Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Njoo unipe haki yangu baby
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo unipe haki yangu baby
Mbona hutaki kuja..?Sio mimi. Huo ndio ukweli mkuu.
Huko mbona hata mimi mwenyewe kwetu tu?
Wewe jamaa hivi umesoma hata nilicho andika au umedandia mada juujuu na kuja majibu yako kichwaniHujaelewa tu maana ya hypocrisy ya "Baniani mbaya, kiatu chake dawa" ?
Unawasema vibaya hao wazungu, misaada yao unaikataa pia?
Hii internet waliyoitengeneza wao mostly nayo unaikataa?
Nakuja dia niko hapa karibuHajambo baby, amekumiss njoo bas jamaniiii hebu leta hilo hogo my
Nakuja. Kwenye misiba na harusi.Mbona hutaki kuja..?
Hujawakataa hao unaowaita wazungu mpaka uikatae internet utengeneze yako ya mabua.Wewe jamaa mjinga sana hivi umesoma hata nilicho andika au umedandia mada juujuu na kuja majibu yako kichwani
Hivi vimaswali vyako vya kipuuzi vina husiana vipi na ninacho zungumzia mimi hapa ?
Kwa hiyo bora watu waukubali ushenzi kisa kusaidiwa?Hujawakataa hao unaowaita wazungu mpaka uikatae internet utengeneze yako ya mabua.
Internet imetengenezwa na hao unaowaita wazungu.
Igomee nayo basi tujue kweli wazungu huwafagili.
Wewe unashida kichwani kubwa tu.Hujawakataa hao unaowaita wazungu mpaka uikatae internet utengeneze yako ya mabua.
Internet imetengenezwa na hao unaowaita wazungu.
Igomee nayo basi tujue kweli wazungu huwafagili.
Watu wawe consistent.Kwa hiyo bora watu waukubali ushenzi kisa kusaidiwa?
Hata hao wazungu hawajajitosheleza kwa kila kitu,kuna vitu nao hawana wanategemea sehemu zingine.
Tengeneza internet yako ya mabua ya Waafrika kwanza halafu ndiyo uniseme hivyo.Wewe unashida kichwani kubwa tu.
Wabongo tu ndio mnalishikia bango lakini wenyewe hawana shida nalo kabisa. Haliathiri elimu , uchumi and ufanisi wao wa kazi.Ni kweli wazungu wamechanganyikiwa au haya ni madhara ya demokrasia iliyopitiliza?
Inawezekanaje taifa lina ndoa za watu wa jinsia moja ? Hili ni kosa kubwa la kwanza
Funga kazi ni watu wa jinsia moja kuruhusiwa kupata na kukuza mtoto hilo ndilo balaah zito kwa miaka mingi ijayoView attachment 3155732View attachment 3155733
Katika mazingira haya mtoto anakua katika hali gani?
Mbona huu ni unyanyasaji mkubwa wa watoto ulioruhusiwa kwa sheria haina tofauti na kipindi cha utumwa.
Angalia hii habari ya hawa wachezaji hapa View attachment 3155737
Mtoto hapa ataweza vipi kutofautisha na kujua yupi ni baba na yupi ni mama ?
Wababa wana jinsia gani na wamama wana jinsia?
Huu ni unyanyasaji mkubwa kisaikolojia kwa mtoto toka mdogo kwa kipindi chote cha makuzi.
Hawa watu wameamua kuishi ujinga wao kuwa wapenzi wa jinsia moja kwa raha zao sasa kwa nini mateso wampatie mtoto kwa ujinga wao?
Hawa wazungu wa sasa hivi ndio wamechanganyikiwa hivi?
Hujui usemalo. Huo upuuzi hujui utaenea hadi kwa watoto wako? Bwege sana weweSasa wewe unaumia nini umejificha huko machakani Tanganyika, watu wako uRaya wanakula raha!
Kwanini usihangaike na watoto wa shangazi zako huko kijijini wanakufa njaa we umejificha unakula mishikaki ya kudoea?
Changamka! Acha udraku!
Cc: Mbaga Jr cocastic Lamomy mshamba_hachekwi Poor Brain Extrovert
Nani alikuambia aiathiri hivyo ulivyo vitaja au unafikiri wazazi wa huko hawalalamiki namna mfumo wao wa elimu ulivyooza watoto mpaka jinsia zao hawazifahamuWabongo tu ndio mnalishikia bango lakini wenyewe hawana shida nalo kabisa. Haliathiri elimu , uchumi and ufanisi wao wa kazi.
Badala ya kujadili mambo ya wengine, huku kwetu africa hatujafikia hata nusi ya efficiency ya hao jamaa kiuchumi, elimu, kimaendeleo. Africa tuna matatizo kibao, badala ya kudandia ya watu, tu solve ya kwetu
Yani mkuu mnajishupaza kubishana na huyo!?Kwa hiyo bora watu waukubali ushenzi kisa kusaidiwa?
Hata hao wazungu hawajajitosheleza kwa kila kitu,kuna vitu nao hawana wanategemea sehemu zingine.
Naona kama babu una koneksheni na visamvu🤢🤢Kwanini huelewi...
Au unaona mambo yanaenda kichina
Punguza ujuaji,unaonekana mjinga,Sijasema Waafrika wote ndivyo walivyo.
Nakwambia hivi, tatua matatizo yako huko maghorofa yanaanguka ovyo na watu wanakufa kama nzi kwa malaria na kipindupindu. UKIMWI na maambukizi ya HIV vimepungua kwa sababu ya dawa za kusaidiwa na hao hao unaowaita wazungu.
Leo Trump kashinda uchaguzi US Waafrika wanaogopa akiondoa misaada ya dawa za kufubaza HIV nchi za Africa kama Tanzania zitafanya nini.
Maliza matatizo yako kwanza kabla ya kushadadia maisha ya hao unaowaita wazungu.
Astakafillah hapana mkuu...Naona kama babu una koneksheni na visamvu🤢🤢