Matukio yanayokumbukwa wakati wa ''infidelity''...

tumalizane na 'mwizi' wangu, aliyeniibia with intent to do so.........ndicho nilichomaanisha kwa kumalizana, then huyo baba watoto sasa tutalonga nayeye, kikieleweka haya kisipoeleweka verdict itatoka either case.

ha ha ha mamushka naona move yake itakua kama ivi....

 

...ha ha ha! duuu, Mw'Mungu apishilie mbali aiseee...kisasi chake nitakula sahani moja na mashoga zake na wadogo zake wote, na bado kilio kitabakia rohoni!
(am joking!)

Arrggh, Mw'Mungu atanilipia bana. :lie:
 
nimefurahi kuskia uko mzima, mimi niko fiti kuliko kampeni za chadema.

kwakweli hali inatisha sana! wengi wanaingia kwenye ndoa kwa kushawishiwa na michezo ya majuto. hawako serious kabisa.


klorokwini una vijimaneno jamani,atleast nimecheka coz hii thread imenikumbusha machungu mengi.
 
tumalizane na 'mwizi' wangu, aliyeniibia with intent to do so.........ndicho nilichomaanisha kwa kumalizana, then huyo baba watoto sasa tutalonga nayeye, kikieleweka haya kisipoeleweka verdict itatoka either case.


Mwizi ni baba watoto wako; huyo bibie yeye kajikinga jua ama mvua hapo asa weye uko katika ya mvua kubwa ikatokea mssada wakuokolewa usilowane...................ku deal na huyo ni kumuonea haijalishi hata ukimkuta ndo anamkatikia cha mwisho!
 
kuna mdada kenya alijitangazia redio ya kijijini kwamba katekwa nyara na jamaa anataka ransom ndio amuachie. khaaaa ! baada ya kufuatiliwa kumbe jamaa alikuwa kamuweka kinyumba mdada wa watu na raha wanakula alfajiri na usiku. yule bwana wake baada ya kushtukizia mpaka leo kapata stroke hata jina la rais wake "mwai kibaki" hawezi kulitamka. Muumba amponyeshe haraka(tusemeni amen)
 
Mbu...hiyo ni mikiki mikiki ya ndoa, yaani nimejifunza mengi sana kwenye hii sekta, baada ya hilo tukio kwa upande wake nimepumzika kabisa kwa sasa.....

Pole sana bana.
Mapenzi na Ndoa ni PROMISES, zikishavunjwa sidhani hata AM SORRY kwa lugha yeyote inasaidia lolote.
Ngumu sana kusamehe, itakuwa kujisahaulisha?
 

lol!!! jamni huyo shemeji alipata adhabu kubwa mno
 

...astaghafirullah, astaghafirullah, astaghafirullah!!!
yaani nimecheka wakati nasikitika. Klorokwini acha masihara bana...!

Khaaa? huyo mwanamke ibilisi mkubwa, ndugu wa mume wanamtizamaje?
duuuh, haki ya mungu kupenda mtihani wallah! ha ha ha....
 
Mwizi ni baba watoto wako; huyo bibie yeye kajikinga jua ama mvua hapo asa weye uko katika ya mvua kubwa ikatokea mssada wakuokolewa usilowane...................ku deal na huyo ni kumuonea haijalishi hata ukimkuta ndo anamkatikia cha mwisho!

wewe wasema!!!!
 
Pole sana bana.
Mapenzi na Ndoa ni PROMISES, zikishavunjwa sidhani hata AM SORRY kwa lugha yeyote inasaidia lolote.
Ngumu sana kusamehe, itakuwa kujisahaulisha?

ni hapo tu dear Mbu!!!! asante
 
hapa moskwito umeongea kweli tupu.
 


haki ya nani klorokwini unanivunja mbavu...nipo kwenye majnzi mie na hii thread.
 

jamani tuache masihara, hii dhambi kweli inawgharimu watu hata maisha yao.............

ona sasa kama hivi!!!!

tena hii kitu bana ikishatokea, nothing will ever ever be the same again, hata ujidai eti nimekusamehe mi nadhani kuna vichembe chembeme vya hasira vitabaki moyoni mwa mtu aisee!!!
 
hii dunia ina tamsilia nyingi sana, ndio maana magazeti ya udaku yana profit kubwa kuliko nyumba za ibada. mimi nimeamua kuchukulia maisha kama joke flani ili angalau niishi mpaka kuota mvi bila heart attack.
 
ha ha ha mamushka naona move yake itakua kama ivi....

God, the Almighty, the Omnipotent, the All Knowing, the Incomparable...........aniepushe na hili!!!
 
hii dunia ina tamsilia nyingi sana, ndio maana magazeti ya udaku yana profit kubwa kuliko nyumba za ibada. mimi nimeamua kuchukulia maisha kama joke flani ili angalau niishi mpaka kuota mvi bila heart attack.

inabidi unishirikishe wangu........huu uzoefu nauhitaji sana!!!
 

Na ukiona cheater wa kike kaanika ambo ujue hakuheshimu keshaamua liwalo na liwe na hapo ndoa yenu haina mashiko tena kwani hata suala la kumfumania kwake linakuwa halimuumizi kichwa! Hatari sana!
 
haki ya nani klorokwini unanivunja mbavu...nipo kwenye majnzi mie na hii thread.
dah pole sana sis. sikujua kama na wewe umekuwa viktim wa hii sredi. lakini someni post za "mbu" zinaleta unafuu flani kidogo. hizi post za teamo na aspirin zinaweza zikapeleka kinadada wenye mioyo miepesi ICU.
 
hii dunia ina tamsilia nyingi sana, ndio maana magazeti ya udaku yana profit kubwa kuliko nyumba za ibada. mimi nimeamua kuchukulia maisha kama joke flani ili angalau niishi mpaka kuota mvi bila heart attack.


Thats the way!

Vinginevyo utajifia bure kwa michezo ya kitoto!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…