Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,357
Hivi mbona hamtaji mazuri ya infidelity???
cjawahi kuona mazuri yake, sana sana mnatuletea tu matatizo ndani, hivi nyie wanaume ni lini mtaamka mkaona mfanyacho sicho?...natamani iagizwe mkatwe dudu zenu, nitakuwa wa kwanza kumkata wangu!