Matukio ya Ushoga duniani

Hujaelewa tu maana ya hypocrisy ya "Baniani mbaya, kiatu chake dawa" ?

Unawasema vibaya hao wazungu, misaada yao unaikataa pia?

Hii internet waliyoitengeneza wao mostly nayo unaikataa?
Wewe jamaa hivi umesoma hata nilicho andika au umedandia mada juujuu na kuja majibu yako kichwani

Hivi vimaswali vyako vya kipuuzi vina husiana vipi na ninacho zungumzia mimi hapa ?
 
Wewe jamaa mjinga sana hivi umesoma hata nilicho andika au umedandia mada juujuu na kuja majibu yako kichwani

Hivi vimaswali vyako vya kipuuzi vina husiana vipi na ninacho zungumzia mimi hapa ?
Hujawakataa hao unaowaita wazungu mpaka uikatae internet utengeneze yako ya mabua.

Internet imetengenezwa na hao unaowaita wazungu.

Igomee nayo basi tujue kweli wazungu huwafagili.
 
Wanaounga mkono haya mambo ni washenzi tu...hawana ustaarabu wowote ni sawa na mahayawani.

Kuna watu wanajifanya wazungu wanatukana waafrika na kujisahau kama ni weusi kama mkaa...shida ni kwamba wazungu wanalazimisha haya mambo yaenee dunia nzima kuharibu mila na tamaduni za jamii zilizo staarabika.....wabaki na upuuzi wao huko huko ili watu wasioongeleee haya mambo.
 
Hujawakataa hao unaowaita wazungu mpaka uikatae internet utengeneze yako ya mabua.

Internet imetengenezwa na hao unaowaita wazungu.

Igomee nayo basi tujue kweli wazungu huwafagili.
Kwa hiyo bora watu waukubali ushenzi kisa kusaidiwa?
Hata hao wazungu hawajajitosheleza kwa kila kitu,kuna vitu nao hawana wanategemea sehemu zingine.
 
Kwa hiyo bora watu waukubali ushenzi kisa kusaidiwa?
Hata hao wazungu hawajajitosheleza kwa kila kitu,kuna vitu nao hawana wanategemea sehemu zingine.
Watu wawe consistent.

Kama hao mnaowaita wazungu ni wabaya hivyo, kataeni mambo yao yote.

Sio mnawasema vibaya wazungu huku huo mtandao wenyewe mnaoutumia kuwasema vibaya mmepewa nao.

Tengeneza mtandao wako wa mabua wa Kiafrika halafu kawaseme wazungu huko.
 
Wabongo tu ndio mnalishikia bango lakini wenyewe hawana shida nalo kabisa. Haliathiri elimu , uchumi and ufanisi wao wa kazi.

Badala ya kujadili mambo ya wengine, huku kwetu africa hatujafikia hata nusi ya efficiency ya hao jamaa kiuchumi, elimu, kimaendeleo. Africa tuna matatizo kibao, badala ya kudandia ya watu, tu solve ya kwetu
 
Nani alikuambia aiathiri hivyo ulivyo vitaja au unafikiri wazazi wa huko hawalalamiki namna mfumo wao wa elimu ulivyooza watoto mpaka jinsia zao hawazifahamu
 
Kwa hiyo bora watu waukubali ushenzi kisa kusaidiwa?
Hata hao wazungu hawajajitosheleza kwa kila kitu,kuna vitu nao hawana wanategemea sehemu zingine.
Yani mkuu mnajishupaza kubishana na huyo!?
Toka lini taahira akaelewa!?
Achaneni naye msiutumie muda wenu vibaya.
 
Punguza ujuaji,unaonekana mjinga,
Tatizo lako wewe jamaa hua unajiaminisha kua una akili sana kuliko wana JF wote,

Ni taifa gani hapa Duniani limemaliza matatizo yake yote?
Hivi kuna taifa ambalo linaingilia mambo ya nchi zingine kama US?

Hujui kua madhara ya hizo ndoa za jinsia moja zikifumbiwa macho zitasambaa Dunia nzima? kwanini unapanic kwa mleta mada kupinga hilo la ndoa za jinsia moja na ku adopt mtoto?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…