Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee hii kitu imenifanya hadi nikajiregister, sio mchezo wanaume bana, wote ni wale wale.
embu badilikeni bana, ombeni OFU ya Umungu iwe juu yenu.
Baba Askofu unakazi kubwa ya kuwasaidia hawa friends zako ,kwa maombi yako watabarikiwa na kuacha haya yote ..kesha ukiwaombea Amen ..tutasaidiana
jamani nimem mic MJ1, mwenye taarifa plz.
curiosity killed the cat......shauri yako RR!!
Hebu Ngoja nimcall ,
ama alikuwa kwenye mkutano mkuu wa chama ?
Yaani unatishia kuniua??? Ngoja nitafute moderation......
mie naukubaligi usemi uanosema wanaume baba,mama yao ni mmoja, leo ukisema wako ni hivi utasikia wa mwenzio ni vile, hakuna jema.
si ndio mwanzo mzuri huo dearest?ucje niambia anagombea udiwani....lol
Nyamayao kumbe MJ1 yuko busy na kilimo kwanza ,,ngoja tuone mwisho wa hawa mashemeji infidelity zao..ucje niambia anagombea udiwani....lol
si ndio mwanzo mzuri huo dearest?
Nyamayao kumbe MJ1 yuko busy na kilimo kwanza ,,ngoja tuone mwisho wa hawa mashemeji infidelity zao..
huwa nakuonea huruma sana dearest, yaani cjui nikuelezeje...una roho ndogo sana, ucje fikiri japo ngumu kwenye ndoa ni mpaka mtu atakapo cheat, kuna vijimambo vingine vigumu kuliko hii na bado unatakiwa uyakabili.....cjui nikueleze vipi mpendwa...
Ajali kazini.Haya sas makubwa na hilo gonjwa je mnalichukulia vp?
Hapo umesoma katikati ya mistari. Ila shemeji naye anamuharibia jamaa barazani siyo fair kabisahe he he sikujua hommie wangu keshafika na huku lol!
binasfi siichukulii ndoa kama lelemama, ukizingatia umuhimu na utakatifu wa hii taasisi yenyewe. ila nashangazwa na haya yanayotendwa na nyie mloingia humo. nasukumwa kusema inawezekana baadhi yenu mliingia bila kujua what were u putting yourselves into.kuna msemo walio ndani wanataka kutoka , na wa nje wanataka kuiangia, utamu wa ngoma kuingia na kucheza mamyyy, Nyamayao wanafikiri ndoa lelemamaa, dhubutu, waingie wayaone
Baba Askofu unakazi kubwa ya kuwasaidia hawa friends zako ,kwa maombi yako watabarikiwa na kuacha haya yote ..kesha ukiwaombea Amen ..tutasaidiana
Ikunda karibu
lakini hilo neno ni HOFU au ulimaanisha tu ulivoandika?
Ulikuwa hujui?????!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Mtoto kama ana mvuto tu twende kazi.kumbe unaweza kufanya mapenzi na mtu usiempenda, kazi kweli kweli