Jirani upo kumbe we li sredi babu kubwa hili! Linawaka kuliko nyasi nyikani!
Lakini madada humu mbona hawaleti zao ama za marafiki zao?
Marahaba
Huyo uliye naye katoka kwa Mungu! Lakini vile vile si jambo la Busara kumnyooshea Mwenzako kidole kama na wewe uko the same. But for hili suala la Infidelity Linauma sana kama wewe ni Mwaminifu 100% na Hii ni kwa both Women and Men. Kama Mmeo hafanyi hivi basi ni suala la Kumshukuru Mungu. Si wote wenye tabia hizo
Mume/Mke Mwema anatoka kwa Mungu
Unaonekana una busara kuliko umri wako......pia mwambie mapenzi hayana elimu
wewe ni he au she??? Jidanganye tu kumbe mwenzako anayofanya hujui.....
duh jamani kichwa changu karibu kipasuke .........thanks for the compliment, hatujamalizana tuendelee
AISEE!!!!! yaani hili kosa huwa naliona kubwa mno na ngumu mno kwangu kumsamehe muhusika!!!! nahisi kwanza ntatoa adhabu kwa wote wawili labda huyo alofanza huu uchafu nijue alichotwa kuwa jamaa yuko available lakini kama wame-conspire kunitendea hivi mwana wa mwenzao ........I swear upon my ancestors patachimbika
BHT .....unapenda kuchimbachimba sana....
Curiosity killed the cat...remember?
Ni-pm basi....:A S tongue:
Marahaba
Huyo uliye naye katoka kwa Mungu! Lakini vile vile si jambo la Busara kumnyooshea Mwenzako kidole kama na wewe uko the same. But for hili suala la Infidelity Linauma sana kama wewe ni Mwaminifu 100% na Hii ni kwa both Women and Men. Kama Mmeo hafanyi hivi basi ni suala la Kumshukuru Mungu. Si wote wenye tabia hizo
...nilishamtahadharisha ajihadhari na topic hii...
bht mydear, hebu katoe ushauri kwenye ile topic nyingine kule ya DNA jamani,
achana nao hawa wanakutia ibilisi buree uje kuua bila kukusudia!
Mamushka mambooz!duh jamani kichwa changu karibu kipasuke .........thanks for the compliment, hatujamalizana tuendelee
Nini hujaelewa hapo, mwanamke mwenye busara na aliyeelimika hawezi kufanya mambo ya kipuuzi....
Kwani wewe unaokutana nao kwenye infidelity si machangu, bar meds, na wale wanawake ambao hawana mwelekeo, kazi kuwachuna na kulala tu...hawafikirii ya baadae....
AISEE!!!!! yaani hili kosa huwa naliona kubwa mno na ngumu mno kwangu kumsamehe muhusika!!!! nahisi kwanza ntatoa adhabu kwa wote wawili labda huyo alofanza huu uchafu nijue alichotwa kuwa jamaa yuko available lakini kama wame-conspire kunitendea hivi mwana wa mwenzao ........I swear upon my ancestors patachimbika
Mamushka mambooz!
Yesu wangu, Maria Na Yusufu...........hope we jidanganye mwenzangu!!! kuna watu elimu haijawakomboa hata senti moja
sasa dearest, c mpaka umfume?...akija asubuhi au kama ulivyosoma unaenda kumchukua polic kwa sababu hii na ile utakuwa na hakika gani kama anayatenda?...penye blue, cku zote anzana na mhucka wako, leo umemfanyia vagi hiyu kesho kachota mwingine, utafanyia wangapi?...mie nitaanza na mhucka huyo mwingine kitamhusu pale atakapoingilia....kama atakuwana akili timamu atimue mbio kabisa.
...nilishamtahadharisha ajihadhari na topic hii...
bht mydear, hebu katoe ushauri kwenye ile topic nyingine kule ya DNA jamani,
achana nao hawa wanakutia ibilisi buree uje kuua bila kukusudia!
BTH toka hapa kabisa...ni pabaya kwa afya yako.andika hapa hapa bana PM mi sisomi wala siandiki
Acha tu dada yangu Nyamayao hawa wanaume mh! sijui mungu aliwaumbaje. maana unaweza ukawa kichaa ukiwawaza sana.
siku hizi na mm walaaaaaaaaaaaaaa sijali arudi asirudi kwao alimradi watoto wangu wamekula wameshiba.