Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

Matukio ya kusikitisha katika Uongozi wa Kikwete {2010 - 2015}

Very very important thread, inabidi iwe ya njano zilee zinaitwa Sticky kama sikosei. Ili kuweka kumbukumbu sawa na sahii. Hongera TETEMA sina uwezo wa lugonga "thanks" cm haiwezi.
 
Very very important thread, inabidi iwe ya njano zilee zinaitwa Sticky kama sikosei. Ili kuweka kumbukumbu sawa na sahii. Hongera TETEMA sina uwezo wa lugonga "thanks" cm haiwezi.

Miamia Mkuu, Modes watalifanyia kazi.
 
Tarehe 05-01-2011
Police wawapiga risasi watu zaidi ya 11 ktk maandamano ya CHADEMA. Waua watu 3.

Tarehe _10-2011
Dk.Mwakyembe aenda India kutibiwa kutokana na Kupewa Sumu.PoliCCM walipotezea kisiasa.

Tarehe _02-2012
Shehe Ali khamis Kuuawa kwa mapanga.

Tarehe 26-06-2012
Dr.Ulimboka akatekwa na kufanyiwa unyama.

Tarehe 18-07-2012
Mv spice yazama.

Tarehe 02-09-2012
Daudi Mwangosi auliwa na polisi Iringa.

Tarehe 28-09-2012
LHRC Waishtaki serikali ya K.. ICC

Tarehe 12-10-2012
Mtoto kudhihaki Kitabu kitakatifu (haijawahi kutokea Tz)

Tarehe 16-10-2012
Shehe Farid A. Hadi kiongozi wa Uhamsho kutekwa na kupotea(Alipatikana)

Tarehe _12-2012
Padre Ambrose apigwa risasi Zanzibar

Tarehe _02-2013
Padre Evarist Mushi apigwa risasi Zanzibar.

Tarehe 18-02-2013
Matokeo kidato cha 4 mabovu,haijawahi kutokea duniani tangu kuumbwa kwa Adam na Hawa.
Waliopata div 4 na 0 ni takriban 95%

Tarehe 05-03-2013
Kibanda afanyiwa ya Ulimboka.

Tarehe _03-2013
Lwakatale (mkurugenzi wa usalama CHADEMA) atuhumiwa kwa Ugaidi.

Tarehe 17-04-2013
wabunge 6 wa CHADEMA watolewa nje ya bunge,Ndugai/naibu spika awapa adhabu ya kutoingia bungeni siku 5 kinyume na kanuni za bunge.

Siku hiyohiyo mh.Lema amtaja Rais kuwa ndie mwanzilishi wa udini.

Tarehe 25-04-2013
Lema avamiwa usiku wa manane na polisi kwa amri ya Mulongo/mkuu wa mkoa wa Arusha

UPDATE,

Tarehe 05-05-2013
Mlipuko watokea kanisani Arusha...
Mheshimiwa rais akiwa angani na ndege kuelekea Kuwait kuta..


Tarehe 08-05-2013
Lwakatale/mkulugenzi wa usalama wa CHADEMA afutiwa mashtaka ya ugaidi.

MWAKA 2013
.Deni la taifa lafikia tril.22 wakati Kikwete alikuta deni ni tril.5

.Dola moja=1,600 tshs wakat alikuta dola moja=600tshs.

Tarehe 14-05-2013
tetesi za
Kikwete kuandaliwa mpango wa kuwa rais wa Tz hadi mwaka 2017 badala ya mwaka 2015,ili asimamie kukamilika kwa uundwaji wa katiba mpya.
Source,Mh.Pro.Lipumba.

UPDATES:

Tarehe 18-05-2013
Tetesi: Kanisa la TAG ladaiwa kuchomwa moto leo hii....

(kama kunanilichokisahau ama kukosea nikumbusheni at)

mfano,Tarehe aliyosema hajui kwanini Tz ni maskin,msongamano wa magali dar ni ishara ya maisha bora,n.k
pia anaekumbuka idadi ya safar za mheshimiwa.

ungekuwa wewe joseph ungemkana .....
 
Hakika Mkuu. Dawa ya changamoto si kuzikimbia bali kupambana nazo. Mimi nadhani JK amejitahidi japo kuna changamoto nyingi. Nakumbuka wakati wa Mahita jeshi lilikuwa limeshindwa kabisa kuwalinda raia, kulikuwa na ujambazi wa kutisha watu wanaingia mchana kweupe wakiwa na silaha na kuondoka na vitu. njugu zilikuwa nje nje na kukawa na tetesi kwamb kuna watu wa vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wanahusika. JK alipoingia alilibadili jeshi la polisi na ujambazi ukapungua sana. Sasa kuna changamoto zingine ambazo zinalihusu jeshi hivyo si kujiuzulu bali kuzishughulikia.

Kuhusu ufisadi nadhani pia kuna vitu amefanya. kuna watu wamepelekwa mahakamani wakafungwa. Hapa tatizo si Rais ila nadhani ni mfumo hasa wa kisheria. Mara nyingi vifungo vinakuwa vidogo. Mfano Liumba alihukimiwa lakini akamaliza miaka yake miwili pamoja na makosa yale aliyopelekewa mahakamani. Mweka Hazina wa CCM huko Kigoma yupo gerezani kwa ufisadi. kuna changamoto hapo kwamba wengine hawakuguswa lakini labda pia ni uamuzi.wa Rais kwamba warudishe pesa wasipelekwe korkoroni.
Ahadi nadhani anapigana nazo. Barabara zinalimwa.na kujengwa, meli sijui labda nazo zipo njiani. tusubiri bado muda

uchambuzi mzuri, sio vyema tuwe watu wa kupinga kila kitu hata mazuri kama ambavyo wengine wanavyotoa amri kwa wafuasi wao kufanya hivyo. nadhani kila mtu ana macho na akili ya kuona.
 
Ukiona mtu anakuwa na mawazo ya kupinga kila kitu atakuwa na shida kwenye tafiti zake huwezi kuwa mtu mwema kwa kupinga kila kitu sijawahi kuona.

wewe ni miongoni mwa wahusika wa matukio haya.
 
JK mnamuandama lakini ni zaidi ya NYERERE wenu....haya yanayotokea ni sababu ya shina bovu alopanda nyerere ...na yeyey mambo yalimshinda , alikoswa kupinduliwa mara 3
alifunga watu hovyo
watu walipotea hovyo
hakukuwa na wa kumsema kama unavosema wewe leo
wote walikua ni zidumu fikra za Nyerere
na zimwi lake limewafanye wengi kama wewe kuto fikiri zaidi ya nyerere....

Kumbuka kunamaisha zaidi ya 7000 ya anayekufanya uukane uzarendo na Utu wako.
Hawi kwenye nafasi aliyonayo sasa.
Na taifa litabaki na maumivu kwa sababu ya wapuuzi wachache kama nyie.
 
Modes naomba muunganishe hotba ya mheshmiwa.Sugu kwenye uzi huu, hasa ukurasa wake wa kwanza hadi wa 14.
Kuna maajabu mengine yaliyofanywa na Serikali hii.
Mfano mauaji ya muandishi wa habari Richard Massau.
 
Wadau hivi karibuni nitawaletea uzi unaoonesha mpaango wa Kikwete na ccm wanavyopanga kuiuza Tanzania kabisa.
Ushaidi kutoka mkutano mkuu wa Nec mwaka janna.
Stay tuned.
 
Haya ni malipo ya mhe. Kwa Nyerere.
Hii ni baada ya kukataliwa mwaka 1995 kugombea urais
 
Mh JK tumwache amalizie drama zake no wayout, tuwe makini sana na katiba wadau, anayoyaacha yatatumia mwanya huhukutulostisha zaidi, katiba katiba jamani na utekelezwaji wake pia, hatuna utawala wa sheria, nchi inaongozwa kishkaji sana na kikundi cha watu tuu, ndo maana yote haya yanatokea JK ni mwendelezo wa mwinyi kwa mengi na ya Mkapa kwa nguvu kabisa, Ya loliondo ni ya mwinyi na wizi umeendelea mpaka waliposhtukiwa kumbe mindege huwa inapaki KIA inachukua wanyama, Riz kuna tetesi za unga juu yake, mama Siti ye alisafirisha madini sina uhakika na unga Lyatonga anafull strory, Ben mishe ndani ya ikulu na jamaa nae hivyo hivyom naskia anamiliki hoteli mbugani na mengine mengi ambayo ni tetesi. Kama tutakuwa na Katiba nzuri, kelele za wananchi zitatosha kufili mafisadi wa nchi, tusisahau kufuatilia daftari la wapiga kura kuhakikisha majina na namba ni sahihi tayari kwa vita, imba wimbo wa taifa kidogo, utajua jinsi tulivyo mabwege
 
Wadau hivi karibuni nitawaletea uzi unaoonesha mpaango wa Kikwete na ccm wanavyopanga kuiuza Tanzania kabisa.
Ushaidi kutoka mkutano mkuu wa Nec mwaka janna.
Stay tuned.
ujinga huu
 
JK mnamuandama lakini ni zaidi ya NYERERE wenu....haya yanayotokea ni sababu ya shina bovu alopanda nyerere ...na yeyey mambo yalimshinda , alikoswa kupinduliwa mara 3
alifunga watu hovyo
watu walipotea hovyo
hakukuwa na wa kumsema kama unavosema wewe leo
wote walikua ni zidumu fikra za Nyerere
na zimwi lake limewafanye wengi kama wewe kuto fikiri zaidi ya nyerere....
nyerere aliwahi kusema uongozi wake ulikuwa mchanga akaufanansha na mtu asiyejua kuogelea ukimtupa kwenye baharini mara ya kwanza, pia akasema alitegemea yale mazuri aliyoyafanya wangeyaiga na kuacha yale mabaya aliyoyafanya, lakini anashangaa yale mazuri wanayaacha wanafanya yale mabaya. alitaka taifa liwe lenye umoja na mshikamano, elimu kwa wote, lenye kutengeneza magari yake, na viwanda but heirs waliviua vyote.
i think, so its not about nyerere its about his predecessors
 
mkuu TETEMA umesahau kikwete apakiwa kwwnye toroli la farasi
na tarehe aliyombembea Jamaica
 
Last edited by a moderator:
mwigulu kuwa naibu katibu mkuu, na jangili la tembo kinana kuwa ka ibu mkuug
 
Back
Top Bottom