Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

Naona akili yako imerudi sasa na kuanza kujitambua, hongera zako nyingi. Usiruhusu tena ulemavu wa akili ukutokee na kurudia kutojitambua tena.

Fafanua juu ya huo "ulemavu wa akili" unaoudai!!
 
BAK nimesoma mara mbili mbili sijaamini kama ni huyu jamaa naona kama kuna mtu ameiba password yake aise

Haaaa haaaa....! Tatizo lenu mmekuwa wafuasi wa watu. Mimi huwa natetea hoja, sio watu! Msipolielewa hili mtapata shida sana na mimi!
 
Naona akili yako imerudi sasa na kuanza kujitambua, hongera zako nyingi. Usiruhusu tena ulemavu wa akili ukutokee na kurudia kutojitambua tena.

Nilikuwa najiuliza labda kuna aliye hack JF account ya Buchanan...hata hivyo sijapata jibu kwani huyu ni mtetezi mkubwa wa yule mpangaji wa magogoni.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Ndugu yangu Buchanan, nchi yoyote inayoendelea kwa kasi lazima ikumbwe na misuko suko. Kwa haya yanayoendelea Tanzania ni athari mojawapo ya maendeleo chanya ya nchi yetu

Acha upumbavu nchi gani inayoendelea kwa kasi?hii nchi inayotegemea mikopo na misaada kwa 70%,yaana hata kosovo toka wajitenge wanapigana vita weee lakini uchumi wao uko juu kuliko sisi tunaoambiwa eti tz ni kisiwa cha amani.
 
Nilikuwa najiuliza labda kuna aliye hack JF account ya Buchanan...hata hivyo sijapata jibu kwani huyu ni mtetezi mkubwa wa yule mpangaji wa magogoni.

Mimi ni mtetezi mkubwa sana wa HOJA ninayoiamini, sio mtetezi wa watu!!
 
Kwi kwi kwi kwi lol!!! Eti msimamiaji hoja! Sijui ni hoja zipi unazosimamia, na kama ungekuwa unasimamia hoja kwanini watu wakuzodoe na wengine kufikia kuuliza uliupataje uMOD? Jichunguze Mkuu achana na kuandika pumba za kutetea uozo wa Serikali hii dhalimu ambao mfano mmoja wa pumba zako nimekuwekea.

Mimi ni mtetezi mkubwa sana wa HOJA ninayoiamini, sio mtetezi wa watu!!
 
Wakati wa utawala wa raisi kikwete ameonyesha utawala wa demokrasia na uhuru wa habari ndo(kwenye utawala huu vigogo mbali mbali wamepandisha mahakamani na wengine kufungwa) jambo ambalo si la kawaida kwa viongozi waliomtangulia. Na matatizo yote yaliyojitokeza amejitahidi kadri ya uwezo wake kuyafumbua jinsi yanavyostahiki. Usijisahaulishe.aneyestahiki sifa mpeni sifa.
 
JK tatizo ziara ameshakua kama kama mtarii anatumia mda mwingi ulaya hapendi kutulia kwake ukiwa na baba wa hivyo ni shiida manayake watoto hawapati mapenzi ya baba nani atawakanya nilazima wavuruge mshaulini atulie kwake alee familiayake TANZANIA
 
Kwi kwi kwi kwi lol!!! Eti msimamiaji hoja! Sijui ni hoja zipi unazosimamia, na kama ungekuwa unasimamia hoja kwanini watu wakuzodoe na wengine kufikia kuuliza uliupataje uMOD? Jichunguze Mkuu achana na kuandika pumba za kutetea uozo wa Serikali hii dhalimu ambao mfano mmoja wa pumba zako nimekuwekea.

Tatizo kuu la wana-UKAWA wanataka kila mtu afikirie kama wao! Wamejaa kejeli, matusi na dharau kwa mtu yeyote anayefikiri tofauti na wao! Hata Post yako inathibitisha haya ninayosema!!
 
Tatizo lako wewe hujitambui, ukiambiwa ukweli unaona unadharauliwa kitu ambacho hakina ukweli wowote. Na kwa taarifa yako hakuna anayekudharau ila watu wana haki ya kukwambia ukweli pale unapotetea mambo ambayo hayastahili kutetewa, badilika na kuanza kutafakari mambo kwa kina badala ya kukurupuka.

CC: Wapwa zangu Chakaza, MANI, Elli, zumbemkuu, Eli79


Tatizo kuu la wana-UKAWA wanataka kila mtu afikirie kama wao! Wamejaa kejeli, matusi na dharau kwa mtu yeyote anayefikiri tofauti na wao! Hata Post yako inathibitisha haya ninayosema!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom