Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani hujakumbwa na mikasa au hujawahi kuwa infidilitee? :focus:
So kumchana ila ukiona mtu anaongea sana ujue matendo ni sifuri sina maana nyingine Tafadhaliahahahaha!
sasa mbona umeamua kumchana live mwenzio?
BHT...nafuta maswali yangu yote 😛eep:........tatizo majibu yako yanaleta curiosity...hahaaaaa RR mbona unanidadisi sana? nimesema mi sina uzoefu bana.....sijawahi kum-victimize mtu wala kuwa victimized
Nazimua hapa Usalule.....😛ound:wacha kabisa hommie..kuna moja hapa inaitwa tupendane ila siyo mi niko half tyme chako ni chako...kama kawa! LOL
So kumchana ila ukiona mtu anaongea sana ujue matendo ni sifuri sina maana nyingine Tafadhali
U still dont get madume hatupigi infidelity kwa sababu tunawapenda hao wa nje. Its just SEX period.
hahaaaaa RR mbona unanidadisi sana? nimesema mi sina uzoefu bana.....sijawahi kum-victimize mtu wala kuwa victimized
kumbe unaweza kufanya mapenzi na mtu usiempenda, kazi kweli kweli
namuona hommie next level anapitia pitia sredi hapa
najua atakuja na experience ya mwaka
BHT...nafuta maswali yangu yote 😛eep:........tatizo majibu yako yanaleta curiosity...
mbona hujaapa kwamba,.. Never, will you ever try it... Au unavuta pumzi ili kukabiliana na janga lolote litakalojitokeza? Ni vizuri kuwa na madirisha mengi yaliyowazi kuliko kuwa nalo moja halafu limefungwa kwa gril za nondo, tena 16mm!!
Ila mungu atakulinda tu, jipe moyo na uwaache akina teamo na ill-intention zao kutaka kuwatoa nyongo watu!:humble:
Hayo ndiyo haswa wanayofanya wanaume wanapotaka kushusha pressure. Nyumbani anapata TLC (tenda, love and care 100%) ila kule mitaani ana-test varieties na kushusha pressure. Kwa wale tulioamua kufuata maelekezo ya Paroko, kazi yake ni kubwa sana tena sana!
Duh wanaume mna kazi kubwa ya ziada hiyo kitu ingekuwa inaisha kama chaki mngekoma wenyewe :yo:
naapa kwamba sitathubutu kamwe kufanya hii mambo mnaita infidelity
Men and Infidelity...nyie mna ona kama maji ya kunywa eeh? sibirini mpaka nanyie mmegewe wake zenu ndo mtajua maana yake...
Naamini karani (Teamo) anatunza kumbukumbu. Hii inabidi iende kwenye confidential file!
Kila la heri ingawa safari ni ndefu na ngumu kweli kweli!
Kwani mkiacha hiyo ''infidelity''... yenu mtashindwa kunywa ze lager
Sikonge nimekumbuka hili songi hapo chini kama unalo kwenye library yako pls naomba uwaburudishe mabinamu zangu hawa...Eliza wape kinywaji anayekunywa Valuu,tusker ya kuchemsha ,Thoda, nyama choma , bili kwangu
Penzi haligawanyiki..... Vijana Jazz kina mzee maneti enzi zetu zile
oooh nimeamini ee methali za wahenga ..vyote vinagawanyika aaah aaaah sio penzi jamani eeee.....
oooh mume wangu ulinitaka radhi eeeh ......
aaaah matokeo ya penzi ....
wengine wanasahau family zao peace an love