Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

Hivi mbona hamtaji mazuri ya infidelity???

cjawahi kuona mazuri yake, sana sana mnatuletea tu matatizo ndani, hivi nyie wanaume ni lini mtaamka mkaona mfanyacho sicho?...natamani iagizwe mkatwe dudu zenu, nitakuwa wa kwanza kumkata wangu!
 
Hapa ulisema hivi!

Mimi nikakupongeza hapa

Huyu akanielewa vema

Hapa ukaamua kuyaonea kinyaa matapishi yako mwenyewe! Dah!:sick:


kaka tafadhali tucheze kwa step, nazungumzia kwa ujumla ckusema nyamayao, na nikakupa mfano kwamba nakumbana nayo hayo kila kukicha, nimezungukwa na watu wana matatizo yao kibao so nayajua hayo sana tu! na kama mie nikifanya c nitasema kwani utanishikia bunduki kaka?..mbona wewe uanfnaya na upo free kuliongelea?.....kufanya kwangu ni cku tutakapotengana kwasasa bado namuhitaji/ananitosheleza sana...tupo pa1?
 
cjawahi kuona mazuri yake, sana sana mnatuletea tu matatizo ndani, hivi nyie wanaume ni lini mtaamka mkaona mfanyacho sicho?...natamani iagizwe mkatwe dudu zenu, nitakuwa wa kwanza kumkata wangu!
That is bad....very bad! You will miss him dearly.....
 
1. Mazoezi ya kuongeza perfomance kwenye ndoa zetu

hiyo perfomance unakujaga kunionyesha na mie home au ni kuburudika kwako tu? mnasemaga baadhi ya wake zenu mkiwaonyesha manjonjo wanawauliza mmeyajulia wapi na hivi na vile, sasa hiyo perfomance ni kiburudisho chako tu au tuna share....ndoa ngumu jamani!
 
infidelity inaendelea????
AYAYAYAYAYAYAYAYAYA
 
Wadau, nimesoma hii thread na imenithibitishia kitu kimoja... Wanawake wako smart zaidi yetu when it comes to infidelity!!! Do you know why?? well, its because sisi ndio tumekua mbele kutoa siri zetu wakati wao as crime partners wamepiga kimya kabisa....

Hata wakifanya, they do it in a very advanced way na wakafuta nyayo zao kabla ya kutinga home... LETS EMULATE THEM, IF NOBODY KNOWS, IT NEVER HAPPENED
Kuna sababu nyingine De Novo traditionally mwanaume kumega nje inaonekana ni kitu cha kawaida na kwa baadhi ya watu ndio uanaume lakini kwa mwanamke ni kitendo cha aibu kubwa ndo maana huwa hawasemi na pia ndio sababu ni rahisi sana ndoa kusavaivu mume akifumaniwa kuliko mke akifumaniwa. got it?
 
Bora mie sijasema......hommie unatokea guest ipi mchana huu? :A S-eek:

wacha kabisa hommie..kuna moja hapa inaitwa tupendane ila siyo mi niko half tyme chako ni chako...kama kawa! LOL
 
ninachokiona ni kwamba infidelatees ni wengi kuliko infidelators
 
Back
Top Bottom