
TAREHE 19-05-2013
Iringa, Police wawashambulia Wamachinga kwa Mabomu ya machozi kuwaondoa eneo wanalofanyia kazi.
Mh.Mch.Msigwa Mbunge wa Iringa Mjini akamatwa na Police.
Tare.20-05-2013 Mhe.Msigwa atolewa Lupango kwa dhamana.
TAREHE 22-05-2013
Ukaidi wa Kikwete na waziri wake wa nishati na madini wasababisha vurugu Mtwara watu wakipinga ujenz wa bomba la gesi kwenda Dar.
Zaidi ya watu 6 wakiwemo Police wauawa.
(kama kunanilichokisahau ama kukosea nikumbusheni at)
mfano,Tarehe aliyosema hajui kwanini Tz ni maskin,msongamano wa magali dar ni ishara ya maisha bora,n.k
pia anaekumbuka idadi ya safar za mheshimiwa.
Police wawapiga risasi watu zaidi ya 11 ktk maandamano ya CHADEMA. Waua watu 3.
TAREHE_10-2011
Dk.Mwakyembe aenda India kutibiwa kutokana na Kupewa Sumu.PoliCCM walipotezea kisiasa.
TAREHE_02-2012
Shehe Ali khamis Kuuawa kwa mapanga.
TAREHE 26-06-2012
Dr.Ulimboka akatekwa na kufanyiwa unyama.
TAREHE 18-07-2012
Mv spice yazama.
TAREHE 02-09-2012
Daudi Mwangosi auliwa na polisi Iringa.
TAREHE 28-09-2012
LHRC Waishtaki serikali ya K.. ICC
TAREHE 12-10-2012
Mtoto kudhihaki Kitabu kitakatifu (haijawahi kutokea Tz)
TAREHE 16-10-2012
Shehe Farid A. Hadi kiongozi wa Uhamsho kutekwa na kupotea(Alipatikana)
TAREHE _12-2012
Padre Ambrose apigwa risasi Zanzibar
TAREHE _02-2013
Padre Evarist Mushi apigwa risasi Zanzibar.
TAREHE 18-02-2013
Matokeo kidato cha 4 mabovu,haijawahi kutokea duniani tangu kuumbwa kwa Adam na Hawa.
Waliopata div 4 na 0 ni takriban 95%
TAREHE 05-03-2013
Kibanda afanyiwa ya Ulimboka.
TAREHE _03-2013
Lwakatale (mkurugenzi wa usalama CHADEMA) atuhumiwa kwa Ugaidi.
TAREHE 17-04-2013
wabunge 6 wa CHADEMA watolewa nje ya bunge,Ndugai/naibu spika awapa adhabu ya kutoingia bungeni siku 5 kinyume na kanuni za bunge.
Siku hiyohiyo mh.Lema amtaja Rais kuwa ndie mwanzilishi wa udini.
TAREHE 25-04-2013
Lema avamiwa usiku wa manane na polisi kwa amri ya Mulongo/mkuu wa mkoa wa Arusha
UPDATE,
TAREHE 05-05-2013
Mlipuko watokea kanisani Arusha...
Mheshimiwa rais akiwa angani na ndege kuelekea Kuwait kuta..
TAREHE 08-05-2013
Lwakatale/mkulugenzi wa usalama wa CHADEMA afutiwa mashtaka ya ugaidi.
MWAKA 2013
.Deni la taifa lafikia tril.22 wakati Kikwete alikuta deni ni tril.5
.Dola moja=1,600 tshs wakat alikuta dola moja=600tshs.
TAREHE 14-05-2013
tetesi za
Kikwete kuandaliwa mpango wa kuwa rais wa Tz hadi mwaka 2017 badala ya mwaka 2015,ili asimamie kukamilika kwa uundwaji wa katiba mpya.
Source,Mh.Pro.Lipumba.
UPDATES:
TAREHE 18-05-2013
Tetesi: Kanisa la TAG ladaiwa kuchomwa moto leo hii....
TAREHE 19-05-2013
Iringa, Police wawashambulia Wamachinga kwa Mabomu ya machozi kuwaondoa eneo wanalofanyia kazi.
Mh.Mch.Msigwa Mbunge wa Iringa Mjini akamatwa na Police.
Tare.20-05-2013 Mhe.Msigwa atolewa Lupango kwa dhamana.
TAREHE 22-05-2013
Ukaidi wa Kikwete na waziri wake wa nishati na madini wasababisha vurugu Mtwara watu wakipinga ujenz wa bomba la gesi kwenda Dar.
Zaidi ya watu 6 wakiwemo Police wauawa.
(kama kunanilichokisahau ama kukosea nikumbusheni at)
mfano,Tarehe aliyosema hajui kwanini Tz ni maskin,msongamano wa magali dar ni ishara ya maisha bora,n.k
pia anaekumbuka idadi ya safar za mheshimiwa.