DIVISHENI FOO
JF-Expert Member
- Jan 31, 2023
- 1,440
- 3,142
Hajambo baby, amekumiss njoo bas jamaniiii hebu leta hilo hogo myNimepita hapo naambiwa ushaondoka...
Vipi amelala huyo mtoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajambo baby, amekumiss njoo bas jamaniiii hebu leta hilo hogo myNimepita hapo naambiwa ushaondoka...
Vipi amelala huyo mtoto
Janja kaza punguza kujikesha chekesha unaweka maliasili rehani.DIVISHENI FOO naomba mjibu huyo jamaa hapo juu..
Tena mpe jibu la kumwalibia siku yake ya leo 😂😂😂😂
Naogopa atazimia muache tu ajitutumue nikimvamia atajutaDIVISHENI FOO naomba mjibu huyo jamaa hapo juu..
Tena mpe jibu la kumwalibia siku yake ya leo 😂😂😂😂
Muache bas baby wangu mbona unamsumbua sanaJanja kaza punguza kujikesha chekesha unaweka maliasili rehani.
Leo nimepita juu juu ila kesho uwakika... Sa tano nitakua nishamaliza kila kitu so stay tune 😂😂😂Hajambo baby, amekumiss njoo bas jamaniiii hebu leta hilo hogo my
Ndiyo hapo shangaa sasa Waafrika hawajamaliza matatizo yao ya kunywa maji machafu na kufa kwa kipindupindu, wanarukia maisha ya jamii za watu.Sasa wewe unaumia nini umejificha huko machakani Tanganyika,
Cc: Mbaga Jr cocastic Lamomy mshamba_hachekwi Poor Brain Extrovert
Kwa sababu waafrika tunapenda kukopi....sasa tumeletewa huo UCHAFU MAALUMNi kweli wazungu wamechanganyikiwa au haya ni madhara ya demokrasia iliyopitiliza?
Inawezekanaje taifa lina ndoa za watu wa jinsia moja ? Hili ni kosa kubwa la kwanza
Funga kazi ni watu wa jinsia moja kuruhusiwa kupata na kukuza mtoto hilo ndilo balaah zito kwa miaka mingi ijayoView attachment 3155732View attachment 3155733
Katika mazingira haya mtoto anakua katika hali gani?
Mbona huu ni unyanyasaji mkubwa wa watoto ulioruhusiwa kwa sheria haina tofauti na kipindi cha utumwa.
Angalia hii habari ya hawa wachezaji hapa View attachment 3155737
Mtoto hapa ataweza vipi kutofautisha na kujua yupi ni baba na yupi ni mama ?
Wababa wana jinsia gani na wamama wana jinsia?
Huu ni unyanyasaji mkubwa kisaikolojia kwa mtoto toka mdogo kwa kipindi chote cha makuzi.
Hawa watu wameamua kuishi ujinga wao kuwa wapenzi wa jinsia moja kwa raha zao sasa kwa nini mateso wampatie mtoto kwa ujinga wao?
Hawa wazungu wa sasa hivi ndio wamechanganyikiwa hivi?
Aaaah mkuu ebu tumia tafsida bana..😂😂😂😂😂😂😂Ndiyo hapo shangaa sasa Waafrika hawajamaliza matatizo yao ya kunywa maji machafu na kufa na kipindupindu, wanarukia maisha ya jamii za watu.
Ukisikia watu wamekufa kwa kipindupindu Simiyu ujue wamekunywa machafu hao.Aaaah mkuu ebu tumia tafsida bana..😂😂😂😂😂😂😂
Daaah... Unatukosea sana mkuu 😂😂Ukisikia watu wamekufa kwa kipindupindu Simiyu ujue wamekunywa machafu hao.
Hapa hatujadiliani mambo ya vipindu pindu baki kwenye uzi acha kuleta ngonjeraNdiyo hapo shangaa sasa Waafrika hawajamaliza matatizo yao ya kunywa maji yenye mavi na kufa kwa kipindupindu, wanarukia maisha ya jamii za watu.
Njoo unipe haki yangu babyLeo nimepita juu juu ila kesho uwakika... Sa tano nitakua nishamaliza kila kitu so stay tune 😂😂😂
Wwnkwel8ndiv 0 hv mpk Leo unasema mtu anakula raha haayo ni mambobya washamba wabaovaa masweta na raiboots juani inaonyesha wwnwakuja mtoa mada ana hoja madhubutSasa wewe unaumia nini umejificha huko machakani Tanganyika,
Cc: Mbaga Jr cocastic Lamomy mshamba_hachekwi Poor Brain Extrovert
Hana hoja yoyote.Wwnkwel8ndiv 0 hv mpk Leo unasema mtu anakula raha haayo ni mambobya washamba wabaovaa masweta na raiboots juani inaonyesha wwnwakuja mtoa mada ana hoja madhubut
Sio mimi. Huo ndio ukweli mkuu.Daaah... Unatukosea sana mkuu 😂😂
Sijasema Waafrika wote ndivyo walivyo.Kwa sababu wewe unakunywa maji yenye akili zako za kijinga zinakutuma kuwa waafrika wote ndivyo walivyo.
Hapa hatujadiliani mambo ya vipindu pindu na maji yenye mavi yako sijui baki kwenye uzi acha kuleta ngonjera
Hata data za JF ziko hosted America, ukitaka kukataa America hata JF ikatae mkuu.Kama ni hivyo hatutaki tena visa za kwenda Ulaya na Amerika bora tubaki zetu kwetu Chitipa.
Wewe jamaa nilichoandika kina uhusiano gani na hayo uliyo andikaSijasema Waafrika wote ndivyo walivyo.
Nakwambia hivi, tatua matatizo yako huko maghorofa yanaanguka ovyo na watu wanakufa kama nzi kwa malaria na kipindupindu. UKIMWI na maambukizi ya HIV vimepungua kwa sababu ya dawa za kusaidiwa na hao hao unaowaita wazungu.
Leo Trump kashinda uchaguzi US Waafrika wanaogoa akiondoa misaada ya dawa za kufubaza HIV nchi za Africa kama Tanzania zitafanya nini.
Maliza matatizo yako kwanza kabla ya kushadadia maisha ya hao unaowaita wazungu.
Hujaelewa tu maana ya hypocrisy ya "Baniani mbaya, kiatu chake dawa" ?Wewe jamaa mjinga sana nilichoandika kina uhusiano gani na hayo uliyo andika zimo kichwani kweli wewe