Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

Rais wangu nakuheshimu sana ila hili la Mahakama ya Khadhi tafadhali wahusika waachwe walisimamie wenyewe.
 
Usemalo ni kweli Mkuu ngoja tumuangalie maana pumba alizokuwa anaandika siku za nyuma na huu uzi wa leo tofauti yake ni kama usiku na mchana.

Mkuu hawaaminiki hawa ingawa ukweli wanauona.
 
Matukio ni kawaida kutokea na yatendelea kutokea tu. La msingi ni namna ambavyo mtu anayashughulikia matukio hayo....JK hatahukumiwa kwa kusababisha matukio bali kwa namna alivyoyakabili!
 
kawaida jk ishu ikisanuka huyooo majuu, hapa aliambiwa apumzike miezi minne lakine mswahili kakaidi lol!
 
Ndugu yangu Buchanan, nchi yoyote inayoendelea kwa kasi lazima ikumbwe na misuko suko. Kwa haya yanayoendelea Tanzania ni athari mojawapo ya maendeleo chanya ya nchi yetu

Maendeleo chanya gani hayo unayozungumzia? Yaani wewe hujui kwamba umasikini wa Watanzania wengi umeongezeka ndani ya utawala wa chama chenu? Mfano tu - licha ya kushindwa kupata milo miwili kwa siku hapo Dar es Salaam watu wengi wanaishi kula chakula duni (poor diet) na kichafu cha akina ntilie. Makazi nako je? Na vijijini ndo usiseme. Labda useme majambazi ya chama chako sasa yamevimbiwa kwa mihela na rasilimali inayopiga kuliko ilivyokuwa zamani. Ndio marndeleo yenu hayo!
 
LoL! Karibu nimuulize Mkuu Mr Rocky, wamekuibia password yako leo?


Nimesoma mara mbili mbili aise sijaamini kama ni jamaa nikahisinaona mtu mwingine tofauti kabisa maana thread zake hazina hata hamu ya kuzisoma
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wakuu,

1. JK amekabidhiwa nchi ikiwa na amani kabisa, lakini Mheshimiwa huyu amekuwa ni mtu anayejificha kwenye matukio mbali mbali UDHAIFU wake usijulikane!

2. Alianza na Richmond ambayo ilitusumbua sana, hatimaye alivunja Baraza zima la Mawaziri, mambo yakatulia kidogo!

3. Hatujakaa vizuri tukasikia "Zanzibar sio nchi!" Hili nalo lilitusumbua sana hadi kupelekea Mabadiliko ya 10 ya Katiba ya Zanzibar, 1984 ili kuitambua Zanzibar kama "nchi!" Baadaye mambo yakatulia!

4. Tulishuhudia mgomo wa Madaktari na kuteswa kwa ULIMBOKA, lilisumbua sana akili za watu. Matukio mengine yaliyofanana na hayo: Kuuawa kwa wafuasi wa CHADEMA, waandishi wa Habari, Gesi ya Mtwara, nk. Yote hayo yalitufanya tu-concentrate na matukio menyewe zaidi kuliko ku-concentrate na mambo ya maendeleo!

5. Hili la ESCROW sihitaji hata kulielezea maana bado linaendelea kusumbuma akili za watu.

6. Hili la Katiba Mpya nalo limeleta kizaa zaa, ni kama vile limeletwa makusudi ili tugangamane nalo ili Mzee amalize ungwe yake ya Awamu ya Nne!

7. Hili la Mahakama ya Kadhi ndio funga kazi. JK anajua kabisa litatugawanya na litagawanya nchi vipande vipande! Kwa kuwa yeye ni mzee wa matukio yanayo-draw attention kwenye tukio lenyewe badala ya yeye mwenyewe basi tutakomaa nalo wakati yeye anaendelea kumalizia safari zake kwenye nchi ambazo alikuwa bado hajazitembelea! Hana shida na mshikamano na mustakabali wa nchi hii!

8. Bill Clinton alipoona issue yake na Monica Lewinsky imepamba moto, alihamisha attention kwa kuishambulia Iraq. JK naye akishaona kwamba kuna tukio ambalo linamlenga yeye na Serikali yake moja kwa moja analeta tukio jingine. Hili la Katiba lilifunikwa na ESCROW, hili tukio la ESCROW halijaisha tumeshaletewa mambo ya Mahakama za Kadhi.

Tunakorogwa sana kwa kweli! Nikimtafakari JK nashindwa kummaliza! Hapa sijagusia Mgogoro wa Malawi na Rwanda na baadaye na Kenya, Rwanda na Uganda kwa umoja wao! Yaani ni tatizo juu ya tatizo!

Karibuni kwa mjadala zaidi!!

wakati haya yote yanatokea hapa nchini,yeye yupo bize anakata mitaa,anawaachia wananchi wasemeeee wakichoka baas nae anarejea
 
Maendeleo chanya gani hayo unayozungumzia? Yaani wewe hujui kwamba umasikini wa Watanzania wengi umeongezeka ndani ya utawala wa chama chenu? Mfano tu - licha ya kushindwa kupata milo miwili kwa siku hapo Dar es Salaam watu wengi wanaishi kula chakula duni (poor diet) na kichafu cha akina ntilie. Makazi nako je? Na vijijini ndo usiseme. Labda useme majambazi ya chama chako sasa yamevimbiwa kwa mihela na rasilimali inayopiga kuliko ilivyokuwa zamani. Ndio marndeleo yenu hayo!

mkuu usibishane na huyu chabruma,huyo ni mzimu ya jeykei na membe na wama
 
Wakuu,

1. JK amekabidhiwa nchi ikiwa na amani kabisa, lakini Mheshimiwa huyu amekuwa ni mtu anayejificha kwenye matukio mbali mbali UDHAIFU wake usijulikane!

2. Alianza na Richmond ambayo ilitusumbua sana, hatimaye alivunja Baraza zima la Mawaziri, mambo yakatulia kidogo!

3. Hatujakaa vizuri tukasikia "Zanzibar sio nchi!" Hili nalo lilitusumbua sana hadi kupelekea Mabadiliko ya 10 ya Katiba ya Zanzibar, 1984 ili kuitambua Zanzibar kama "nchi!" Baadaye mambo yakatulia!

4. Tulishuhudia mgomo wa Madaktari na kuteswa kwa ULIMBOKA, lilisumbua sana akili za watu. Matukio mengine yaliyofanana na hayo: Kuuawa kwa wafuasi wa CHADEMA, waandishi wa Habari, Gesi ya Mtwara, nk. Yote hayo yalitufanya tu-concentrate na matukio menyewe zaidi kuliko ku-concentrate na mambo ya maendeleo!

5. Hili la ESCROW sihitaji hata kulielezea maana bado linaendelea kusumbuma akili za watu.

6. Hili la Katiba Mpya nalo limeleta kizaa zaa, ni kama vile limeletwa makusudi ili tugangamane nalo ili Mzee amalize ungwe yake ya Awamu ya Nne!

7. Hili la Mahakama ya Kadhi ndio funga kazi. JK anajua kabisa litatugawanya na litagawanya nchi vipande vipande! Kwa kuwa yeye ni mzee wa matukio yanayo-draw attention kwenye tukio lenyewe badala ya yeye mwenyewe basi tutakomaa nalo wakati yeye anaendelea kumalizia safari zake kwenye nchi ambazo alikuwa bado hajazitembelea! Hana shida na mshikamano na mustakabali wa nchi hii!

8. Bill Clinton alipoona issue yake na Monica Lewinsky imepamba moto, alihamisha attention kwa kuishambulia Iraq. JK naye akishaona kwamba kuna tukio ambalo linamlenga yeye na Serikali yake moja kwa moja analeta tukio jingine. Hili la Katiba lilifunikwa na ESCROW, hili tukio la ESCROW halijaisha tumeshaletewa mambo ya Mahakama za Kadhi.

Tunakorogwa sana kwa kweli! Nikimtafakari JK nashindwa kummaliza! Hapa sijagusia Mgogoro wa Malawi na Rwanda na baadaye na Kenya, Rwanda na Uganda kwa umoja wao! Yaani ni tatizo juu ya tatizo!

Karibuni kwa mjadala zaidi!!

mkuu umesahau swala la vitambulisho vya taifa ambalo alilianzisha sasa liemshinda, linaelea tu hewani halina kichwa wala miguu
 
mkuu umesahau swala la vitambulisho vya taifa ambalo alilianzisha sasa liemshinda, linaelea tu hewani halina kichwa wala miguu


Mengi tu yamemshinda. Kuna vitambulisho vya taifa, kuna vitambulisho vya kupigia kura, JKT ndio imesmamishwa vyote hivyo kwa ukosefu wa hela. Tatizo chini ya uongozi wa JK hakuna priorities. Wanarukia kila kitu mwisho wanajikuta hawana hela. Mbaya ziadi nidhamu ya matumizi ya fedha za serikali ni sifuri kabisa. Ndio maana wizi/ufisadi mwingi sana.

Wangekuwa na mipango mizuri, vitambulisho au aundikishaji wapira kura na vitambulisho vya taifa vingefanywa kwa pamoja kuna baadhi ya vifaa vingetumika sehemu zote mbili na kupunguza gharama. Lakini 10% imewazonga wamepofuka!
 
Naona akili yako imerudi sasa na kuanza kujitambua, hongera zako nyingi. Usiruhusu tena ulemavu wa akili ukutokee na kurudia kutojitambua tena.
BAK mie nimeshangaa pia kwa andiko lake hili.. Na kwa hili la muswaada wa kadhi ni suala ambalo litatugawa sana.. Maana kwa mara ya kwanza kutakuwa na uungaji mkono na upingaji wa muswaada huu kwa misingi ya kidini..

Nilijua kitambo kwa ccm wanatupeleka pabaya lakini sikuwahi kufikiria katu watafikia hatua hii ya kuwagawanya watanzania kwa misingi ya dini.. Kwa mara ya kwanza tutaona bunge likigawanyika katika misingi ya kidini..

Kwa hili JK atabeba lawama..
 
Last edited by a moderator:
Mengi tu yamemshinda. Kuna vitambulisho vya taifa, kuna vitambulisho vya kupigia kura, JKT ndio imesmamishwa vyote hivyo kwa ukosefu wa hela. Tatizo chini ya uongozi wa JK hakuna priorities. Wanarukia kila kitu mwisho wanajikuta hawana hela. Mbaya ziadi nidhamu ya matumizi ya fedha za serikali ni sifuri kabisa. Ndio maana wizi/ufisadi mwingi sana.

Wangekuwa na mipango mizuri, vitambulisho au aundikishaji wapira kura na vitambulisho vya taifa vingefanywa kwa pamoja kuna baadhi ya vifaa vingetumika sehemu zote mbili na kupunguza gharama. Lakini 10% imewazonga wamepofuka!

ni kweli kabisa, kila kitu kimefanywa robo kikaachwa kinaelea hewani kwa sababu kauna mpango kazi mzuri wala kipaumbele, hii ni hatari sana, inaonyesha hata watendaji wake pamoja na washauri wake hawajitambui, btw kiongozi yeyote huwa anaazia kwenye familia yake ukiona mtu ameshindwa kuisimai familia basi ujue hata majukuu ya nje ya familia hayawezi
 
Wakuu,

1. JK amekabidhiwa nchi ikiwa na amani kabisa, lakini Mheshimiwa huyu amekuwa ni mtu anayejificha kwenye matukio mbali mbali UDHAIFU wake usijulikane!

2. Alianza na Richmond ambayo ilitusumbua sana, hatimaye alivunja Baraza zima la Mawaziri, mambo yakatulia kidogo!

3. Hatujakaa vizuri tukasikia "Zanzibar sio nchi!" Hili nalo lilitusumbua sana hadi kupelekea Mabadiliko ya 10 ya Katiba ya Zanzibar, 1984 ili kuitambua Zanzibar kama "nchi!" Baadaye mambo yakatulia!

4. Tulishuhudia mgomo wa Madaktari na kuteswa kwa ULIMBOKA, lilisumbua sana akili za watu. Matukio mengine yaliyofanana na hayo: Kuuawa kwa wafuasi wa CHADEMA, waandishi wa Habari, Gesi ya Mtwara, nk. Yote hayo yalitufanya tu-concentrate na matukio menyewe zaidi kuliko ku-concentrate na mambo ya maendeleo!

5. Hili la ESCROW sihitaji hata kulielezea maana bado linaendelea kusumbuma akili za watu.

6. Hili la Katiba Mpya nalo limeleta kizaa zaa, ni kama vile limeletwa makusudi ili tugangamane nalo ili Mzee amalize ungwe yake ya Awamu ya Nne!

7. Hili la Mahakama ya Kadhi ndio funga kazi. JK anajua kabisa litatugawanya na litagawanya nchi vipande vipande! Kwa kuwa yeye ni mzee wa matukio yanayo-draw attention kwenye tukio lenyewe badala ya yeye mwenyewe basi tutakomaa nalo wakati yeye anaendelea kumalizia safari zake kwenye nchi ambazo alikuwa bado hajazitembelea! Hana shida na mshikamano na mustakabali wa nchi hii!

8. Bill Clinton alipoona issue yake na Monica Lewinsky imepamba moto, alihamisha attention kwa kuishambulia Iraq. JK naye akishaona kwamba kuna tukio ambalo linamlenga yeye na Serikali yake moja kwa moja analeta tukio jingine. Hili la Katiba lilifunikwa na ESCROW, hili tukio la ESCROW halijaisha tumeshaletewa mambo ya Mahakama za Kadhi.

Tunakorogwa sana kwa kweli! Nikimtafakari JK nashindwa kummaliza! Hapa sijagusia Mgogoro wa Malawi na Rwanda na baadaye na Kenya, Rwanda na Uganda kwa umoja wao! Yaani ni tatizo juu ya tatizo!

Karibuni kwa mjadala zaidi!!


Hili la mahakama ya kadhi inaweza kuwa njia kujisahaulisha na ESCROW na scandal nyingine zinazokuja kama ya sukari nk. Watu tayari wapo busy na suala la mahakama ya kadhi. Kwenye Bunge Maalum la katiba ccm walikuwa wengi mbona walipiga chenga? Moto utawaka sana na mwishowe wataliondoa na kujikosha wakiahidi kama kawaida yao kuwa watalifanyia kazi baada ya uchaguzi.
 
tatzo kule lumumba wametibuana ndo maana amejirudi

Mtende naona aise maana huku kuandika kitu kama hiki kwa jamaa kama yeye ni balaa. Waache watibuane wataandika mengi tuu na tatizo wanaandika wasichokiamini ndo maana wanaandika mambo ya ajabu
 
Last edited by a moderator:
Hawa Mainterahamwe Mkuu sosoliso wamenuia kung'ang'ania madarakani kwa gharama yoyote ile ikiwemo kutumia mabavu kwa kutumia mtutu wa bunduki au kwa kupandikiza mbegu za chuki kwa kutumia udini, lakini naamini kabisa viongozi wa juu wa UKAWA wameliona hili na wanalielewa fika hivyo watatumia hekima na busara zao kuhakikisha mshikamano uliokuwepo miongoni mwao hautetereki kwa namna yoyote na huu upumbavu wanaoutaka kuufanya Mainterahamwe.

BAK mie nimeshangaa pia kwa andiko lake hili.. Na kwa hili la muswaada wa kadhi ni suala ambalo litatugawa sana.. Maana kwa mara ya kwanza kutakuwa na uungaji mkono na upingaji wa muswaada huu kwa misingi ya kidini..

Nilijua kitambo kwa ccm wanatupeleka pabaya lakini sikuwahi kufikiria katu watafikia hatua hii ya kuwagawanya watanzania kwa misingi ya dini.. Kwa mara ya kwanza tutaona bunge likigawanyika katika misingi ya kidini..

Kwa hili JK atabeba lawama..
 
Last edited by a moderator:
ni kweli kabisa, kila kitu kimefanywa robo kikaachwa kinaelea hewani kwa sababu kauna mpango kazi mzuri wala kipaumbele, hii ni hatari sana, inaonyesha hata watendaji wake pamoja na washauri wake hawajitambui, btw kiongozi yeyote huwa anaazia kwenye familia yake ukiona mtu ameshindwa kuisimai familia basi ujue hata majukuu ya nje ya familia hayawezi


Umegusa la familia. Kwa wenzetu kama USA ni suala nyeti sana. Si rahisi asiye na ndoa kupata urais wa nchi. Au mwenye ndoa isiyoleta heshima katika jamii. Hapa kwetu tunazoazoa tu. Kule mtu aliyezaa kila pembe ovyo ovyo asahau urais.
 
Mengi tu yamemshinda. Kuna vitambulisho vya taifa, kuna vitambulisho vya kupigia kura, JKT ndio imesmamishwa vyote hivyo kwa ukosefu wa hela. Tatizo chini ya uongozi wa JK hakuna priorities. Wanarukia kila kitu mwisho wanajikuta hawana hela. Mbaya ziadi nidhamu ya matumizi ya fedha za serikali ni sifuri kabisa. Ndio maana wizi/ufisadi mwingi sana.

Wangekuwa na mipango mizuri, vitambulisho au aundikishaji wapira kura na vitambulisho vya taifa vingefanywa kwa pamoja kuna baadhi ya vifaa vingetumika sehemu zote mbili na kupunguza gharama. Lakini 10% imewazonga wamepofuka!
..hata zoezi la kuandikisha wapiga kura kwa mashine mpya limeshamshinda kabla halijaanza....

....kwa kifupi JK hakuna anachokisamamia....na watanzania watazidi kumjua punde atakapoondoka madarakani...pale watanzania watakapobaini mzigo mkubwa walioachiwa na huyu mtu mvivu na mtembezi anaetutia hasara kila kukicha.....


...Huko bungeni kila kukicha kunajadiliwa matumizi mabaya ya fedha za umma chini ya utawala wake.....Madeni kila kona ya nchi hadi kwenye mifuko ya jamii....

...Yani anataka hata akiondoka aache maslahi na maslahi ya watumishi wa umma wastaafu yakiwa hoi kabisa.....

....wenzake marais huko EAC (kina Kenyata na Kagame) wameshamjua siku nyingi kuwa hana anachokisimamia na wakaamua kumtenga kwenye ile troika yao....maana hata suala la vitambulisho vya taifa wenzetu sku nyingi wamelimaliza...wao wanatumia vitambulisho hivi kusafiri kwenye nchi zao....sisi TZ JK alichoweza kufanya ni kupata cha kwake tu kwanza.....rais mbinafsi huyu..mvivu na mzururaji na ombaomba wa dunia anaeitia aibu sana TZ.....Ninaomba muda wake uishe nchi hii impate rais baada ya kukosa rais kwa takribani miaka 10 sasa.....Inauma sana....


..watanzania wameanza kuona kosa kubwa sana la kuwa na JK kama rais wa taifa hili kwa miaka takribani 10....na utawasoma watanzania hawa wengine waliokuwa wanamsifia wanabadilika baada ya kuona mtu waliyekuwa wanamtetea kipuuzi sivyo ndivyo....watu hawa ni kama mleta mada....
 


8. Bill Clinton alipoona issue yake na Monica Lewinsky imepamba moto, alihamisha attention kwa kuishambulia Iraq. JK naye akishaona kwamba kuna tukio ambalo linamlenga yeye na Serikali yake moja kwa moja analeta tukio jingine. Hili la Katiba lilifunikwa na ESCROW, hili tukio la ESCROW halijaisha tumeshaletewa mambo ya Mahakama za Kadhi.


Clinton ndiyo "alishambulia Iraq" wakati wa skendo ya Monica Lewinsky?
 
Back
Top Bottom