Matukio ya moja kwa moja kutoka Uwanja wa Mkapa katika kilele cha 'Wiki ya Mwananchi'

Matukio ya moja kwa moja kutoka Uwanja wa Mkapa katika kilele cha 'Wiki ya Mwananchi'

Sijui tu, nadhani kuna muda kocha anaweza kuwa na mahaba na mchezaji kuliko uwezo wake, hilo nakuona hata kweye team za ulaya Mfano pale Man U , Martial huwa anacheza utumbo ila kila game lazima umuone licha ya kwa na wachezaji wazuri nje.

Kwenye hii mechi ya leo kocha amuache Mauya kwakua hakuwa na option nyingine ya kiungo mshambuliaji ndo maana hakumto.Kumbuka kuwa Mkoko ni kiungo mkabaji hivyo hakuhusiani kabisa na Mauya kiuchezaji.
Mkuu mimi naona tumepishana kidogo
Sip kwamba mukoko na zawadi wanachezaga chini then feisal juu na farid ndio viungo washambuliaji?
Hivyo mukoko akitoka na feisal akatoka, bangala akaziba nafasi ya mukoko then automatic zawadi ataziba juu kwa feisal mimi nimeona hivyo ni muono tu
 
Mwamnyeto now hana namba pale, atakuwa anaanza Bangala na Job
Mwamnyeto tatizo sometimes hajiamini na maamuzi yake anaona kama atachoma tofauti na mwenzie job, dogo huyu haogopi risk anapenyeza pasi ndefu ya chini mbele za maadui na inamkuta mtu, ila bakari anaogopa sema amejitahidi tu hajacheza vibaya,
Huyu bangala anajua kwa dakika chache alizochza, tukumbuke huyu ndio ataziba nafasi ya mukoko hapo kwenye ngao ya jamii.
 
Subi

Subiri tuione pia ya kwetu maana hii Simba Sc ya sasa si ile ya msimu uliopita, na hata ukiangalia mechi za kirafiki tulizocheza hatukupata matokeo mazuri licha ya kucheza na team ambazo hazitokuwepo kwenye mashindano kama yetu (CCL).


Mimi nilitaka kuipongeza tu Yanga kwa kuleta team yenye ushindani, na ingependeza sisi pia tutafute team inayojiandaa na CCL.
Timu ya kishingo itacheza federation cup walimaliza nyuma ya wydad na raja na mwezi ujao team inaenda nchi nyingine probably misri
 
Timu ya kishingo itacheza federation cup walimaliza nyuma ya wydad na raja na mwezi ujao team inaenda nchi nyingine probably misri
Highlights tu zilionyesha kuwa team ya kishingo ilikuwa vizuri na hata ukiangakia aina ya magoli tuliyofungana bado inatuhukumu.

Ile mechi yetu ya pili ya kirafiki, hatukucheza na team iliyo ligi juu na bado matokeo hayakuwa mazuri, kikubwa tunahitaji muunganiko kwenye team, tunatakiwa tucheze mechi nyingi za kirafiki Ili team ipate muunganiko mzuri.
 
Wanakwambia ile ni mechi tu ya kirafiki atuwezi kuumia nafsi,swali linakuja,"kwanini mlishangilia Makambo alipofunga goli?
Kama mlipofunga mlishangilia ndo hivyohivyo mkifungwa mtaumia nafsi.
"uwezi kuukimbia ukweli abadan"
 
Wanakwambia ile ni mechi tu ya kirafiki atuwezi kuumia nafsi,swali linakuja,"kwanini mlishangilia Makambo alipofunga goli?
Kama mlipofunga mlishangilia ndo hivyohivyo mkifungwa mtaumia nafsi.
"uwezi kuukimbia ukweli abadan"
Imeisha hiyoo mkuu, leo tuanze kuwaza mambo mengine ya maendeleo
Kazi iendeleeeee
 
Sikumbuki Kama Kuna mkongomani yoyote aliyekuja Yanga akawa na shoo mbovu. Kuanzia wakina Tambwe Leya mbaka Tuisila na Mukoko. Kwa ujumla kazi za wakongoman pale Yanga zinajieleza zenyewe wanajituma Sana.
Kindoki [emoji23][emoji23]
 
Highlights tu zilionyesha kuwa team ya kishingo ilikuwa vizuri na hata ukiangakia aina ya magoli tuliyofungana bado inatuhukumu.

Ile mechi yetu ya pili ya kirafiki, hatukucheza na team iliyo ligi juu na bado matokeo hayakuwa mazuri, kikubwa tunahitaji muunganiko kwenye team, tunatakiwa tucheze mechi nyingi za kirafiki Ili team ipate muunganiko mzuri.
Simba iliyobaki moroko kipa mmoja ally salim,hadi morrison alicheza full back simba hawajaridhika ndiyo maana tar 12 wanaenda misri kambi tena
 
Back
Top Bottom